Yah hii timu yetu huwa inahitaji flow ya mipira kule mbele BasiNdio maana partey alivyoumia Lokonga hakutosha pale kwenye kiungo
Tukajikuta timu nzima inadrop chini kabisa kusaidia defense
Sasa saka na martinel ukiwahakikishia flow ya mipira kule mbele, kwa wastani wwa kila dakika 20 lazima ufungwe tu
Zinchenko pass 2 nyuma nane zitaelekea mbele
Vision ya odegard na Sasa hivi tuna huyu rice ambae nae ni mnyambulikaji mzuri.
saka hana record za majerui ya Mara kwa Mara.
Kuna balaa Sana msimu huu,![]()
Mpira utakuwa mzuri sitarajii kuparamianaHiko kikosi inabidi waamue tuwafunge ngapi kistaarabu tu
Sasa ile no phase ya 4Yah hii timu yetu huwa inahitaji flow ya mipira kule mbele Basi
Umenikumbusha kweli, alikuwa akiumia Partey ,inakuwa timu ya tofaut kabisa,angalia hata mwisho alipoumia Zinny , Kuna Radha unaikosa
Nikionaga mtu ana mdisrespect Zinny ,huwa nataman nimchape vibao aisee
Yule mbwa anapiga pass ,
Newcastle wanaziba Sana mianya walimkubali ,





Ofcoz, wale sio nyumbuMpira utakuwa mzuri sitarajii kuparamiana
Kuna mechi Vs Newcastle Emirates ,jamaa walikuwa wanaomba mechi iishe maana muda wote Nelli na Saka wanaletewa MaliSasa ile no phase ya 4
Phase ya 5 kila namba iwe na watu wawil, wanaofanana uwezo ambao wapo versatile
Kyle Walker mwenyewe anakuambia zinchenko ni noma
Partey na zinny wakiishika dimba unatamani mpira usiishe
Nyumbu alitembezewa msako Hadi akapanua mapaja mwenyewe
Flano akitoka lindoni atasema tunajisifu Sana![]()
Ni kwamba anamuacha Sana Saka anakuwa alone ?Ofcoz, wale sio nyumbu
Ni ufundi na uwezo binafsi wa wachezaji,
Mimi nitatumia muda mwingi kumuangalia timber, Kuna vitu nashindwa kuviongea kutoka kwake
Hiyo ni mechi nzuri yakupimana Sana kwenye matumizi ya umiliki mpira , ufundi , positioning ,Ofcoz, wale sio nyumbu
Ni ufundi na uwezo binafsi wa wachezaji,
Mimi nitatumia muda mwingi kumuangalia timber, Kuna vitu nashindwa kuviongea kutoka kwake
Mimi naitamani hii hapaKuna mechi Vs Newcastle Emirates ,jamaa walikuwa wanaomba mechi iishe maana muda wote Nelli na Saka wanaletewa Mali
Na hiyo ya Nyumbu , Shaw kila muda anakuta Saka huyu hapa
Kuna combination nadhani ndio itaanza Ligi
Partey dimba la chini ,Zinny ndan , Rice ndani
| Kieran Tierney on learning Oleksandr Zinchenko’s position: Kwasababu timber na saka partnership unahitaji muda wazoeane
Kuna trossad, Rowe, Kai, kiwior, tomiyasu
Hapo bado Kuna Tierney, nketiah, Nelson
Kudus je akija?
Mbape nasikia anatushobokea, Ila Arteta amekausha
Kusema kweli, Mimi nakosa first eleven, Ila najua msimamo wa kwanza ni Arsenal NDOO
Naimani Arteta huko alipo kichwa kinamuuma Kama mimi
Maji wataita mmaKa resume mazoezi na wenzieView attachment 2699238
Kwasababu timber na saka partnership unahitaji muda wazoeane
Kuna trossad, Rowe, Kai, kiwior, tomiyasu
Hapo bado Kuna Tierney, nketiah, Nelson
Kudus je akija?
Mbape nasikia anatushobokea, Ila Arteta amekausha
Kusema kweli, Mimi nakosa first eleven, Ila najua msimamo wa kwanza ni Arsenal NDOO
Naimani Arteta huko alipo kichwa kinamuuma Kama mimi


mbapeKa resume mazoezi na wenzieView attachment 2699238
Na hii ni hatari, amecheza gemu nyingi mnoo ni vizuri apate sub ya uhakika au awe rotated Kila wakati otherwise yatamkuta ya Wilshere au Diaby.saka hana record za majerui ya Mara kwa Mara.
Trust me alishindwa deliver msimu huu atatimuliwa, expectations zikiwa juu sana ndio unapofukuzwa.Alishaonesha mwanga wapi timu anaipeleka , tatizo mashabiki wengi wanasahau Arsenal aliyoikuta na alipoifikisha Sasa na inapoelekea
Ni swala la muda Arsenal kuanza kupambania mataji makubwa Tena
Sio habari ya top 4 tena ,
Kwa culture ya Arsenal ni wazi huyu jamaa walishamuandaa ,ukiweka mising mizuri mataji yatakuja tu ,Sion akifukuzwa namuona akikaa Sana Arsenal like Wenger
Sababu anapita mule mule alipopita Wenger ,halafu yeye ana advantage anapewa Pesa za kutosha