Mchezaji wetu bora wa msimu uliopita alikuwa ni Thiago Silva pamoja na kuwa na msimu mmbovu kuna baadhi ya wachezaji walionesha viwango vizuri ukiachana na Thiago Silva kuna Enzo Fernandez, Bashichile,Fofana, Jaoa Felix na Reece James basi.
Nikija kwenye point ya kai kwa kiwango kibovu alistahili hata 10M mchezaji ambaye ninaweza kusema kiwango hakikuwa kibovu ni jorginho sema mashabiki hawakumpenda ni kwasababu Hawajui mpira na hawakupendezwa na aina yake ya soka lakini kwa jicho la mpira Jorginho ni mchezaji mzuri