Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Poa, Arsenal timu bora sana, ile kiungo ya WALI na Martin EPL mnachukua, unajua binafsi pale Manchester, Chelsea, City na liverpool hakuna timu ya kushindana na arsenal, SAKA ni winger na anazid kukua namuona km CR7 ajae, beki zetu zipo solid....nahic hakuna wa kuzuia arsenal 2023/2024.... Flano , hamis77 , Papaa Gx , Forgotten na wengine wote mtulie Sisi arsenal ni moto kuanzia beki, mid, had attacking EPL sisi ni top.
HIVI NDIO ARSENAL WANAPENDA YAAN USIFIE TU, WAKATI UHALISIA NEXT SEASON UTAJULIKANA NA TOP 4 HAWAINGII



one season wenzao Leicester City walikaza wakabeba kombe, hawa kina Arsenyau wamekaza makalio siku 258 zimebaki siku 30 tu wachukue ubingwa wakalegeza makalio Man City akawapiga bao. Hapa sasa hivi wanadanganyana kua msimu ujao watapretend tena kama walivyo pretend msimu uliosha, wawaulize one season wonder wenzao Leicester City waliishia wapi baada ya msimu wa 2015/2016.


