Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya hapa makombe ambayo Utd tumeshinda ndani ya kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Weka na wewe makombe uliyoshinda miaka 20 iliyopita halafu uvae viatu vyetu uone kama vinakutosha.



English League Cup winner. 2022-2023

Europa League Winner. 2016-2017.

English Supercup Winner. 2016-2017

FA Cup Winner. 2015-2016

English Champion. 2012-2013
Kwa hicho kipindi cha miaka 10 united imetumia shilingi ngapi ili kupata hiyo FA moja ambayo katika miaka 10 Arsenal alijimilikisha
 
Kwa hicho kipindi cha miaka 10 united imetumia shilingi ngapi ili kupata hiyo FA moja ambayo katika miaka 10 Arsenal alijimilikisha
Wewe unataka kunichosha tu na maswali yako yasiyo na kichwa wala miguu.
Nyinyi kimewashinda nini na nyie kutumia hio pesa japo mpate hata Epl moja kama ni kazi rahisi?
Kwanza kubishana na mtu ambaye timu yake tokea imeanzishwa haijawahi kushinda hata ka Europa tu ni matumizi mabaya ya ubishi
 
Hivi hyu Pickford ndo yule kipa wa Everton ama...kama ni yule kwa lipi hasa awe na uspesho huo wa kuwa hata kwny top 5....average goalkeeper
Unajua shida ni kwamba kipa anaweza kuonekana world class kumbe timu yake inamfavor kwakua inamiliki sana mpira so hakutani na mashambulizi mara kwa mara.

United waliingia mkenge kwa Valdes. Jamaa yupo Barca ni wa moto wakaona aje unyumbuni, mama yangu bora wangemchukua Allypipi wamuweke golini
 
Haya hapa makombe ambayo Utd tumeshinda ndani ya kipindi cha miaka 10 iliyopita.
Weka na wewe makombe uliyoshinda miaka 20 iliyopita halafu uvae viatu vyetu uone kama vinakutosha.



English League Cup winner. 2022-2023

Europa League Winner. 2016-2017.

English Supercup Winner. 2016-2017

FA Cup Winner. 2015-2016

English Champion. 2012-20
Mkuu sijakuuliza makombe....refer swali nlilokuuliza maana ndo tulichokuwa tunabishania....umesema hatujachukua EPL for 20 years...sawa...na ww nimekuuliza mna miaka mingapi hamjachukua...na mnatarajia kuchukua lini tena hko kombe...ukianza kuleta makombe mengine pamoja na hyo sijui uloweka hapo juu...English Cup Winner mara FA mara..sikatai mmechukua makombe mengi...lakini sio kwmba na sisi hatujachukua kombe lolote ndani ya hiko kipindi cha miaka 10....tuulzungumzie EPL una mda gani...na lini unabeba
 
Unajua shida ni kwamba kipa anaweza kuonekana world class kumbe timu yake inamfavor kwakua inamiliki sana mpira so hakutani na mashambulizi mara kwa mara.

United waliingia mkenge kwa Valdes. Jamaa yupo Barca ni wa moto wakaona aje unyumbuni, mama yangu bora wangemchukua Allypipi wamuweke golini
🤣🤣🤣...Allypipi tena...na ndo hiki kitakachoenda kutokea kwa Onana...atadundwa mpk aanze kuonekana shati...kumbe ni mfumo wa timu ndo hovyo....De Gea wamemtupia virago lakini kwa msimu ulopita ndo kipa mwenye Clean sheets nyingi pamoja na kuwa na safu mbovu ya ulinzi
 
kwenye Epl Asenyo ni sawa tu na kidonda cha sukari kilichogoma kupona.
Miaka 20 bila Epl,
Miaka 7 mfululizo unashindwa kuingia top4,
Miaka zaidi ya milioni hujawahi beba kombe lolote la Ulaya,
Halafu na wewe unaforce eti ni Big team, tena bila aibu unataka uwekwe daraja moja na Liverpool, Man Utd, Chelsea na Man City.
Nyie ni level za kina Brighton, Aston Villa, Leicester City, Tottenham n.k
Mimi nitaendelea kukumbusha kuwa Mount anaingia kwenye sajili za kitapeli episode 1

