Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poa, Arsenal timu bora sana, ile kiungo ya WALI na Martin EPL mnachukua, unajua binafsi pale Manchester, Chelsea, City na liverpool hakuna timu ya kushindana na arsenal, SAKA ni winger na anazid kukua namuona km CR7 ajae, beki zetu zipo solid....nahic hakuna wa kuzuia arsenal 2023/2024.... Flano , hamis77 , Papaa Gx , Forgotten na wengine wote mtulie Sisi arsenal ni moto kuanzia beki, mid, had attacking EPL sisi ni top.

HIVI NDIO ARSENAL WANAPENDA YAAN USIFIE TU, WAKATI UHALISIA NEXT SEASON UTAJULIKANA NA TOP 4 HAWAINGII
one season wenzao Leicester City walikaza wakabeba kombe, hawa kina Arsenyau wamekaza makalio siku 258 zimebaki siku 30 tu wachukue ubingwa wakalegeza makalio Man City akawapiga bao.
Hapa sasa hivi wanadanganyana kua msimu ujao watapretend tena kama walivyo pretend msimu uliosha, wawaulize one season wonder wenzao Leicester City waliishia wapi baada ya msimu wa 2015/2016.
1690271634845.jpg
 
Tena Kama huyo Flano yeye akiamkia humu, anashinda humu na comments zake za usiku huwa ni kwenye hili jukwaa letu, Hadi najiuliza huyu jamaa kweli analala au ni mlinzi huyu ?

Tena amefika mbali hataki Tena mijadala na nyumbuz wenzake yeye na sisi tu.
Kibaya zaidi hawasimami na hoja moja, wanarukatuka Kama maharage

Kenges huwa hawaamini ukubwa wao bila kushindana na sisi
Jukwaa wamemuachia lembu , yule dogo asiyejua ata kuandika olashuga sijui, huko alipo anawaza arsenal inafungwa lini ili anunue bando aje kututukana

Sasa pimbi Kama hizi hamis77 dawa yao ni kupiga spana tu
 
one season wenzao Leicester City walikaza wakabeba kombe, hawa kina Arsenyau wamekaza makalio siku 258 zimebaki siku 30 tu wachukue ubingwa wakalegeza makalio Man City akawapiga bao.
Hapa sasa hivi wanadanganyana kua msimu ujao watapretend tena kama walivyo pretend msimu uliosha, wawaulize one season wonder wenzao Leicester City waliishia wapi baada ya msimu wa 2015/2016.View attachment 2698477
Hata manjesta last season ni ones season wonder

Huwez kuwa unacheza vipigo 7-0,6-2, 4-0,4-0

CF wako Hana goli hata 1

Haya ni maajabu ,
 
Unatafuta Sana uchawa na uchocheaji humu

Wewe ni nyumbu Lin utaisifia Arsenal

Wewe kaa kwenye majukumu yako ya kuponda ,sisi tutakaa kwenye majukumu ya kusawazisha


Mnapozidiwa mnaanza ohoo tunajikweza ,hatutaki kupingwa ,


Kaa kwenye majukumu yako ya kuponda,kukebehi ,chochea na wale mamluki muungane

Ila tunapokuja kusawazisha mtulie hivo hivo

Tumewachekea Sana Sasa ni muda wakutembeza JAMBIA


KWASASA MIMI NI MZEE WA JAMBIA
sawa Mc Masingeli ila punguzeni udikteta basi, tukija na hoja mnatupiga marufuku tusiwaqoute, ndio maana tunaamua kua machawa humu.
hamis77 endelea kuwapiga spana machawa na mamluki mimi nakuunga mkono ila usitupige marufuku kukuqoute.
Screenshot_20230503-151427.jpg
 
Huyo Flano ni chawa , kule jukwaa lao walikuwepo madalali wa Sheikh Jasim, niliwaambia hiyo timu haiuzwi

Kahamia humu kukebehi,kuandika magazet ya kuponda

Sasa sisi tukisawazisha anakuja analalamika anatafuta uchawa kupata sapoti

Kuanzia Sasa nakuwa natembea na Jambia

Huyu jamaa anashinda humu kuliko jukwaa lao
Once nyumbu always nyumbu

Unaweza kujiuliza Kuna uhusiano gani Kati ya nyumbuz fan na mfumo wa ufikiriaji, ukiachana na Flano ambae anatumia muda mwingi kuiwaza arsenal kuliko nyumbu wenzake, wenzake pia wanamuundo huu huu wa ufikiriaji

Unamuambia starting eleven ya arsenal nyumbu gani anaingia
Anakutajia varane, Shaw, Bruno, rashford, magwaya, bisaka, Sancho, elanga,

