Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
Tavares hakuna wanaomtaka hata bure mkuu....yaani yule naona anasahaulika naona kwny kutajwa..au atakayetoa hela ya Balogun tuwape na Tavares bure kama nyongeza



kama unamuona kwenye line up hiviafu ujue dogo siyo mbaya sana, basi tu anahitaji kukazia baadhi ya vitu.
Akikopeshwa pale EPL tunaweza kupata hela nzuri
Napoli expected to turn down the €140m bid for Victor Osimhen as the club want at least €150m