0 Goals
0 Assists
5 Games

We are getting closer
 
Mkuu sijakuuliza makombe....refer swali nlilokuuliza maana ndo tulichokuwa tunabishania....umesema hatujachukua EPL for 20 years...sawa...na ww nimekuuliza mna miaka mingapi hamjachukua...na mnatarajia kuchukua lini tena hko kombe...ukianza kuleta makombe mengine pamoja na hyo sijui uloweka hapo juu...English Cup Winner mara FA mara..sikatai mmechukua makombe mengi...lakini sio kwmba na sisi hatujachukua kombe lolote ndani ya hiko kipindi cha miaka 10....tuulzungumzie EPL una mda gani...na lini unabeba
Epl ndio hio hapo chini kabisa inaitwa English Champion mwaka 2012/2013 ni miaka 10 iliyopita, wakati Arsenyau mara yao mwisho kubeba hilo kombe ni miaka 20 iliyopita.
Pia nikakukumbusha ndani ya miaka 5 iliyopita tumebeba kombe kubwa zaidi ya hio Epl.
Nyinyi Arsenyau ndani ya miaka 20 iliyopita mmebeba kombe gani kubwa zaidi ya kombe la MwanaFA?
 
Mimi nitaendelea kukumbusha kuwa Mount anaingia kwenye sajili za kitapeli episode 1

0 Goals
0 Assists
5 Games

We are getting closer
na mimi nakukumbusha pia hio nyimbo ya we are getting closer mlianza kuiimba tokea kipindi cha marehemu Arsenal Wenga mpaka leo hii bado mko palepale tu nyumbani kwa kina mwanaFA.
 
Epl ndio hio hapo chini kabisa inaitwa English Champion mwaka 2012/2013 ni miaka 10 iliyopita, wakati Arsenyau mara yao mwisho kubeba hilo kombe ni miaka 20 iliyopita.
Pia nikakukumbusha ndani ya miaka 5 iliyopita tumebeba kombe kubwa zaidi ya hio Epl.
Nyinyi Arsenyau ndani ya miaka 20 iliyopita mmebeba kombe gani kubwa zaidi ya kombe la MwanaFA?
Mm nilitaka kujua EPL mna mda gani...nashukuru umenijibu miaka 10 ilopita....ni kweli kabisa sisi hatuna kombe la Ulaya lolote kabisa....lakini kumbe haya ya ndani tunayo machache....Sasa tuambie unavyoona kwa hiki kikosi chenye potential balloon d or winner according to u Mr Masebene...ni lini mnaona mnachukua EPL kwa huu mpira wenu na malalamiko ya kocha wenu baba Ubaya
 
Mimi nitaendelea kukumbusha kuwa Mount anaingia kwenye sajili za kitapeli episode 1

0 Goals
0 Assists
5 Games

We are getting closer
Hawataki kukubali kwmba ku challenge ligi ni process sio fluke hasa kwny kipindi hiki cha makocha kama Guardiola na Klopp...ndani ya miaka hii kumi tangu Sir Alex Ferguson aondoke...wameleta makocha si chini ya wanne na bado patupu bila kukubaliana na ukweli kuwa timu inatakiwa kusukwa upya ndo I challenge....na kocha apewe mda ku implement tactics zake
 
...Allypipi tena...na ndo hiki kitakachoenda kutokea kwa Onana...atadundwa mpk aanze kuonekana shati...kumbe ni mfumo wa timu ndo hovyo....De Gea wamemtupia virago lakini kwa msimu ulopita ndo kipa mwenye Clean sheets nyingi pamoja na kuwa na safu mbovu ya ulinzi
Kuhusu de gea, unafikiri wanaitwa nyumbu kwa bahati mbaya?

De gea ni hatari na nusu

Kuna games nyumbu ilibidi wawe wanakufa 5 lakini de gea anasimamia show.
Hadi game inamwagwa sare
 


Sheffield United in talks to sign Auston Trusty on permanent deal for fee in region of £5m. Nothing agreed but negotiations advancing. Loan with option also possible

(@RyanTaylorSport )
 
🤣🤣🤣...Allypipi tena...na ndo hiki kitakachoenda kutokea kwa Onana...atadundwa mpk aanze kuonekana shati...kumbe ni mfumo wa timu ndo hovyo....De Gea wamemtupia virago lakini kwa msimu ulopita ndo kipa mwenye Clean sheets nyingi pamoja na kuwa na safu mbovu ya ulinzi
Makosa ya De Gea ndiyo ya Onana.

