Seconded Sir.....Hana nafasi kwny kikosi....too error prone...premier league is too big for him...unless atolewe mkopo kwny timu ya EPL hapohapo apate nafasi ya kucheza atu prove wrong...Ligi ya ufaransa intensity yake ipo chini sana compared na ligi zote kubwa za Ulaya
Wasaliti ndo hao sasa.Eti msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi,
Nyie mna miaka zaidi ya 20 kazi yenu ni kujifunza tu namna ya kurudi.
Tena msimu ujao ndio mtawasuprise vizuri mashabiki kwa kuikosa hata hio top4.View attachment 2703581View attachment 2703582View attachment 2703583View attachment 2703584
Mm nilitaka kujua EPL mna mda gani...nashukuru umenijibu miaka 10 ilopita....ni kweli kabisa sisi hatuna kombe la Ulaya lolote kabisa....lakini kumbe haya ya ndani tunayo machache....Sasa tuambie unavyoona kwa hiki kikosi chenye potential balloon d or winner according to u Mr Masebene...ni lini mnaona mnachukua EPL kwa huu mpira wenu na malalamiko ya kocha wenu baba Ubaya


wewe unazungumzia Epl wakati sisi malengo yetu msimu huu tuchukue Uefa kabisa, 
️

EXCLUSIVE

Cedric - Villarreal
Holding - Besiktas
Trusty - Sheffield Utd
Lokonga - Burnley
Turner - Nottingham ForestTavares hakuna wanaomtaka hata bure mkuu....yaani yule naona anasahaulika naona kwny kutajwa..au atakayetoa hela ya Balogun tuwape na Tavares bure kama nyongezaLots of outgoing deals expected for Arsenal:
Cedric - Villarreal
Holding - Besiktas
Trusty - Sheffield Utd
Lokonga - Burnley
Turner - Nottingham Forest
Bids for Balogun & Nketiah due soon. Pepe's contract may be terminated.
#AFC #Arsenal







Zipo mbona ,Westham walimtaka akagomaTavares hakuna wanaomtaka hata bure mkuu....yaani yule naona anasahaulika naona kwny kutajwa..au atakayetoa hela ya Balogun tuwape na Tavares bure kama nyongeza
Utakufa kwa presha kaka , makombe yote hayo ubebe kweli hakuna hata priority?Sijaona timu ya kutuzuia msmu huu
Ngao tunabeba
Uefa tunabeba
Epl tunabeba
FA tunabeba
Carabao tunabeba
THE GUNNERS FOREVER![]()


Wewe mgeni na huyo jamaa,yeye kila timu anaishabikia na kuiponda , kasoro Simba tuUtakufa kwa presha kaka , makombe yote hayo ubebe kweli hakuna hata priority?
Duuuh![]()
Add ons ndo zitakazoamua once mchezaji anapotaka kuondoka kwa kipindi kama hiki....#Arsenal have told Brentford they won't pay the £40m asking price for goalkeeper David Raya.
Talks continue to find a solution. #AFC #TransferTalks #Transfers
Napoli expected to turn down the €140m bid for Victor Osimhen as the club want at least €150m