Kama mtu unahasira za karibu unaweza kupiga simu chini
 
Once nyumbu always nyumbu

Unaweza kujiuliza Kuna uhusiano gani Kati ya nyumbuz fan na mfumo wa ufikiriaji, ukiachana na Flano ambae anatumia muda mwingi kuiwaza arsenal kuliko nyumbu wenzake, wenzake pia wanamuundo huu huu wa ufikiriaji

Unamuambia starting eleven ya arsenal nyumbu gani anaingia
Anakutajia varane, Shaw, Bruno, rashford, magwaya, bisaka, Sancho, elanga,

Kama mtu unahasira za karibu unaweza kupiga simu chini
ila Arsenyau mnamaneno sijapata kuona aiseeeee, siku mtakayo bahatika kuchukua Epl sijui tutaweka wapi sura zetu, maana ile kuongoza ligi tu mtaani tulikua hatuishi kwa amani.
 
sawa Mc Masingeli ila punguzeni udikteta basi, tukija na hoja mnatupiga marufuku tusiwaqoute, ndio maana tunaamua kua machawa humu.
hamis77 endelea kuwapiga spana machawa na mamluki mimi nakuunga mkono ila usitupige marufuku kukuqoute. View attachment 2698482
Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja

Hakuna udikteta ,kwasasa nataka nipinge mamluki wote unaowasapoti , Timu ikishinda hawaonekani ikifungwa mechi moja tunaona essay Kama mfecane War


Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK

Tukifungwa ndio unatokea na kutoa kashfa na kebehi ambazo hazina tofaut na Wapinzani wengine ,

Tukiwapiga spana watu wa hivo ,wewe unageuka chawa wao

Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea
 
Once nyumbu always nyumbu

Unaweza kujiuliza Kuna uhusiano gani Kati ya nyumbuz fan na mfumo wa ufikiriaji, ukiachana na Flano ambae anatumia muda mwingi kuiwaza arsenal kuliko nyumbu wenzake, wenzake pia wanamuundo huu huu wa ufikiriaji

Unamuambia starting eleven ya arsenal nyumbu gani anaingia
Anakutajia varane, Shaw, Bruno, rashford, magwaya, bisaka, Sancho, elanga,

Kama mtu unahasira za karibu unaweza kupiga simu chini
Ukiwakatalia wanasema sisi madikteta

Kipind wanamsajili Anthony masebene niliwaambia wamepigwa waliniandama Sana na kupinga

Leo wanasema tuna nongwa

Wao kuisema Arsenal vibaya it's OK, Tena wanataka tusapoti ujinga
 
ila Arsenyau mnamaneno sijapata kuona aiseeeee, siku mtakayo bahatika kuchukua Epl sijui tutaweka wapi sura zetu, maana ile kuongoza ligi tu mtaani tulikua hatuishi kwa amani.
Arsenal ilishachukua EPL bila kufungwa

Nyie ndio mna maneno Ila tukirudisha mnalalamika Sana

Mlituandamana Sana humu hatuna pesa ,Mara Rice hawez kuja Arsenal

City aliporusha taulo mkabadili kauli

Zote tunasafisha ,mnabadili gia angani mnasema Hatutaki kupingwa

Mbona nyie hamtubu mlivyodai hata top 6 hatuingii last season

Nyie kwasasa subirien tu kumshangilia mancity ndio kazi mnayoiweza
 
Sasa hivi mnapigwa spana

Ligi ikianza tunatembeza JAMBIA
Hawataki turudishe maneno yao

Mimi kauli zao nazikumbuka vzr Sana

Ndio maana Arteta alisema

Ligi haijaanza hawakutuweka hata top 6

Akasema tumeshika nafasi ya 2 watu wale wale wanasema tumefeli


Hii inaonesha Level tuliyopo Sasa

Wakasema Hatuwez shindana na city kwa usajili na hatuna hela ,imewekwa ubaoni £105m wamebadili kauli ,oho City hakumtaka


Watu Kama Hawa ukiwajibu wanasema Tunajikweza ,
 
Flano nenda jukwaa lenu mkajadili uuzwaji wa timu ,

Tunataka Wana arsenal humu tujadili timu yetu ,mipango kuelekea kupambania EPL na UCL
 
Gabriel Martinelli has indicated that he's hoping to better last season's total of 15 Premier League goals.
20230725_102714.jpg
 
Flano nenda jukwaa lenu mkajadili uuzwaji wa timu ,

Tunataka Wana arsenal humu tujadili timu yetu ,mipango kuelekea kupambania EPL na UCL
Wenger orphans wapi wapi na makombe uliyoyataja nyie msemage kugombea FA tu ndo kombe lenu.

Yani mkae miaka 7 mjaingia UCL hafu ndo ubahatishe kuingia msimu huu uanze na kuwaza ilo kombe izi akili au matope.
 
Wenger orphans wapi wapi na makombe uliyoyataja nyie msemage kugombea FA tu ndo kombe lenu.

