Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pochettino anacheza soka la kushambulia sio possession football nikusahihishe hapo alafu ni kocha mwenye jicho la kuona kipaji na kukimprove
Hata anayepaki basi na kucounter na yeye anashambulia

Nitajie vipaji vitatu alivyoviimprove mpaka leo vinatamba duniani
 
Bado nina mtazamo tofauti na wengine, binafsi £100m zilizotumika kwa Rice, zingetumika kwa Caicedo nisingekuwa na la kusema.
Kile chuma ni underrated lakini shughuli yake si ya kitoto
Kwani Brighton wanataka kiasi gani kwa caicedo?
Bei ni hiyo hiyo

Advantage nyingine ni utaifa wa rice

Unajua kwanini magwaya au Shaw lazima waanze pale unyumbuni?

Kila timu lazima iwe na idadi flani ya wazawa on the pitch, and on the squad
 
Kwani Brighton wanataka kiasi gani kwa caicedo?
Bei ni hiyo hiyo

Advantage nyingine ni utaifa wa rice

Unajua kwanini magwaya au Shaw lazima waanze pale unyumbuni?

Kila timu lazima iwe na idadi flani ya wazawa on the pitch, and on the squad
Chelsea itamchukua Caicedo tu nimeona Taarifa chelseafc imepanga kupeleka offer nyingine kwa Brighton kwa kweli Brighton hawana masiala akikwambia bei fulani inabaki kuwa hivyo hivyo
 
Fafanua tuelewe
Msimu wake wa mwisho kafunga goal 9 kwenye mechi 30 utasemaje mchezaji Mzuri? na hapo kacheza kama no 9 na kwenye takwimu ya wachezaji walishindwa kutumia nafasi nyingi za goal yeye ni mmojawapo aliyeingia kwenye top 10 unamsajili vipi 65M? Chelseafc ameshukuru kweli hawakutegemea kama watamuuza kwa hiyo bei kulingana na kiwango kibovu alichoonesha
 
Leandro Trossard Declan Rice

Declan Rice names Leandro Trossard as a player that he feels he has a special on pitch chemistry with since arriving at Arsenal.
 
Msimu wake wa mwisho kafunga goal 9 kwenye mechi 30 utasemaje mchezaji Mzuri? na hapo kacheza kama no 9 na kwenye takwimu ya wachezaji walishindwa kutumia nafasi nyingi za goal yeye ni mmojawapo aliyeingia kwenye top 10 unamsajili vipi 65M? Chelseafc ameshukuru kweli hawakutegemea kama watamuuza kwa hiyo bei kulingana na kiwango kibovu alichoonesha
Kai Havertz has never really settled in the Premier League. Signed by Frank Lampard in 2020. Chelsea changed manager to Tuchel.Wins Chelsea Champions League, has a crappy pre-season. Chelsea hires Potter and then back to Lampard. 4*coaches, 3 different styles in 3yrs.I am Relaxed
 
Msimu wake wa mwisho kafunga goal 9 kwenye mechi 30 utasemaje mchezaji Mzuri? na hapo kacheza kama no 9 na kwenye takwimu ya wachezaji walishindwa kutumia nafasi nyingi za goal yeye ni mmojawapo aliyeingia kwenye top 10 unamsajili vipi 65M? Chelseafc ameshukuru kweli hawakutegemea kama watamuuza kwa hiyo bei kulingana na kiwango kibovu alichoonesha
Kwan chelsea nzima nan alikua na msimu mzuri na makadilio ya bei yake yangekua vipi kwa uyo mchezaji bora ndan ya chelsea?

Natural number ya kai ndio iyo aliyocheza Chelsea kwenye msimu wake wa mwisho??

Nipe takwimu sahihi za wachezaji waliotumia nafasi vizuri ndani ya Chelsea na wachezaji walioshindwa kutumia nafasi ndani ya chelsea.
 
Kai Havertz has never really settled in the Premier League. Signed by Frank Lampard in 2020. Chelsea changed manager to Tuchel.Wins Chelsea Champions League, has a crappy pre-season. Chelsea hires Potter and then back to Lampard. 4*coaches, 3 different styles in 3yrs.I am Relaxed
Unaweza ukajustify hoja yako lakini uwezi kunishawishi nimuone kai eti kafeli kwasababu ya kocha kwasababu ndiyo mchezaji alikuwa anacheza mechi nyingi na akaaminiwa na makocha wote pamoja na hivyo uwanjani hana impact anakupa performance mechi 2 mechi zinazofuata anacheza ovyo hana consistent kitu kilichokuwa kinatukera watu wengi ni kwamba hata acheze vibaya kiasi gani lazima amalize dk 90 na mechi zijazo atapangwa tena.
 
Unaweza ukajustify hoja yako lakini uwezi kunishawishi nimuone kai eti kafeli kwasababu ya kocha kwasababu ndiyo mchezaji alikuwa anacheza mechi nyingi na akaaminiwa na makocha wote pamoja na hivyo uwanjani hana impact anakupa performance mechi 2 mechi zinazofuata anacheza ovyo hana consistent kitu kilichokuwa kinatukera watu wengi ni kwamba hata acheze vibaya kiasi gani lazima amalize dk 90 na mechi zijazo atapangwa tena.
Time will tell
 
Kwan chelsea nzima nan alikua na msimu mzuri na makadilio ya bei yake yangekua vipi kwa uyo mchezaji bora ndan ya chelsea?

