Maurizio Sarri kaja Chelsea akiwa hana historia yakushinda makombe lakini kaja kuwin akiwa na club yetu, kushinda makombe inagemea na ambition ya club, historian yake pamoja na uwekezaji wa kikosi kwenye team pamoja na ubora wa kocha mwenyewe, kama unaletewa wachezaji wazuri na unapata msukumo wa mashabiki wakuhitaji makombe kwanini ushindwe kuchukua?Binafsi Pochinene kwenye kuendeleza vipaji sijawahi kuwa na doubt nae ,amefanya hivo akiwa soton , akaenda Spurs ndiye akaitoa level 1 kwenda nyingine had leo wapo hapa ,
Ndiye aliibua vipaji vingi Sana soton na Spurs akiwepo Harry Kane, n.k Kama Kane alishakataliwa Sana , pale Arsenal walisema kwa unene wake ule hawez kuwa forward .
Pochinene sijawahi kuwa na uhakika nae kwenye kukimbizana hasa mbio ndefu kwa Ligi Kama EPL
Yah ndio maana nimesema nawasiwasi nae hapo tu, mpira ni dynamicMaurizio Sarri kaja Chelsea akiwa hana historia yakushinda makombe lakini kaja kuwin akiwa na club yetu, kushinda makombe inagemea na ambition ya club, historian yake pamoja na uwekezaji wa kikosi kwenye team pamoja na ubora wa kocha mwenyewe, kama unaletewa wachezaji wazuri na unapata msukumo wa mashabiki wakuhitaji makombe kwanini ushindwe kuchukua?
Hao uliowataja Silva na Gundogan ni walaini ila ni far better than Kai kwasababu wana vitu vya kipekee ndivyo vilivyowafanya wan'gae mfano Silva ni kweli mlaini lakini ni mchezaji mwenye jicho la pass kwa kiwango cha juu, anajua kuficha mpira na ndio maana ni ngumu kumnyan'ganya mpira hata uwe na miguvu kiasi gani utaishia tu kumchezea rafu hiyo quality Kai hanaKwenye movement ni hatari anafanya Sana
Ni kweli yupo lain laini na ndio Mjadala mkubwa umejengwa hapo
Nina matumaini nae sababu Øde alifika Arsenal akiwa mlaini laini na mijadala ilikuwa mingi Sana
Ilimchukua muda kuzoea
In term of talent Kai anayo , so naona ni muda tu atazoea
David Silva , Gundogan wamecheza LCM pale mancity lakin awali ilikuwa ngumu ukiwaona unaweza kusema watacheza kweli eneo Hilo, baadae walikuwa hatari eneo Hilo
Ngoja tuone ,muda utasemaHao uliowataja Silva na Gundogan ni walaini ila ni far better than Kai kwasababu wana vitu vya kipekee ndivyo vilivyowafanya wan'gae mfano Silva ni kweli mlaini lakini ni mchezaji mwenye jicho la pass kwa kiwango cha juu, anajua kuficha mpira na ndio maana ni ngumu kumnyan'ganya mpira hata uwe na miguvu kiasi gani utaishia tu kumchezea rafu hiyo quality Kai hana
Hapana EPL I have always been arsenal fan ila outside EPL ni Atletico dam dam miaka yote. Ila tatizo humu wajuaji wengi ukimkosoa kocha unatolewa povu mpka jukwaa utaliona chungu.Mkuu,
Naona umerudi kwenye timu yako ya Moyoni, Kule Atl Madrid ulikuwa unazuga tu Mkuu kuhama timu sio kazi rahisi.
| Declan Rice: Alf tunabaki na Jesus pekee au kuna move ya new striker?NKETIAH TO CRYSTAL PALACE?
Palace wanamtaka nketiah Kama Jean Philip Mateta anaondoka
Itakuwa move nzuri Kama tutawauza wote Nketiah na Balogun
Ikitokea lazima kutakuwa na move nyingine ,au Kai awe false 9, ?Alf tunabaki na Jesus pekee au kuna move ya new striker?
Hua mnachambua baadhi ya vimaneno ndo mnaishi navyo kumbe!!Agent wa SAKA ndio Agent wa LAVIA..........SO WHAT ???????......SO WHAT ????
Arsenal Fans wengi ni STONE HEADES.
Kubaki na jesus na kai kama false9 ni bomu kwetu mzeee, tunaitaji profile tofauti na ni nketia pekee yuko tofauti na wale watu.Ikitokea lazima kutakuwa na move nyingine ,au Kai awe false 9, ?
Kuna Trossard, usimsahauAlf tunabaki na Jesus pekee au kuna move ya new striker?
Mm ndio maana hata sijamjibu huyo jamaaHua mnachambua baadhi ya vimaneno ndo mnaishi navyo kumbe!!
Ishu ya lavia toka mwanzo inategemea kuondoka au kubaki kwa Partey mnajitoa akili muda mwingine.
Arteta kocha wa mpira huyo. Huwezi kusikia maneno kama hayo yanaongelewa kwa 10 hagDeclan Rice-
"Kwa kweli naona soka kwa njia tofauti kabisa sasa.. Unapokuwa unakuwa unafikiri unajua soka unapokua unacheza, lakini unakutana na makocha kama Mikel Arteta na unagundua kuwa hujui lolote."
(kupitia @imadAFC )View attachment 2699533
Declan Rice about the chemistry with other Arsenal players:
“I sat next to him on the plane. I’ve been with him here quite a lot. He’s just an all-round top person. I’ve really got on with him and playing against him in the past as well, he was always a pain so it’s nice to have him on my side now.”(sky via tbr)ABSOLUTELY.Hapana EPL I have always been arsenal fan ila outside EPL ni Atletico dam dam miaka yote. Ila tatizo humu wajuaji wengi ukimkosoa kocha unatolewa povu mpka jukwaa utaliona chungu.
Halafu aje nani mkuu?NKETIAH TO CRYSTAL PALACE?
Palace wanamtaka nketiah Kama Jean Philip Mateta anaondoka
Itakuwa move nzuri Kama tutawauza wote Nketiah na Balogun