hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,661
- 27,519
Alishaonesha mwanga wapi timu anaipeleka , tatizo mashabiki wengi wanasahau Arsenal aliyoikuta na alipoifikisha Sasa na inapoelekeaNimehoji tu kujua kama anaweza kuvumiliwa miaka 20+ bila mataji?
Ni swala la muda Arsenal kuanza kupambania mataji makubwa Tena
Sio habari ya top 4 tena ,
Kwa culture ya Arsenal ni wazi huyu jamaa walishamuandaa ,ukiweka mising mizuri mataji yatakuja tu ,Sion akifukuzwa namuona akikaa Sana Arsenal like Wenger
Sababu anapita mule mule alipopita Wenger ,halafu yeye ana advantage anapewa Pesa za kutosha