Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Sidhan Kama jamaa ana mtazamo huo unaousema na sijaona sehemu kasema kahamia atletico
Nilichosema mm ni uhalisia wa Arsenal kwenye makocha ,hawana hizo habari za timua timua
Hata Emery alitimuliwa sababu alikuwa anaididimiza klabu inacheza Kama manjesta au Burney ,
Arteta sio kwamba ni kipenz Cha owners tu hata mashabiki wanampenda ,ndio maana nasema anaweza kufika hata miaka 20+
Nyie manjesta subiri 7hag ayumbe kidogo ,x mass anaweza asiione
Masterclass Arteta ni kocha la makocha, ashawapigisha pindi sana kina 7Hag, Pep, Mancini na Luis Enrique pale Mchikichini.
Msimu huu unaambiwa Masterclass king of pressing & overloading hakuna kombe lolote ataacha kubeba, na mkiletea jeuri anachukua mpaka Cecafa ili kuwafunga midomo.
Hii siyo Arsenal ya ndoo, hii ni Arsenal ya mindoo, mibeseni mpaka mabakuli yote.