Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hapa kagusia kidogo tu kua hio pesa mliyopoteza kumnunua Harvez ni bora mngemchukua Diaby au Olise, jamaa akamkumbushia kuhusu Atletico Madrid

Masterclass Arteta ni kocha la makocha, ashawapigisha pindi sana kina 7Hag, Pep, Mancini na Luis Enrique pale Mchikichini.
Msimu huu unaambiwa Masterclass king of pressing & overloading hakuna kombe lolote ataacha kubeba, na mkiletea jeuri anachukua mpaka Cecafa ili kuwafunga midomo.

Hii siyo Arsenal ya ndoo, hii ni Arsenal ya mindoo, mibeseni mpaka mabakuli yote.
 
Yule kocha wao Baba Ubaya muangalie hata akifanya press conference anayoyaongea...yaani kakaa kivitavita tu....kama hii ndo style wanayotaka kuja nayo kwny ligi kuu wajiandae na suspension nyingi za wachezaji....watu wanacheza kama Abajalo fc mzee....wakati ni pre season tu
 
The masterclass mwenyewe,
Unaambiwa mpaka marehemu mzee wenger kipindi anafundisha Arsenal alikua anamuomba Arteta awe anamfundisha technics za football.
Kipindi hicho Arteta ni mchezaji lakini first eleven na Subs zote alikua anapanga yeye.
Masterclass anaenda kudominate Epl kwa zaidi ya miaka 30.
 
Amedanganya...kamwambia kijana chezacheza kwa Hawa malofa ukibakiza mwaka mmoja tutakuchukua uje kucheza na wanaojua mpira sio hao wacheza ndoige
 
dunia imebadilika watu wanataka sexy football ya Masterclass Arteta ila baba ubaya anang'ang'ania kuvunja kuni mpaka kwenye pre season.
 
Acha uchochezi
 
| Gabriel Jesus on his injury last season:

“Comparing with my injury on my foot in 2017 it’s so different. This is my first injury, and I hope, it’s the last one on the knee.

“So now I'm suffering a little bit more than with my foot. So it’s been hard, but I'm working hard to get fitness and then come back strong.

“I want help. I want to work, I want to learn from Mister [Mikel Arteta], from the players as well.”


[@arsenal] #afc
 
Huyo jamaa huwa anapenda kuchochea ,halafu baadae anasema Arsenal fans Wana matusi ,n.k ila Hakuna mtu mchochezi Kama huyo jamaa ,anawekaga mitego yake itokee fujo humu afurahie
Ila ni mmoja kati ya wapenzi wa mpira wazuri tu na hasa beautiful sex soccer kama ya arsenal

Flanoooooooooooooooooo
 
Na hii ni hatari, amecheza gemu nyingi mnoo ni vizuri apate sub ya uhakika au awe rotated Kila wakati otherwise yatamkuta ya Wilshere au Diaby.

Hiyo pesa tuliyoingia hasara kwa Havertz ingefaa tusajili RW kma ni Diaby au Olise n.k
Havertz amecheza mechi ngapi mpaka useme tumekula hasara Mzee??

For only one game???Aaaaaah sio kweli mkuu
 
Na hii ni hatari, amecheza gemu nyingi mnoo ni vizuri apate sub ya uhakika au awe rotated Kila wakati otherwise yatamkuta ya Wilshere au Diaby.

Hiyo pesa tuliyoingia hasara kwa Havertz ingefaa tusajili RW kma ni Diaby au Olise n.k
Havertz ni hasara tayari kumbe?.
 
Utakua pimbi kama unaamini Pochettino ni kocha wa kucheza possession football itakayowapa wachezaji wenu muda wa kufanya 1,2 au kumnyanyasa mpinzani
Pochettino anacheza soka la kushambulia sio possession football nikusahihishe hapo alafu ni kocha mwenye jicho la kuona kipaji na kukimprove
 
Kufungwa na timu mbovu kama Man u binafsi naamini either ni kukosa balance au overconfidence ni dhambi kwa Arsenal hii kufungwa na timu kama Man u, Chelsea au Liverpool.
tuna Maagent wawili hapo kwenu Kai na jorginho kama mtawachezesha ngumu nyinyi kupata ushindi kwetu
 
Pochettino anacheza soka la kushambulia sio possession football nikusahihishe hapo alafu ni kocha mwenye jicho la kuona kipaji na kukimprove
Hata anayepaki basi na kucounter na yeye anashambulia

Nitajie vipaji vitatu alivyoviimprove mpaka leo vinatamba duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…