Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alikuwa hadi Radamel Falcao pale kwenye matofali ya kuchoma....mechi 29 goli 4...forward hyo....sitashangaa hojlund akimaliza msimu na goli 2 halafu tuje kuambiwa akiwepo yy kule mbele timu inakabia juu na hyo ndo faida yke
Hawa jamaa wasikuumize kichwa

Last season walitembea na upepo wa Rashid makame ,msimu huu kashaonesha amerud kwenye default settings

Walimsajili Anthony masebene tuliwaambia wazi Waz wametapeliwa

Walibisha ,Leo wanaungana nami kuwa ni utapeli wa Karne ulifanyika

Hojlund Goli 9 , farmer league

Anakuja EPL ,sitashangaa akifunga goli 3-4 msimu mzima,na lawama wapewe Grazzer family
20230729_152639.jpg
 
Sawa ila tukubaliane mapema kabisa humu ikifika mwisho wa msimu hatutaki kuona kondoo yoyote anamtukana Kai? View attachment 2707127
Erik 7 hag a.k.a A Dutch David Moyes akiwa na Amrabat huko Utriech

Muendelezo ni ule ule ,7hag sajili zake ni za kitapeli ,hazingatii mahitaji husika anazingatia connection alambe % yake

Kwa Hali hii mtaendelea kuwaona Grazzer wabaya ,kumbe mchawi mnae hapo hapo
20230803_115859.jpg
 
So what about a mountain who has played almost all games with zero effect. Last time we heard of him is from Romano.View attachment 2707138
Hizo warm up za pre season zisiwahadae sana, ukitaka kujua Harvez ni takataka subiri mechi ya jumapili ya ngao ya hisani dhidi ya Mancity ndio utajionea mwenyewe tofauti ya Kai wa kwenye warm-up na Kai wa kwenye mechi.
Dili la Kai lilikua ni ufisadi dhidi ya pesa ya Kreonke.
 
Hizo warm up za pre season zisiwahadae sana, ukitaka kujua Harvez ni takataka subiri mechi ya jumapili ya ngao ya hisani dhidi ya Mancity ndio utajionea mwenyewe tofauti ya Kai wa kwenye warm na Kai wa kwenye mechi.
Dili la Kai lilikua ni ufisadi dhidi ya pesa ya Kreonke.
Lakini tukumbuke ligi Ina mechi 38...kwhyo tunategemea kuna mechi asicheze vzuri pia kama tunavyoamini kwmba hojlund hatavuka goli 5 ila atakuwa anasaidia kwny kukabia juu🤣🤣
 
Hizo warm up za pre season zisiwahadae sana, ukitaka kujua Harvez ni takataka subiri mechi ya jumapili ya ngao ya hisani dhidi ya Mancity ndio utajionea mwenyewe tofauti ya Kai wa kwenye warm na Kai wa kwenye mechi.
Dili la Kai lilikua ni ufisadi dhidi ya pesa ya Kreonke.
Yaan unataka umpime Kai kwa mech ya ngao tu?

Halland mlimpima pia kwa mechi ya ngao vs Liverpool alipoteana Sana ,mkaanza kumfananisha na Nunez na Martial

Kuna kila dalili had Sasa mount mmeuziwa mbuzi kwenye gunia

Na mount ni mzuri tu, ila pale kocha wenu ni kanjanja

Anasajili kwa connection,hata wewe unaweza kuwa mchezaji wa manjesta

How comes anaachwa CR7 , Anasajiliwa Weghost sababu ni mpwa wake ,anakuja anafunga goal 0
 
Yaan unataka umpime Kai kwa mech ya ngao tu?

Halland mlimpima pia kwa mechi ya ngao vs Liverpool alipoteana Sana ,mkaanza kumfananisha na Nunez na Martial

Kuna kila dalili had Sasa mount mmeuziwa mbuzi kwenye gunia

Na mount ni mzuri tu, ila pale kocha wenu ni kanjanja

Anasajili kwa connection,hata wewe unaweza kuwa mchezaji wa manjesta

How comes anaachwa CR7 , Anasajiliwa Weghost sababu ni mpwa wake ,anakuja anafunga goal 0
Mkuu hamis77 kwanza hongereni sana jana kwa kuchukua kombe
Asenyo ujue nyinyi mna uhuni mwingi sana aiseeee, baada ya kuona kabati lenu lina uhaba wa vikombe mkashauriana na wadhamini wenu ili kuficha aibu hii kila pre season mnachakugua timu yoyote dhaifu ya kucheza nayo ili muifunge mjigee kombe.
Unaambiwa mpaka sasa hivi kabati la Asenyo lina makombe mengi zaidi ya Emirates kuliko makombe mengine yoyote.
Hongereni sana mashabiki wa Asenyo kwa hili hakika mmeupiga mwingi sana aiseeee.
 
