hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
Namuangalia Liverpool hapa , kazi anayo asipongeza depth ya kikos ,asipotafuta DM , Lakin pia anahitaji muunganiko wa haraka kwenye midfield , VVD ,matip umri unawatupa mkono
Bado siamin Kama Liverpool ni title Contender Kama hataongeza wachezaji wanne zaidi
Mwisho wa dirisha nitajua baada ya usajili wake kukamilika
Bado siamin Kama Liverpool ni title Contender Kama hataongeza wachezaji wanne zaidi
Mwisho wa dirisha nitajua baada ya usajili wake kukamilika
@JordanC1107
theathletic.com/4697660/?sourc…
€700m a year 
niangalie movie hii ya hatari ambayo haijawahi kutokea kwenye football
️ nimeamini huwezi kushindana na club yako na ukashinda Mbappe alichokoza nyuki sasa wamemvamia