Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FabrizioRomano kuhusu nia ya Arsenal kumsajili David Raya:


"Kuhusu Aaron Ramsdale, ufahamu wangu ni kwamba wazo litakuwa kuunda ushindani kati ya Ramsdale na Raya - sio swala la kuchukua nafasi ya mlinda mlango wa England.

"Ikiwa usajili huu utafanikiwa kutakuwa na vita vya kuvutia kwa nafasi ya kwanza katika upande wa Mikel Arteta."


[@caughtoffside]
 
Kama unazungumzia game za Man U na Newcastle maana sijaangalia fixtures za msimu ujao...still bdo sina wasiwasi...tupoteze tusipoteze ila narudia palepale msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi...mazoea ya kwmba eti ilikuwa fluke msahaumsahau
Eti msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi,
Nyie mna miaka zaidi ya 20 kazi yenu ni kujifunza tu namna ya kurudi.
Tena msimu ujao ndio mtawasuprise vizuri mashabiki kwa kuikosa hata hio top4.
1688228358680.jpg
1688716614855.jpg
Screenshot_20220930_135207.jpg
Screenshot_20230518_150420.jpg
 
Eti msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi,
Nyie mna miaka zaidi ya 20 kazi yenu ni kujifunza tu namna ya kurudi.
Tena msimu ujao ndio mtawasuprise vizuri mashabiki kwa kuikosa hata hio top4.View attachment 2703581View attachment 2703582View attachment 2703583View attachment 2703584
Hao wachezaji wte ulowaweka hapo juu... walienda Chelsea kwa spenders wa hela na wakapata mafanikio...Van Persie it was an era of Sir Alex Ferguson na akashinda kombe...kipindi cha Sir Alex hata Arsenal walishinda EPL....nipostie picha ya post Sir Alex Ferguson mkiwa na kombe la EPL hapa...kwahyo usijifiche kwny hcho kichaka mkuu...tukubali mpira umebadilika ukitaka mafanikio toa mahela upate watu wakufanyie kazi na ndo tunachofanya Sasa...lakini vilevile uwe na kocha ambaye ni tactical master ndo maana City anatusumbua hapa na Klop kwa mbali....kwhyo ni suala la muda kutoka Sasa makombe yatakuja....tena I bet tutaanza kushinda EPL kabla hata ya nyny Manyumbu kwa sababu hamna mpira mnaoeleweka na wachezaji wenu wengi ni average players
 
Hao wachezaji wte ulowaweka hapo juu... walienda Chelsea kwa spenders wa hela na wakapata mafanikio...Van Persie it was an era of Sir Alex Ferguson na akashinda kombe...kipindi cha Sir Alex hata Arsenal walishinda EPL....nipostie picha ya post Sir Alex Ferguson mkiwa na kombe la EPL hapa...kwahyo usijifiche kwny hcho kichaka mkuu...tukubali mpira umebadilika ukitaka mafanikio toa mahela upate watu wakufanyie kazi na ndo tunachofanya Sasa...lakini vilevile uwe na kocha ambaye ni tactical master ndo maana City anatusumbua hapa na Klop kwa mbali....kwhyo ni suala la muda kutoka Sasa makombe yatakuja....tena I bet tutaanza kushinda EPL kabla hata ya nyny Manyumbu kwa sababu hamna mpira mnaoeleweka na wachezaji wenu wengi ni average players
nyie endeleeni kujitafuta tu ila suala la kuchukua Epl hilo msahau kabisa, mkijitahidi sana ni kila baada ya miaka 3 mtakua mnabeba mwanaFA.
Huyo Masterclass in failure yeye mwenyewe anatambua hilo tokea alivyokua ni mchezaji wa Asenyo mpaka sasa hivi baada ya kua kocha.
Kikubwa sisi mashabiki wa Soccer tunawashukuruni na kuwapongeza sana kwa kutuonyesha burudani maridadi kabisa ya pira biriani na kutufurahisha kwa vyenga, pressing na overloading.
tapatalk_-1970943280_512x640.jpg
 
nyie endeleeni kujitafuta tu ila suala la kuchukua Epl hilo msahau kabisa, mkijitahidi sana ni kila baada ya miaka 3 mtakua mnabeba mwanaFA.
Huyo Masterclass in failure yeye mwenyewe anatambua hilo tokea alivyokua ni mchezaji wa Asenyo mpaka sasa hivi baada ya kua kocha.
Kikubwa sisi mashabiki wa Soccer tunawashukuruni na kuwapongeza sana kwa kutuonyesha burudani maridadi kabisa ya pira biriani na kutufurahisha kwa vyenga, pressing na overloading. View attachment 2703620
Oya unajua Jana mmechezea kipondo au umeamkia huku ya kwenu huna habari yenu