Natural number ya kai ndio iyo aliyocheza Chelsea kwenye msimu wake wa mwisho??

Nipe takwimu sahihi za wachezaji waliotumia nafasi vizuri ndani ya Chelsea na wachezaji walioshindwa kutumia nafasi ndani ya chelsea.
Mchezaji wetu bora wa msimu uliopita alikuwa ni Thiago Silva pamoja na kuwa na msimu mmbovu kuna baadhi ya wachezaji walionesha viwango vizuri ukiachana na Thiago Silva kuna Enzo Fernandez, Bashichile,Fofana, Jaoa Felix na Reece James basi.

Nikija kwenye point ya kai kwa kiwango kibovu alistahili hata 10M mchezaji ambaye ninaweza kusema kiwango hakikuwa kibovu ni jorginho sema mashabiki hawakumpenda ni kwasababu Hawajui mpira na hawakupendezwa na aina yake ya soka lakini kwa jicho la mpira Jorginho ni mchezaji mzuri
 
kitu kilichokuwa kinatukera watu wengi ni kwamba hata acheze vibaya kiasi gani lazima amalize dk 90 na mechi zijazo atapangwa tena.

kwa hiki ulichokiandika unazani ni kwanini? Makocha walikua wanarudia kumpanga tena na tena na tena??
 
Mchezaji wetu bora wa msimu uliopita alikuwa ni Thiago Silva pamoja na kuwa na msimu mmbovu kuna baadhi ya wachezaji walionesha viwango vizuri ukiachana na Thiago Silva kuna Enzo Fernandez, Bashichile,Fofana, Jaoa Felix na Reece James basi.
Hutaki kukili tu kua chelsea yooooote ilikua mbovu kuanzia kwa wachezaji hadi makocha wote waliopita pale

Huwez kupata ubora wa timu kwa kutegemea ubora wa mchezaji mmoja au wawili hao uliowataja aslimia 80 wameingia dirisha dogo.
 
Mchezaji wetu bora wa msimu uliopita alikuwa ni Thiago Silva pamoja na kuwa na msimu mmbovu kuna baadhi ya wachezaji walionesha viwango vizuri ukiachana na Thiago Silva kuna Enzo Fernandez, Bashichile,Fofana, Jaoa Felix na Reece James basi.

Nikija kwenye point ya kai kwa kiwango kibovu alistahili hata 10M mchezaji ambaye ninaweza kusema kiwango hakikuwa kibovu ni jorginho sema mashabiki hawakumpenda ni kwasababu Hawajui mpira na hawakupendezwa na aina yake ya soka lakini kwa jicho la mpira Jorginho ni mchezaji mzuri
Ila Chelsea kweli ilikua umeoza yan Felix nae unamuweka kwenye wachezaji waliofanya vizuri msimu ulioisha??
Yan kwenye hao uliowataja walikua bora hakuna hata mmoja anaeweza kuingia kwenye kikosi cha top 10 ya last season.
 
Kwan chelsea nzima nan alikua na msimu mzuri na makadilio ya bei yake yangekua vipi kwa uyo mchezaji bora ndan ya chelsea?

Natural number ya kai ndio iyo aliyocheza Chelsea kwenye msimu wake wa mwisho??

Nipe takwimu sahihi za wachezaji waliotumia nafasi vizuri ndani ya Chelsea na wachezaji walioshindwa kutumia nafasi ndani ya chelsea.
Mchezaji wao Bora kwa kila kitu alikuwa KAI

Kai Havertz for Chelsea in the 2022/23 Premier League:

◉ Most goals

◉ Most shots on target

◉ Most chances created

◉ Most aerial duels won

◉ Most possession won final ⅓

◉ Most final ⅓ passes

◉ Most duels won

◉ Most flick-ons

◉ Most lay-offs
 
kitu kilichokuwa kinatukera watu wengi ni kwamba hata acheze vibaya kiasi gani lazima amalize dk 90 na mechi zijazo atapangwa tena.

kwa hiki ulichokiandika unazani ni kwanini? Makocha walikua wanarudia kumpanga tena na tena na tena??
Kwanza tulikuwa hatuna mbadala wa kai kama tungekuwa na striker wa maana hata wa kiwango cha kati Kai asingepata number

Jambo la pili makocha wanakuwaga na wachezaji wao pendwa mfano Maguire pamoja na kiwango kibovu still alikuwa anacheza
 
Ila Chelsea kweli ilikua umeoza yan Felix nae unamuweka kwenye wachezaji waliofanya vizuri msimu ulioisha??
Yan kwenye hao uliowataja walikua bora hakuna hata mmoja anaeweza kuingia kwenye kikosi cha top 10 ya last season.
Ukisema Chelsea ilikuwa imeoza basi isingeweza kuuza wachezaji wake kwenye timu nyingine
 
Kwanza tulikuwa hatuna mbadala wa kai kama tungekuwa na striker wa maana hata wa kiwango cha kati Kai asingepata number

Jambo la pili makocha wanakuwaga na wachezaji wao pendwa mfano Maguire pamoja na kiwango kibovu still alikuwa anacheza
Ila mwanangu mna chuki Sana na Kai asee , Mimi naamin katika kipaji chake since yupo Germany, kipind hicho tunasema huyu ndiye mbadala sahihi wa Ozil, wengine wanamfananisha na Thomas Muller ,

Uzuri bado mdogo, soon kipaji chake kitakuwa Unlocked

Mnamsagia Sana kunguni
 
Back
Top Bottom