Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi mk



Kwenye hyo port 1 toa hao Newcastle...Aston villa... Tottenham... Chelsea ndo hata usiwaweke...hyo timu ni mamluki wetu Wana point sita zetu....halafu kwny big games unaanzaje kumuweka Newcastle kwa kipi hasa aisee...narudia hapa na nitarudia come May...mlicho achieve Newcastle msimu ulopita ndo mwanzo na mwsho hakitakaa kitokee tena karibuni na aina ya kocha nlonaye....sahau kuingia top 4...sahau

Spurs na Chelsea hizo derby ni upepo tu wa mwaka jana umekufanya uchukue points 6 kwao misimu mingine yote ulikuwa unaacha points na ndo maana nakuambia last season ulikuwa upepo wenu ni vile tu mli bottle the title as usual.
Villa na Newcastle both games mmeshinda kwa upepo tu last season, A. Villa ni anapigania top 4 this season amini usiamini na nina uhakika hamchukui point zaidi ya 3 kwake .

Eddie Howe unamchukuliaje? Ni vile tu amekuwa coach kwenye timu ambazo hazina back up ya maana, kuna kipindi alikua anahusishwa kama mrithi wa wenger pale kwenu . Now ana back up kutoka kwa waarabu tena ya kutosha amechukua timu kwa bruce ikiwa nafasi ya 17 now ipo top 4 ndani ya full season yake ya kwanza tu, makocha wangapi wamejaribu lakini wameshindwa tena wamechukua team zipo top 7 na bado wakachoma. Kama unafikiri Newcastle pale top 4 amekuja kuzurura subiri ligi keshokutwa hapo .

Hapo kwenye port 2 nadhani tunakubaliana any team last 10 games, inawezakana hata luton, Sheffield na yoyote ile.
 
Kwa hyo fee Sasa wakifanikiwa kumchukua naanza kuona RW back up ya Bukayo Saka itakuwa ngumu kupatikana maana sidhani kama kutakuwa kuna spend ya almost
RW ni £40m tu haitazidi hapo ,Arsenal wameamua kuspend ,wigo wa kuspend ni mkubwa ,

Leo Chelsea wamesajili CB anaitwa Axel Disasi ,Nizar kinsela mwandishi wa standard sport anasema Arsenal walimuhitaji ila hawakutaka kulipa €45m

Hii inaonesha Kuna surprise zinakuja , sitashangaa tukiongeza RW ,RCB na GK ,

Arsenal ilishajiandaa kuja kutumia pesa bila kufungiwa pale ilipoondoa wenye mishahara mikubwa, na usipouzika unavunjiwa mkataba eg Ozil, auba , now Pepe anafata
 
1690747130605.png
 
Spurs na Chelsea hizo derby ni upepo tu wa mwaka jana umekufanya uchukue points 6 kwao misimu mingine yote ulikuwa unaacha points na ndo maana nakuambia last season ulikuwa upepo wenu ni vile tu mli bottle the title as usual.
Villa na Newcastle both games mmeshinda kwa upepo tu last season, A. Villa ni anapigania top 4 this season amini usiamini na nina uhakika hamchukui point zaidi ya 3 kwake .

Eddie Howe unamchukuliaje? Ni vile tu amekuwa coach kwenye timu ambazo hazina back up ya maana, kuna kipindi alikua anahusishwa kama mrithi wa wenger pale kwenu . Now ana back up kutoka kwa waarabu tena ya kutosha amechukua timu kwa bruce ikiwa nafasi ya 17 now ipo top 4 ndani ya full season yake ya kwanza tu, makocha wangapi wamejaribu lakini wameshindwa tena wamechukua team zipo top 7 na bado wakachoma. Kama unafikiri Newcastle pale top 4 amekuja kuzurura subiri ligi keshokutwa hapo .

