Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndio mseme malengo yenu ni kumfunga chelsea na nyumbu, ila sio ubingwa. Msimu huu mkibeba ubingwa nipgwe risasi.
Unataka mangapi Sasa mkuu maana ww umesema mara uitwe Mwajuma sijui...mara Mbwa jike mara upigwe risasi..simama na moja basi Ili tukibeba ndoo tujue lipi la kukuita....halafu kuifunga Chelkenge sio malengo tena maana ni kama π...Labda Manyumbu ndo huwa yanatusumbua kidogo...nyie endeleeni kukusanya wakimbiza upepo wengine wapya mjaribu tena kutokushuka daraja ila Bora mmechukua kikombe kwa kuwafunga Fulham maana ndo kikombe pekee kwa msimu huu mtakachochukua
 
Kronke pochi Nene

Kwa saka na partey watuongezee watu

Rice akae pale pale kwa xhaka
Pochi nene Kroenke's aitolee wapi?
Hapo kadanganywa na Arteta akitumia £250+ kwenye usajili dirisha hili lazima wabebe kombe.
Kimbembe ni pale ligi inaelekea ukingoni halafu Asenyo ndio kwanza anapambania kuingia top4 tena kwa kusuasua wakati walishaudanganya ulimwengu kua wanaenda kudominate ligi kwa miaka 10.
Mateka asipotimuliwa msimu ujao ntaamini kweli uchawi upo.
 
| Oleksandr Zinchenko on William Saliba: “Rolls-Royce. So good, I love him so much.

“I’ll be honest with you, I didn’t know him before I came to Arsenal when I saw him from the training sessions, I said: ‘who is this guy?’. Then first game against Chelsea, pre-season, zero mistakes.

“This guy never makes mistakes. Then he scored the goal with the left foot against Bournemouth. I went to my knees because I said this guy… I said, this guy, he can do everything. He can do everything.” [@FIVEUK] #afc
hizi ndio zile uongo wachezaji na mashabiki wa Asenyo wanapenda kudanganyana.
Keshokutwa tu hio Jumapili tunaenda kujionea wenyewe kikosi kinachoenda kudominate ligi kwa miaka 10 mfululizo kikienda kuabika na kudhalilika mbele ya vijana wa mliManicity.
 
hizi ndio zile uongo wachezaji na mashabiki wa Asenyo wanapenda kudanganyana.
Keshokutwa tu hio Jumapili tunaenda kujionea wenyewe kikosi kinachoenda kudominate ligi kwa miaka 10 mfululizo kikienda kuabika na kudhalilika mbele ya vijana wa mliManicity.
Mkuu, ubora wa Saliba nao unataka mpaka walimu wa mchikichini waje kukuelewesha mkuu???
 
Unaachaje kuja huku kutoa stress, mtu anakwambia Arsenal y makombe, muulize makombe yapi kama atakujibu
Arsenyo ni wazee wa makombe ya Emirates mkuu usiwabishie.
Kabati la Arsenyo limejaa makombe mengi ya Emirates kuliko makombe mengine yoyote.
Wakati timu nyingine zinabeba makombe baada ya ligi kuisha, Arsenyo hua wanabeba makombe yao kipindi cha Pre season.
Hongereni sana wana Arsenyo kwa kudominate kombe la Emirates kwa miaka 10 mfululizo.
 
Mkuu, ubora wa Saliba nao unataka mpaka walimu wa mchikichini waje kukuelewesha mkuu???
unamzungumzia Saliba huyuhuyu anaelala uwanjani na kubarizi upepo kama vile yuko beach au ni Saliba mwingine unaemzungumzia wewe?
Saliba aliechukuliwa team ya taifa kwenye world cup halafu akaishia kusugua bench bila kucheza hata mechi moja mpaka mashindano yanaisha au ni Saliba yupi?
1691138263919.jpg
 
Una push kwa mchezaji ambaye ameshasema napenda kwenda timu Fulani maana ndo timu ya ndoto yangu...Bayern watakuwa wameshatuchukia mpk Sasa maana Kila walipokuwepo na sisi tupo
Hata Mudryk alikua anawahadaa hivyohivyo kua Asenyo ni timu ya ndoto yake kumbe alikua anawatumia kama chambo ili Chelsea aongeze pesa.
Huyohuyo Mudy baada Aseno timu ya ndoto yake kuchabangwa na kutolewa kwenye michuano ya Europa akapost hii kitu kama kebehi kwa Arsenyeto ya ndoto yake.
tapatalk_491886830_328x512.jpg
 
Hata Mudryk alikua anawahadaa hivyohivyo kua Asenyo ni timu ya ndoto yake kumbe alikua anawatumia kama chambo ili Chelsea aongeze pesa.
Huyohuyo Mudy baada Aseno timu ya ndoto yake kuchabangwa na kutolewa kwenye michuano ya Europa akapost hii kitu kama kebehi kwa Arsenyeto ya ndoto yake. View attachment 2708082
Sasa yy ku post na kutuhadaa halafu akafaidika na nn Sasa....sanasana inaonekana ni kama ana hasira baada ya kuona tulistukia lile dili tunaenda kupigwa tukamuachia tajiri miluzi akapigwa mchana kweupe....apambane kwny timu yake aonekane Bora sio kukimbia bila kutumia akili kama anavyofanya
 
Hata Mudryk alikua anawahadaa hivyohivyo kua Asenyo ni timu ya ndoto yake kumbe alikua anawatumia kama chambo ili Chelsea aongeze pesa.
Huyohuyo Mudy baada Aseno timu ya ndoto yake kuchabangwa na kutolewa kwenye michuano ya Europa akapost hii kitu kama kebehi kwa Arsenyeto ya ndoto yake. View attachment 2708082
Imekuwaje Sasa huyo mudrky mbona amekuwa flopped tayari


Yaan unazungumzia wachezaji flopp humu ?

