hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,685
Haiwezekani hiyo kitu ,inabidi mchezaji aridhieKwani inaweza kutokea club ikaamua kukuuza alf wewe ukakataa itakuaje? ???
Haiwezekani hiyo kitu ,inabidi mchezaji aridhieKwani inaweza kutokea club ikaamua kukuuza alf wewe ukakataa itakuaje? ???
End 4-4Namuangalia Liverpool hapa , kazi anayo asipongeza depth ya kikos ,asipotafuta DM , Lakin pia anahitaji muunganiko wa haraka kwenye midfield , VVD ,matip umri unawatupa mkono
Bado siamin Kama Liverpool ni title Contender Kama hataongeza wachezaji wanne zaidi
Mwisho wa dirisha nitajua baada ya usajili wake kukamilikaView attachment 2697854
Lazima asepe but anaenda anapopataka?shida ndio inaanzia hapaKwani inaweza kutokea club ikaamua kukuuza alf wewe ukakataa itakuaje? ???
Tafuta tafsiri ya neno USHABIKIAcha kutafuta uwiano wakati ulikua unatapatapa hapa mara man u wasilete wachezaji mara atateta arushe nini watakaookata ndiyo waanze. Baada ya kufungwa misumali miwili ohoo tunatafuta uwiano.
Uwiano by footpole sana inauma lakini
Al-Hilal’s offer for Kylian Mbappe:
€700m a year
€58.33m a month
€13.3m a week
€1.9m a day
€79,900 an hour
€1,332 a minute
€22 per second



Pesa ya kumsajili Mbappe pamoja na huo mshahara wake wa mwaka mmoja inatosha kabisa kununua mid table team kama kaArsenyo.Pesa ya kumsajili Mbappe pamoja na huo mshahara wake wa mwaka mmoja inatosha kabisa kununua mid table team kama kaArsenyo.View attachment 2697889

manjesta bhana ,sindio nyie mmefilisika , how comes klabu inayojitanabaisha tajiri inashindwa kununua wachezaji wakueleweka inaenda kuokota kina Weghost ambaye hata Burney walimshindwa Itabidi mtuzoee tu mkuu. Huo full mkoko unaolalamika, sisi kwetu ndo kikosi cha majaribio hicho. Mtuzoee tuuu.Walikua wanaakwambia we don't play friendlies. Eti hii ni war hakuna mechi ya kirafiki ya Arsenal vs Man U😃. Wakaweka full mkoko baada ya kichapo wanasema tulikamia.
Pesa ya kumsajili Mbappe pamoja na huo mshahara wake wa mwaka mmoja inatosha kabisa kununua mid table team kama kaArsenyo.View attachment 2697889
Ambacho sielewi ni Mbappe ana nini cha kufanya hii klabu iwe ina tabia za vilabu vya bongo.Vita kubwa sana hii PSG ndiye muamuzi wa mwisho na pound Milioni almost 300 sio hela ya kitoto na Mbappe kwenda Saudi kwa sasa sidhani kama ana wazo hilo hapa nitafute popcorn![]()
niangalie movie hii ya hatari ambayo haijawahi kutokea kwenye football
️ nimeamini huwezi kushindana na club yako na ukashinda Mbappe alichokoza nyuki sasa wamemvamia
Huyo hawez kuelewa,mpira kwa ulaya umedhibitiwa kwa FFP,View attachment 2697981View attachment 2697982Hapa the gunners, Kroenke anaweza kuinunua hiyo PSG yote, sio mbappe tuuu. Na change inayobaki tunainunua nyumbuz f.c af tunaigeuza timu ya rede.Piga spana piga spana
Wakimbakiza watakuwa hawajamtendea haki maana walimuahidi kumuuza dirisha hili ndo maana akasainj mkataba mpya Ili klabu ije kufaidika na mauzo yake...wamuuze tu hata kama 100 haitafikiwaMazungumzo kati ya Brighton na Chelsea kwa Moisés Caicedo yanafahamika kuwa yamefikia pabaya na yamekwama.
[@JacobSteinberg]
Brighton walitukazia Sana January tulipofika £70m tunataka kutia mzigo wakasema hivi hamuelewi NOT FOR SALE
Akili Yao yote ,dirisha kubwa watapata £100m, Chelsea kagoma akili zimewakaa sawa dirisha hili tabia za kukurupuka ,kuhijack deals za watu ziliwapeleka 12th
Nikionacho Brighton wasipomuuza Sasa ,watakuja kumuuza kwa Bei ya kawaida Sana
Wachezaji wenye rangi nyeus tuna shida SanaWakimbakiza watakuwa hawajamtendea haki maana walimuahidi kumuuza dirisha hili ndo maana akasainj mkataba mpya Ili klabu ije kufaidika na mauzo yake...wamuuze tu hata kama 100 haitafikiwa
Regelated battle next season againWapiga NYETO FC
Ilibidi asisain kabisa, unajua kabisa nikisain kwenye bargaining za clubs itakua kipengeleaWachezaji wenye rangi nyeus tuna shida Sana
Aliandika had barua na kulalamika kwenye media kuhusu maisha Yao ,akaomba aachiwe aje ARSENAL, akabaniwa , means dirisha hili wangemuuza kwa Bei ya kawaida angesepa ,akasaini miaka mitano kwa watu waliokubania usiondoke
Mwenzie Mac Allister alisain akaweka release clause ya £35-50m nadhani ,
Kwenye hili swala nimegundua mchezaji ndio hajielewi
naona kondoo mnajitekenya wenyeweKufungwa na timu mbovu kama Man u binafsi naamini either ni kukosa balance au overconfidence ni dhambi kwa Arsenal hii kufungwa na timu kama Man u, Chelsea au Liverpool.
Tunajua nyie ndio mabingwa wetu wa EPL 2023/2024 dunia nzima inajua mana Arse88 nyie ndio mna kocha mwenye mbinu, makocha wengine hawana. Mna mabeki wanaojua kuzuia timu nyingine hazina, mna mido zinajua kuoffload na kuoverload timu nyingine hakuna.Watasema tuna arrogance, but huo ndio uhalisia but I understand what u say ,