Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Timu ndivyo inavyotakiwa kusukwa kaka, inabidi kwenye kila nafasi kati ya mashabiki 10 basi kura zinagawanywa kama ilivyokua na Timber vs White na maeneo mengine sio kukalili team kama ilivyo kwa Newcastle yako vipi kaka mechi yenu mlitoka vipi juzi???
Kwahiyo Raya vs Ramsdale yupi ni bora zaidi kwako ambaye if mkiwa nao wote unahisi first 11 ataonekana sana?
Newcastle tuko
wanacheza madogo janja lakini moto wao si mdogo kuna dogo anaitwa eliot Anderson weka hili jina kichwani , then tukutane hapo August uzuriii wa magpies hata ukitangulia kwa 2 goals bado wanarudiii nadhani this season tutakuwa king of comeback!!!
badili na AV sasa


David Raya would prefer a move to Arsenal over Bayern Munich. Arsenal are well placed for his signing. Reports,
