arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Hana nafasi kwny kikosi....too error prone...premier league is too big for him...unless atolewe mkopo kwny timu ya EPL hapohapo apate nafasi ya kucheza atu prove wrong...Ligi ya ufaransa intensity yake ipo chini sana compared na ligi zote kubwa za UlayaTavares si mbaya sana na ni kinda.


tunawashukuruni na kuwapongeza sana kwa kutuonyesha burudani maridadi kabisa ya pira biriani na kutufurahisha kwa vyenga, pressing na overloading. 