Mkuu hamis77 kwanza hongereni sana jana kwa kuchukua kombe
Asenyo ujue nyinyi mna uhuni mwingi sana aiseeee, baada ya kuona kabati lenu lina uhaba wa vikombe mkashauriana na wadhamini wenu ili kuficha aibu hii kila pre season mnachakugua timu yoyote dhaifu ya kucheza nayo ili muifunge mjigee kombe.
Unaambiwa mpaka sasa hivi kabati la Asenyo lina makombe mengi zaidi ya Emirates kuliko makombe mengine yoyote.
Hongereni sana mashabiki wa Asenyo kwa hili hakika mmeupiga mwingi sana aiseeee.
Shukran Sana kwa hongera zako

Vipi unazungumziaje usajili wa Mount had Sasa ,je sio ameshaingia kwenye list ya Sajili za kitapeli?
 
Shukran Sana kwa hongera zako

Vipi unazungumziaje usajili wa Mount had Sasa ,je sio ameshaingia kwenye list ya Sajili za kitapeli?
Mount yule ni fundi wa boli, muulize Goginyo anaijua vizuri shughuli ya huyo mwamba.
Ngoja niwaite kina Mkohoti allypipi OllaChuga Oc Carasco Putin waje kuwapongeza kwa kunyanyua ndoo Jana.
 
Mount yule ni fundi wa boli, muulize Goginyo anaijua vizuri shughuli ya huyo mwamba.
Ngoja niwaite kina Mkohoti allypipi OllaChuga Oc Carasco Putin waje kuwapongezi kwa kunyanyua ndoo Jana.
Ana mwaka na nusu Chelsea ana goli 1, kaja manjesta mechi 5 goals 0 assist 0

Huyu Mimi Kama mwenyekiti wa kupitisha sajili za kitapeli ,nampitisha kwa asilimia 100

Hatavuka Goli 5 huyu ,tutarudi hapa Kama nikivyowaambia kwa Anthony masebene
 
Ana mwaka na nusu Chelsea ana goli 1, kaja manjesta mechi 5 goals 0 assist 0

Huyu Mimi Kama mwenyekiti wa kupitisha sajili za kitapeli ,nampitisha kwa asilimia 100

Hatavuka Goli 5 huyu ,tutarudi hapa Kama nikivyowaambia kwa Anthony masebene
Unajua Arsenyo ni timu inayoenda vice versa, wakati wenzao wanabeba makombe ya Epl, Europa, Uefa mwisho wa msimu, Arseno wenyewe kombe lao hua wanabeba mwanzo kabisa wa msimu.
Pongezi ziende kwa Masterclass kwa uiwezesha Asenyo kubeba kombe.
Ukisikia Mashabiki wa Arsenyani wanapiga kelele humu za #Arsenyo ndoo hua wanamaanisha ndoo hii
1691055365638.jpg
 
Kun
Ana mwaka na nusu Chelsea ana goli 1, kaja manjesta mechi 5 goals 0 assist 0

Huyu Mimi Kama mwenyekiti wa kupitisha sajili za kitapeli ,nampitisha kwa asilimia 100

Hatavuka Goli 5 huyu ,tutarudi hapa Kama nikivyowaambia kwa Anthony masebeKuna

|| If Arsenal are listening to offers for Balogun, West Ham will want to be in the conversation


[Via - @Alex_Crook].
Zinchenko arudi siku kuna timu zitamaliza mpira Zina ball possession ya 10%
 
If everything goes well, Gabriel Jesus should be in the squad for the Crystal Palace game.


[@LeGrove]
 
If everything goes well, Gabriel Jesus should be in the squad for the Crystal Palace game.


[@LeGrove]
Si mmesema wiki sita mkuu au ile taarifa imekaaje na inasemekana atakosa mechi ya Manyumbu na wateja wetu Tottenham
 
Si mmesema wiki sita mkuu au ile taarifa imekaaje na inasemekana atakosa mechi ya Manyumbu na wateja wetu Tottenham
Ni guessing tu mkuu, Arteta kasema ni few weeks

Na tatizo lenyewe ni kusafisha kwenye goti
 
Alex Crook on talkSPORT

Balogun is on West Ham’s radar

He might get an opportunity at Arsenal following Jesus’ injury

If Arsenal are still open to offers, West Ham will want to be part of the conversation.
 
Back
Top Bottom