hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,661
- 27,519
Namuangalia Liverpool hapa , kazi anayo asipongeza depth ya kikos ,asipotafuta DM , Lakin pia anahitaji muunganiko wa haraka kwenye midfield , VVD ,matip umri unawatupa mkono
Bado siamin Kama Liverpool ni title Contender Kama hataongeza wachezaji wanne zaidi
Mwisho wa dirisha nitajua baada ya usajili wake kukamilika
Bado siamin Kama Liverpool ni title Contender Kama hataongeza wachezaji wanne zaidi
Mwisho wa dirisha nitajua baada ya usajili wake kukamilika