Mount anazidi kuingia kwenye list ya Sajili za kitapeli


Mount For Man United;

Games - 5
Goals - 0
Assists - 0

Two more games and we get our new 007
 
Oya unajua Jana mmechezea kipondo au umeamkia huku ya kwenu huna habari yenu

Mount anazidi kuingia kwenye list ya Sajili za kitapeli


Mount For Man United;

Games - 5
Goals - 0
Assists - 0

Two more games and we get our new 007
Hii pre-season yote sisi tunafanya warm up tu, ni mechi moja tu pekee ya pre-season ambayo kocha wetu aliweka wazi kabisa kua hatutaichukulia kama Warm up, nadhani hata na wewe matokeo ya hio mechi unajua yalikuaje.
1690622282148.jpg
 
nyie endeleeni kujitafuta tu ila suala la kuchukua Epl hilo msahau kabisa, mkijitahidi sana ni kila baada ya miaka 3 mtakua mnabeba mwanaFA.
Huyo Masterclass in failure yeye mwenyewe anatambua hilo tokea alivyokua ni mchezaji wa Asenyo mpaka sasa hivi baada ya kua kocha.
Kikubwa sisi mashabiki wa Soccer tunawashukuruni na kuwapongeza sana kwa kutuonyesha burudani maridadi kabisa ya pira biriani na kutufurahisha kwa vyenga, pressing na overloading. View attachment 2703620
Tutakumbushana haya maneno mzee wa Antony Masebene
 
Hii pre-season yote sisi tunafanya warm up tu, ni mechi moja tu pekee ya pre-season ambayo kocha wetu aliweka wazi kabisa kua hatutaichukulia kama Warm up, nadhani hata na wewe matokeo ya hio mechi unajua yalikuaje. View attachment 2703640
kamsikilize Jana alivyolalama

Sisi tunawangoja Emirates tu tuoneshane makali, yule onana toka afike anatoboka tu
 
kamsikilize Jana alivyolalama

Sisi tunawangoja Emirates tu tuoneshane makali, yule onana toka afike anatoboka tu
Onana anatoboka kwa magoli ambayo kipa yoyote anafungwa.
Kikubwa jana nimefurahi kumuona RW bora kabisa duniani kwa kipindi hiki Antony Masebene ametupia goli maridadi kabisa.
Msimu huu Masebene asipopewa tuzo yake ya Ballon d'Or niulizwe mimi
Screenshot_20230117_155817.jpg
 
Hii pre-season yote sisi tunafanya warm up tu, ni mechi moja tu pekee ya pre-season ambayo kocha wetu aliweka wazi kabisa kua hatutaichukulia kama Warm up, nadhani hata na wewe matokeo ya hio mechi unajua yalikuaje. View attachment 2703640
Na Mechi hiyo ni ManU vs Arsenal mkachezea kichapo😃
 
Tutakumbushana haya maneno mzee wa Antony Masebene
kwenye Epl Asenyo ni sawa tu na kidonda cha sukari kilichogoma kupona.
Miaka 20 bila Epl,
Miaka 7 mfululizo unashindwa kuingia top4,
Miaka zaidi ya milioni hujawahi beba kombe lolote la Ulaya,
Halafu na wewe unaforce eti ni Big team, tena bila aibu unataka uwekwe daraja moja na Liverpool, Man Utd, Chelsea na Man City.
Nyie ni level za kina Brighton, Aston Villa, Leicester City, Tottenham n.k
 
kwenye Epl Asenyo ni sawa tu na kidonda cha sukari kilichogoma kupona.
Miaka 20 bila Epl,
Miaka 7 mfululizo unashindwa kuingia top4,
Miaka zaidi ya milioni hujawahi beba kombe lolote la Ulaya,
Halafu na wewe unaforce eti ni Big team, tena bila aibu unataka uwekwe daraja moja na Liverpool, Man Utd, Chelsea na Man City.
Nyie ni level za kina Brighton, Aston Villa, Leicester City, Tottenham n.k
Una miaka mingapi huna EPL mkuu....maana unasema 20 Arsenal...ww ni mingapi mkuu...na unavyoona kwa hii squad yako ya talent za ukweli...lini unabeba EPL
 
Una miaka mingapi huna EPL mkuu....maana unasema 20 Arsenal...ww ni mingapi mkuu...na unavyoona kwa hii squad yako ya talent za ukweli...lini unabeba EPL
Haya hapa makombe ambayo Utd tumeshinda ndani ya kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Weka na wewe makombe uliyoshinda miaka 20 iliyopita halafu uvae viatu vyetu uone kama vinakutosha.



English League Cup winner. 2022-2023

Europa League Winner. 2016-2017.

English Supercup Winner. 2016-2017

FA Cup Winner. 2015-2016

English Champion. 2012-2013
 
Back
Top Bottom