Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

“If you’re a young player and you see that Arsenal team, the atmosphere at the Emirates and the football that they play - You’re going to be thinking this is the perfect environment.”

VAN basten on why Declan Rice is a ‘perfect fit’ for Arsenal.
 
Arsenal imejitoa kwa Lavia na kumuachia Liverpool na Chelsea ,sababu hawana mpango wakumuuza Partey





Arsenal have gone quiet on Lavia as Thomas Partey could now stay.

(@FabrizioRomano )
 
Castr

BREAKING: Liverpool are preparing a new bid for Roméo Lavia — around £42.5m guaranteed fee plus £2.5m add ons up to total £45m package

Liverpool want to be fast as Chelsea are still interested in Lavia.

Arsenal gone quiet as Thomas could now stay. [@FabrizioRomano]
 
Mchezaji wao Bora kwa kila kitu alikuwa KAI

Kai Havertz for Chelsea in the 2022/23 Premier League:

◉ Most goals

◉ Most shots on target

◉ Most chances created

◉ Most aerial duels won

◉ Most possession won final ⅓

◉ Most final ⅓ passes

◉ Most duels won

◉ Most flick-ons

◉ Most lay-offs
Hawezi kuleta hizi takwimu humu.
 
Ukisema Chelsea ilikuwa imeoza basi isingeweza kuuza wachezaji wake kwenye timu nyingine
Chelsea ni kweli ilikua imeoza, navyosema chelsea namaanisha team ilikua haieleweki inacheza mfumo gani? Inacheza vipi kuuza kwa wachezaji ni kutokana na uko wanakoenda wanajua hii profile la mchezaji huyu akija kwangu atafit vizuri na atarudi kwenye kiwango chache ndo maana yangu iyo ya Chelsea kuoza.
 
️ | Bitello seems just like the player who would shock all the fans and be a great signing for the Gunners!

His game seems to have improved over the past 6 months, really gone up a level.

Arsenal to wrap up £7m deal this week according to Italian reports. #afc
20230725_194212.jpg
 
Spurs naona Zama zake zimeenda ,simuoni Top 5 , timu yao inazidi kupungua Sana makali

Hapa soon wanamuuza Kane

First eleven Yao ndio hii ,ukimtoa Malang Sarr hapo

Hojberg nae wanamuuza
20230726_150215.jpg
 
Castr

BREAKING: Liverpool are preparing a new bid for Roméo Lavia — around £42.5m guaranteed fee plus £2.5m add ons up to total £45m package

Liverpool want to be fast as Chelsea are still interested in Lavia.

Arsenal gone quiet as Thomas could now stay. [@FabrizioRomano]
Eish
 
Havertz ni hasara tayari kumbe?.
Ni Ozil aliyepoa na mvivu zaidi. Hana ubavu wa kukaba na kushinda challenge, sio mfungaji kucheza tisa, Hana spidi kucheza winger, so anaweza chezea namba 8 ila Sasa hatoweza defend kabisa hivyo anakua mzigo hasa kama Zinchenko atakua anapanda juu kushambulia.

Mimi nilipinga sana huu usajili tokea mwanzo sijui Arteta aliona Nini ambacho hatuoni? Inashangaza sana huu usajili
 
Against Arsenal, Barça will face the squad with the highest Transfermarkt value in the world.

sport
 
Ni Ozil aliyepoa na mvivu zaidi. Hana ubavu wa kukaba na kushinda challenge, sio mfungaji kucheza tisa, Hana spidi kucheza winger, so anaweza chezea namba 8 ila Sasa hatoweza defend kabisa hivyo anakua mzigo hasa kama Zinchenko atakua anapanda juu kushambulia.

Mimi nilipinga sana huu usajili tokea mwanzo sijui Arteta aliona Nini ambacho hatuoni? Inashangaza sana huu usajili
Alichokiona ww huwezi kukiona...ngoja msimu uanze acheze hata mechi 10 mfululizo then utaona Sasa alichokiona Kocha kwake hyo jamaa
 
️ | New Arsenal signing shocked by level of quality at the club.

New signing Declan Rice on life at Arsenal: “Yes, it's crazy (training with his new teammates). It's honestly crazy. I'm already seeing football in a completely different way.”

“You think you know football growing up and when you play, but when you meet managers like Mikel, you realise you don't really know anything about football.”
 
Ila Chelsea kweli ilikua umeoza yan Felix nae unamuweka kwenye wachezaji waliofanya vizuri msimu ulioisha??
Yan kwenye hao uliowataja walikua bora hakuna hata mmoja anaeweza kuingia kwenye kikosi cha top 10 ya last season.
Thiago Silva anaingia alikuwa bora sana last season as individual
 
Sikutaka nikujibu kama ulivyoniuliza hali kukuonesha kuwa Pochettino ni mzuri sana kwenye kuona mchezaji kumfanya awe bora ndio maana nimekutolea mifano mingi sio kama ulivyotaka wewe
Binafsi Pochinene kwenye kuendeleza vipaji sijawahi kuwa na doubt nae ,amefanya hivo akiwa soton , akaenda Spurs ndiye akaitoa level 1 kwenda nyingine had leo wapo hapa ,

Ndiye aliibua vipaji vingi Sana soton na Spurs akiwepo Harry Kane, n.k Kama Kane alishakataliwa Sana , pale Arsenal walisema kwa unene wake ule hawez kuwa forward .

Pochinene sijawahi kuwa na uhakika nae kwenye kukimbizana hasa mbio ndefu kwa Ligi Kama EPL
 
Ila mwanangu mna chuki Sana na Kai asee , Mimi naamin katika kipaji chake since yupo Germany, kipind hicho tunasema huyu ndiye mbadala sahihi wa Ozil, wengine wanamfananisha na Thomas Muller ,

Uzuri bado mdogo, soon kipaji chake kitakuwa Unlocked

Mnamsagia Sana kunguni
Mkuu sina chuki nae kabisa ananikera anavyokosaga magoal ya wazi, Kai angen'gaa lakini si kwa uingereza jamaa ni mayai mayai, slow, hajui kuficha mpira ila Mzuri kwenye kufanya movement ndani ya box kwenye hapa mbona utamkubali ila linakuja kwenye finish sio clinical finisher kwenya chance 8 atafunga 2
 
Mkuu sina chuki nae kabisa ananikera anavyokosaga magoal ya wazi, Kai angen'gaa lakini si kwa uingereza jamaa ni mayai mayai, slow, hajui kuficha mpira ila Mzuri kwenye kufanya movement ndani ya box kwenye hapa mbona utamkubali ila linakuja kwenye finish sio clinical finisher kwenya chance 8 atafunga 2
Kwenye movement ni hatari anafanya Sana

Ni kweli yupo lain laini na ndio Mjadala mkubwa umejengwa hapo

Nina matumaini nae sababu Øde alifika Arsenal akiwa mlaini laini na mijadala ilikuwa mingi Sana

Ilimchukua muda kuzoea

In term of talent Kai anayo , so naona ni muda tu atazoea

David Silva , Gundogan wamecheza LCM pale mancity lakin awali ilikuwa ngumu ukiwaona unaweza kusema watacheza kweli eneo Hilo, baadae walikuwa hatari eneo Hilo
 
Back
Top Bottom