NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Kitu pekee mnajivunia Arsenal ni golden Epl ambayo mlimaliza na madroo kibao😃.Mna uchumi mkubwa inakuwaje mnaenda kununua CF ambaye hata Burney walimshindwa ?
Mna uchumi mkubwa , mbona mmeshindwa kumnunua Kim jae kwa pesa ya £40m tu,
Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika
Eti walitetereka
Yaan mmetumia €250m ili mbebe ubingwa sio kuchukua Carabao after 6yrs
Kenge walitumia £600m ili wagombee kushuka daraja ?
Mnapokuja humu mkae kwa kutulia tutawalamba spana vzr ,
👉Unpopular opinion:Manchester City iliyomaliza na pointi 100 ni kali kuliko Arsenal ya invisible😃

.
Unpopular opinion:Manchester City iliyomaliza na pointi 100 ni kali kuliko Arsenal ya invisible