Hapo kwenye port 2 nadhani tunakubaliana any team last 10 games, inawezakana hata luton, Sheffield na yoyote ile.
Come May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahau
 
Come May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahau

Nahifadhi hii kitu then nitakua nakukumbusha game after game. Game 19 mtakuwa mshapoteza game hazipungui 3 game ya 4, 8 mnapoteza
 
Sasa kaka kwenye kapu la big games ambazo ni game kweli kweli

Port 1 kuna Man city,Arsenal,Liver na Newcastle,,

Port 2 kuna Aston villa, Nyumbu, Brighton,.tott ,

Hao wengine ndo kuna Chelsea Timu inasajili kila siku toka dirisha dogo wanasajili tu na kwenye wachezaji 20 ni mchezaji mmja tu kaonyesha anakitu na usajili wao ni avarage kabisa aiseee.

Mashabiki wa Arsenal wanao onekana kipindi cha mapumziko tu ila mechi zikianza wanapotea mazima. Wewe ndiyo wa kuibeza Chelsea ok sawa tupo hapa usije kimbia kama msimu ulioisha
 
Nahifadhi hii kitu then nitakua nakukumbusha game after game. Game 19 mtakuwa mshapoteza game hazipungui 3 game ya 4, 8 mnapoteza
Mganga njaa,,et shabiki la newcastle.

Mambo haiko hivyo kwenye ground.

Misimu nyie kuku mnatamba hata Arsenal ilikuwa mbovu.

Sasa tuna watu,, hatuna mawazo,
 
Nahifadhi hii kitu then nitakua nakukumbusha game after game. Game 19 mtakuwa mshapoteza game hazipungui 3 game ya 4, 8 mnapoteza
Kama unazungumzia game za Man U na Newcastle maana sijaangalia fixtures za msimu ujao...still bdo sina wasiwasi...tupoteze tusipoteze ila narudia palepale msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi...mazoea ya kwmba eti ilikuwa fluke msahaumsahau
 
Kama unazungumzia game za Man U na Newcastle maana sijaangalia fixtures za msimu ujao...still bdo sina wasiwasi...tupoteze tusipoteze ila narudia palepale msimu ulopita tumejifunza tulipoteleza na turudi vipi...mazoea ya kwmba eti ilikuwa fluke msahaumsahau
Ila eti Newcastle kuwa big match au sijui title contenders msahau hata kuwa top 4 contenders msahau...bdo mna safari ndefu kimabadiliko sana...come May mtayakumbuka haya maneno
 
Hilo kwangu ni kama sio kombe mkuu , sioni umuhimu wake bora hata FA cup winner hata kama haupo top 6 unaenda Europa. Na carabao lilivyokaa huwa naona kabisa halina mzuka as fan kulifurahia
Kwahiyo united wanavyosema waliua na msimu bora kuliko liva, chelsea au Arsenal ni wanajifurahisha?
 
Come May tutakuja kuulizana hapa...Chelsea na Hawa Tottenham ni mechi nyepesi kwa arsenal kuliko dhidi ya Brentford....Newcastle top 4 mloingia ni uzembe wa Tottenham na Liverpool...ninyi bdo Sanaa...mko karai moja na kina Chelsea na Aston villa huko....narudia tena na tena....mlichokipata mwaka jana hakitakuja kutokea tena karibuni...msahau
Upo sahihi hata hii pre season wanaunyaunya tu

Yule tonali mashabiki washaanza kuona Kama wamepigwa
 
Sheffield United and Arsenal have agreed a £5m deal for Auston Trusty. Personal terms are still to be agreed but shouldn’t be a problem.

[@DarrenSmithTWIF]
 
Arsenal will bid soon for Raya

(@FabrizioRomano )
Hawa Brentford nadhani wanatakiwa waturahisishie tumpate huyu maana Hawa si community project yetu Hawa? Kila season tunacheza nao preseason friendly Kwa miaka kibao Ili wapate mapato na kuwapa matactics.

Walivyofika premier league Bado tunaendelea kuwalea na wakipata chance wanatupiga, hawana utani. Kifupi tukefanikiwa kuwafanikisha. Tuseme hii timu nayo ni miongoni mwa mafanikio ya Wenger. Hivyo basi, wasitubanie.
 
Sheffield United and Arsenal have agreed a £5m deal for Auston Trusty. Personal terms are still to be agreed but shouldn’t be a problem.

[@DarrenSmithTWIF]
Pepe...Cedric... Tavares...yaani Hawa inakera mpk sasahv wapo sijui wanafanya nn
 
Back
Top Bottom