Unajaza comment na picha kuzungumzia mchezaji ana goli 1 pre season ndan ya miez 10?
 
Ni kwli mkuu Ufaransa kuna mabeki wapo mbele kwny uchaguzi wa mwalimu ni kama pale timu ya taifa England bwana Rashid Makame anavyokaa benchi kupisha wakubwa waanze maana yy anaonekana ni kama gari la mkaa trip shamba trip gereji
unamzungumzia Saliba huyuhuyu anaelala uwanjani na kubarizi upepo kama vile yuko beach au ni Saliba mwingine unaemzungumzia wewe?
Saliba aliechukuliwa team ya taifa kwenye world cup halafu akaishia kusugua bench bila kucheza hata mechi moja mpaka mashindano yanaisha au ni Saliba yupi? View attachment 2708068
 
If Zinchenko has a million fans, I am one of them.

If Zinchenko has one fan, it's me.

If Zinchenko has no fans, then I am no longer on this Earth.

If the world is agains Zinchenko, then I am against the world.
IMG-20230726-WA0003.jpg
 
Sasa yy ku post na kutuhadaa halafu akafaidika na nn Sasa....sanasana inaonekana ni kama ana hasira baada ya kuona tulistukia lile dili tunaenda kupigwa tukamuachia tajiri miluzi akapigwa mchana kweupe....apambane kwny timu yake aonekane Bora sio kukimbia bila kutumia akili kama anavyofanya
Hayo yako ni maneno tu ya mkosaji.
Nilichokusudia kumaanisha ni msihadaike na maneno ya mchezaji kua hataki kwenda timu nyingine kwa kua Asenyo ni timu ya ndoto yake.
Nakuhakikishia huyo Dada Raya kama Buyern wakitoa pesa nzuri hutamsikia tena anazungumzia mambo ya timu ya ndoto yangu.
 
Imekuwaje Sasa huyo mudrky mbona amekuwa flopped tayari


Yaan unazungumzia wachezaji flopp humu ?

Unajaza comment na picha kuzungumzia mchezaji ana goli 1 pre season ndan ya miez 10?
Jina la nyumbu limetafsirika vyema kwake hyu muungwana....halafu ana post mechi ya Europa sisi tumetolewa kwa penalty...wao sijui walitolewaje vile kule kwa wahuni Sevilla🤣🤣🤣
 
Imekuwaje Sasa huyo mudrky mbona amekuwa flopped tayari


Yaan unazungumzia wachezaji flopp humu ?

Unajaza comment na picha kuzungumzia mchezaji ana goli 1 pre season ndan ya miez 10?
Pamoja na yote lakini haizuii kua Arsenyo ndio ilikua timu ya ndoto yake.
 
Hayo yako ni maneno tu ya mkosaji.
Nilichokusudia kumaanisha ni msihadaike na maneno ya mchezaji kua hataki kwenda timu nyingine kwa kua Asenyo ni timu ya ndoto yake.
Nakuhakikishia huyo Dada Raya kama Buyern wakitoa pesa nzuri hutamsikia tena Raya anazungumzia mambo ya timu ya ndoto yangu.
Bayern Hana uwezo wa kuchukua mchezaji tunayemtaka....sasahv tukienda sokoni ukiona tumetuma ofa ujue imeisha hyo ..unabisha subiri uone hyo Raya ataishia wapi🤣🤣🤣
 
Halafu mkuu si ni nyny mlimualika bwana mdgo Timber kuja kuangalia mtanange wenu na Man City fainali ya FA....baada ya kutoka pale bwana mdgo akasema HAPANA siwezi kujiunga na hiki kikundi cha wakimbiaji...chap akabadili mawazo🤣🤣
Bayern Hana uwezo wa kuchukua mchezaji tunayemtaka....sasahv tukienda sokoni ukiona tumetuma ofa ujue imeisha hyo ..unabisha subiri uone hyo Raya ataishia wapi🤣🤣🤣
 
Pamoja na yote lakini haizuii kua Arsenyo ndio ilikua timu ya ndoto yake.
Atajua yeye ,lakin inashangaza Sana unapoteza muda humu unazungumzia Flopp?


Zungumzia fundi Trosaard mkemia

Anapiga miguu yote

Anacheza LCM,LW,FALSE 9

Ni matumizi mabaya ya bando kuzungumzia Flopp Kama hawa

20230729_192707.jpg
 
Bayern Hana uwezo wa kuchukua mchezaji tunayemtaka....sasahv tukienda sokoni ukiona tumetuma ofa ujue imeisha hyo ..unabisha subiri uone hyo Raya ataishia wapi
Na vile mnaenda kudominate EPL kwa miaka 10 sasa hivi wachezaji wote Arsenyo ndio timu ya ndoto yao.
Hata Magwaya leo akisikia tetesi kua Asenyo inamtaka ataanza kudai kua Asenyo ndio timu ya ndoto yake
 
Hayo yako ni maneno tu ya mkosaji.
Nilichokusudia kumaanisha ni msihadaike na maneno ya mchezaji kua hataki kwenda timu nyingine kwa kua Asenyo ni timu ya ndoto yake.
Nakuhakikishia huyo Dada Raya kama Buyern wakitoa pesa nzuri hutamsikia tena Raya anazungumzia mambo ya timu ya ndoto yangu.
Bayern hana pesa ya kushindana na Arsenal tukitaka mchezaji na yeye anayemtaka

Hizi dharau zenu mlimpamba city kwa Rice mkaweka kambi humu, tulivyotia £105m mkasambaratika
 
Back
Top Bottom