Yani mkae miaka 7 mjaingia UCL hafu ndo ubahatishe kuingia msimu huu uanze na kuwaza ilo kombe izi akili au matope.
How about manjesta kukaa miaka 6 bila hata kikombe Cha uji ?


Na hapo mnatumia karibu £700m kwa usajili
Arsenal tumecheza UCL miaka 20 mfululizo , transition period tuliyopitia baada ya Wenger kuja had Sasa ndio hatujaingia UCL ,



Aliyewaita nyumbu hakukosea

Haya nenda kaimbe Graza out wakati huo timu akipewa Dk.Shika
 
Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja

Hakuna udikteta ,kwasasa nataka nipinge mamluki wote unaowasapoti , Timu ikishinda hawaonekani ikifungwa mechi moja tunaona essay Kama mfecane War


Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK

Tukifungwa ndio unatokea na kutoa kashfa na kebehi ambazo hazina tofaut na Wapinzani wengine ,

Tukiwapiga spana watu wa hivo ,wewe unageuka chawa wao

Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea
*
"Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja"


Hapa sio kweli nnakupinga kwa nguvu zote, mimi hua sina fact wala hoja yoyote zaidi ya spana tu za furahisha genge na haujawahi kunipiga marufuku ya kukuqoute, ila mtu mwenye hoja za msingi na anaeweza kusimama toe to toe na wewe hua unampotezea, maana unajua anakuzidi kwa hoja na evidence, zaidi utaishia kumuattack kua ni mamluki na kumpiga marufuku asikuqoute.




*
"Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK
Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea"



Kuhama timu sio dhambi na sisi tutamchukulia kama mpinzani wetu, akija na challenges na sisi tutamchallenge na akija na facts pia tutamjibu kwa facts kamwe hatuwezi kumchukulia kama adui, atabaki kua ni mpinzani na kama facts zake ni za kweli sisi tutaiunga mkono hoja yake hua hatuna kawaida ya kutetea mapungufu.
Tatizo lenu nyie hamtaki timu yenu ikosolewe, nyinyi mnataka hata kwenye mapungufu/makosa ya wazi msifiwe tu.
 
Mna uchumi mkubwa inakuwaje mnaenda kununua CF ambaye hata Burney walimshindwa ?

Mna uchumi mkubwa , mbona mmeshindwa kumnunua Kim jae kwa pesa ya £40m tu,

Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika

Eti walitetereka

Yaan mmetumia €250m ili mbebe ubingwa sio kuchukua Carabao after 6yrs

Kenge walitumia £600m ili wagombee kushuka daraja ?

Mnapokuja humu mkae kwa kutulia tutawalamba spana vzr ,
Kwani Arsenal mna U-giant gani toa hoja zako tuzione.
 
*
"Ukiona nimekataa mtu kuni qoute ni sababu naona Hana fact zozote ,au anaongea pumba ,Sasa muda mwingi napenda kujadili hoja kwa hoja"


Hapa sio kweli nnakupinga kwa nguvu zote, mimi hua sina fact wala hoja yoyote zaidi ya spana tu za furahisha genge na haujawahi kunipiga marufuku ya kukuqoute, ila mtu mwenye hoja za msingi na anaeweza kusimama toe to toe na wewe hua unampotezea, maana unajua anakuzidi kwa hoja na evidence, zaidi utaishia kumuattack kua ni mamluki na kumpiga marufuku asikuqoute.




*
"Mtu umetangaza hadharana umehama Arsenal na kuhamia timu nyingine ,OK
Sidhan Kama kule kwenu atatokea mamluki ahame halafu aanze kuponda Kama mtamuacha salama ,ila humu mnakuja kuwatetea"



Kuhama timu sio dhambi na sisi tutamchukulia kama mpinzani wetu, akija na challenges na sisi tutamchallenge na akija na facts pia tutamjibu kwa facts kamwe hatuwezi kumchukulia kama adui, atabaki kua ni mpinzani na kama facts zake ni za kweli sisi tutaiunga mkono hoja yake hua hatuna kawaida ya kutetea mapungufu.
Tatizo lenu nyie hamtaki timu yenu ikosolewe, nyinyi mnataka hata kwenye mapungufu/makosa ya wazi msifiwe tu.
Siokweli , Kuna mtu mwehu humu kuliko wewe ,why sijawahi na sitawahi kukataa kujadiliana na wewe ,maana najua wewe ni nyumbu na always ni nyumbu

Ila wanafiki lazima nikae nao mbali na sio kwamba siwez kuwapiga spana ,no ,

MTU aliyeasi ni mbaya Sana ,na asikudanganye mtu Hakuna anayeweza kuhama timu maisha yote

Kwa jeshini watu Kama hao wanaosema wamehama ilikuwa adhabu Yao ni kifo
 
Back
Top Bottom