Subiri utaona
 
na mimi nakukumbusha pia hio nyimbo ya we are getting closer mlianza kuiimba tokea kipindi cha marehemu Arsenal Wenga mpaka leo hii bado mko palepale tu nyumbani kwa kina mwanaFA.
Umeangalia lakini mechi yako leo?

Onana mpaka Sasa hajui kitu inaitwa cleansheet

Hajui kitu kushinda

Degea mtamkumbuka
 
...Allypipi tena...na ndo hiki kitakachoenda kutokea kwa Onana...atadundwa mpk aanze kuonekana shati...kumbe ni mfumo wa timu ndo hovyo....De Gea wamemtupia virago lakini kwa msimu ulopita ndo kipa mwenye Clean sheets nyingi pamoja na kuwa na safu mbovu ya ulinzi
Wenger orphans kwa kulalama bwana tulivyo wafunga mkasema tuacheni tushangilie hafu tuone kitacho tukuta tujisaau saizi tunafungwa mmekuja na agenda mpya.

Poor Wenger orphans
 
Makosa ya De Gea ndiyo ya Onana.

Subiri utaona
Degea alikuwa anajua Sana kuwaokoa Hawa jamaa Tena against small teams

Mpaka leo sielewi waliingiaje top 4

Kuna mech vs Southmpton, leicester , n.k

Acha zile big matches , mfano pale Emirates ,

Kwa Onana una uhakika ukiwapiga mbinyo ukapata goli hata 2

Same same tu Kepa kwa Chelsea, ukiwapiga mbinyo dakika kadhaa hukosi goli
 
Wenger orphans kwa kulalama bwana tulivyo wafunga mkasema tuacheni tushangilie hafu tuone kitacho tukuta tujisaau saizi tunafungwa mmekuja na agenda mpya.

Poor Wenger orphans
Ni kweli mkuu mmetufunga na sio mara ya kwanza...lakini hii haiondoi ukweli kwmba jana mmedundwa na kipa wenu kashaanza kubweka mapema kabla hata kipenga cha kwanza EPL...mmemuondoa De Gea kwa kisingizio cha kuwa ni error prone na Hana footwork nzuri...Sasa amekuja Onana...mda ni mwalimu mzuri..ligi ikianza tutaona atawaokolea point ngapi kwa footwork yake....mnachoshindwa kuelewa De Gea ni tatizo dogo sana kati ya matatizo mengi mlonayo kuanzia mbele...katikati ya uwanja mpk backline....mnatimua De Gea mnamuacha Maguire...mna akili kweli...
 
|| Arsenal are reportedly preparing to make a bid of around €30m (£25.7m) for Brentford Goalkeeper, David Raya



[Via - @CMDotCom].
 
Ni kweli mkuu mmetufunga na sio mara ya kwanza...lakini hii haiondoi ukweli kwmba jana mmedundwa na kipa wenu kashaanza kubweka mapema kabla hata kipenga cha kwanza EPL...mmemuondoa De Gea kwa kisingizio cha kuwa ni error prone na Hana footwork nzuri...Sasa amekuja Onana...mda ni mwalimu mzuri..ligi ikianza tutaona atawaokolea point ngapi kwa footwork yake....mnachoshindwa kuelewa De Gea ni tatizo dogo sana kati ya matatizo mengi mlonayo kuanzia mbele...katikati ya uwanja mpk backline....mnatimua De Gea mnamuacha Maguire...mna akili kweli...
Last season hawakuwa mbali Sanaa na Chelsea , advantage waliyoipata Rashford alikuwa kwenye form yake ya maisha ndiye aliwaweka mjini

Degea aliwaweka mchezoni mechi nyingi tu

Consistency ya Bruno

Sasa msimu huu Kuna dalili za kutosha Rashford anarud kwenye default settings na Onana kutoboka kirahisi tofaut na Degea
 
Back
Top Bottom