Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapo mchawi ni Mc Masingeli tu, domo lake ndio linawafanya misukule wa humu wajione nao wana bonge la timu ila kiuhalisia Arsenyau ni mid table team tu kama Leicester, Brighton, Fulham na Aston Villa.
Hawa wakimbiza mwenge 2022/2023 ilikua ni one season wonder baada ya Giant teams kama vile Chelsea, Liverpool na Man Utd kutetereka kidogo, ila usitegemee msimu huu kuwaona tena kwenye Title contender, hio top4 yenyewe msimu huu hawatoboi. View attachment 2698428
Eti walitetereka ,

Yaan nyumbu wametumia €250m

Kenge wametumia €650m

Unasema walitetereka?are u seriously?

Ninachojua hata msimu huu nitakuwa wa mwisho kuamin manjesta na kenge watamaliza top 4
 
Arsenyani mnapenda kujikweza. Huwezi kuwa considered timu nzuri kama hakuna cha maana mnafanya.

Tofauti yenu na United msimu uliopita ni nini hasa?
Manjesta ni timu mbovu ,uwekezaji mkubwa matokeo sisimizi
 
Arsenyani mnapenda kujikweza. Huwezi kuwa considered timu nzuri kama hakuna cha maana mnafanya.

Tofauti yenu na United msimu uliopita ni nini hasa?
Hakuna alipojikweza ,tatizo hamtaki kuambiwa ukweli

Mnajificha kwa kichaka tunajikweza

Manjesta ni timu mbovu kocha wa kawaida ,

Wewe unatetea Anthony aliyenunuliwa €100m ni Bora na alifunga goli 4 ,


Ila sisi tukizungumzia timu yetu vzr mnaumia mnadai tunajikweza


Hakuna watu wapumbavu Kama nyie
 
Eti walitetereka ,

Yaan nyumbu wametumia €250m

Kenge wametumia €650m

Unasema walitetereka?are u seriously?

Ninachojua hata msimu huu nitakuwa wa mwisho kuamin manjesta na kenge watamaliza top 4
1. Arsenal NDOO
2. city
3. Newcastle
4.?
Brighton, Villa, nyumbu, Spurs, liverpunda
.
.
.
.
11. Kenge fc
.
.
Nyumbuzi na kenges Sasa hivi wameacha mpira wameamua kutupiga vijembe.
 
Hawa Sasa hivi nikuwapiga spana ,nimegundua tunawachekea Sana
Mtu tokea kuumbwa kwa ulimwengu hujawahi kubeba kombe lolote la ulaya sio conference, Europa wala Uefa, mtu una miaka zaidi ya 20 haujawahi kubeba Epl, mtu una zaidi ya miaka 7 haujawahi fanikiwa kuingia top4 umekuja kuingia msimu huu kibahati bahati tu tena baada ya Giant teams Chelsea na Liverpool kutetereka kidogo.
Sasa kwa timu la namna hio unaanzaje kumpiga spana mtu mwenye zaidi ya makombe 3 ya Uefa, ndani ya miaka 20 ana ma Epl kibao, mtu kakuzidi mapato na matumizi(Uchumi) mtu kakuzidi fan base?
Arsenyau mnaweza kuwapiga spana kina Norwich, Fulaham, Birmigham, Aston Villa, Brighton e.t.c lakini hamna jeuri ya kuwapiga spana Man utd, Chelsea, Man City na Liverpool waliowazidi kwa kila kitu.
 
| @FabrizioRomano:


“My understanding is that Arsenal are receiving loan bids for Charlie Patino, but the player prefers a permanent move and it would include a buy back option clause for Arsenal, of course.

“At the moment, there’s still nothing advanced or close to being completed. I think it would be a very smart option on the market for a number of clubs, to be honest, so let’s see who ends up moving for him.” [@caughtoffside] #afc
 
Mtu tokea kuumbwa kwa ulimwengu hujawahi kubeba kombe lolote la ulaya sio conference, Europa wala Uefa, mtu una miaka zaidi ya 20 haujawahi kubeba Epl, mtu una zaidi ya miaka 7 haujawahi fanikiwa kuingia top4 umekuja kuingia msimu huu kibahati bahati tu tena baada ya Giant teams Chelsea na Liverpool kutetereka kidogo.
Sasa kwa timu la namna hio unaanzaje kumpiga spana mtu mwenye zaidi ya makombe 3 ya Uefa, ndani ya miaka 20 ana ma Epl kibao, mtu kakuzidi mapato na matumizi(Uchumi) mtu kakuzidi fan base?
Arsenyau mnaweza kuwapiga spana kina Norwich, Fulaham, Birmigham, Aston Villa, Brighton e.t.c lakini hamna jeuri ya kuwapiga spana Man utd, Chelsea, Man City na Liverpool waliowazidi kwa kila kitu.
Mna uchumi mkubwa inakuwaje mnaenda kununua CF ambaye hata Burney walimshindwa ?

Mna uchumi mkubwa , mbona mmeshindwa kumnunua Kim jae kwa pesa ya £40m tu,

Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika

Eti walitetereka

Yaan mmetumia €250m ili mbebe ubingwa sio kuchukua Carabao after 6yrs

Kenge walitumia £600m ili wagombee kushuka daraja ?

Mnapokuja humu mkae kwa kutulia tutawalamba spana vzr ,
 
| @FabrizioRomano on Kieran Tierney:


“This story has gone a little quiet but it remains one to watch later in the window. It’s quiet now but it could change. Arsenal are not desperate to sell Tierney, but they’d just consider that option if an important bid arrives.” [@caughtoffside] #afc
 
Wanafanyia mazoezi kwenye kiwanja Cha timu ya RAMS ya Kroenke
20230725_102736.jpg
20230725_102724.jpg
20230725_102714.jpg
20230725_102705.jpg
 
Mna uchumi mkubwa inakuwaje mnaenda kununua CF ambaye hata Burney walimshindwa ?

Mna uchumi mkubwa , mbona mmeshindwa kumnunua Kim jae kwa pesa ya £40m tu,

Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika

Eti walitetereka

Yaan mmetumia €250m ili mbebe ubingwa sio kuchukua Carabao after 6yrs

Kenge walitumia £600m ili wagombee kushuka daraja ?

Mnapokuja humu mkae kwa kutulia tutawalamba spana vzr ,
Poa, Arsenal timu bora sana, ile kiungo ya WALI na Martin EPL mnachukua, unajua binafsi pale Manchester, Chelsea, City na liverpool hakuna timu ya kushindana na arsenal, SAKA ni winger na anazid kukua namuona km CR7 ajae, beki zetu zipo solid....nahic hakuna wa kuzuia arsenal 2023/2024.... Flano , hamis77 , Papaa Gx , Forgotten na wengine wote mtulie Sisi arsenal ni moto kuanzia beki, mid, had attacking EPL sisi ni top.

HIVI NDIO ARSENAL WANAPENDA YAAN USIFIE TU, WAKATI UHALISIA NEXT SEASON UTAJULIKANA NA TOP 4 HAWAINGII
 
Poa, Arsenal timu bora sana, ile kiungo ya WALI na Martin EPL mnachukua, unajua binafsi pale Manchester, Chelsea, City na liverpool hakuna timu ya kushindana na arsenal, SAKA ni winger na anazid kukua namuona km CR7 ajae, beki zetu zipo solid....nahic hakuna wa kuzuia arsenal 2023/2024.... Flano , hamis77 , Papaa Gx , Forgotten na wengine wote mtulie Sisi arsenal ni moto kuanzia beki, mid, had attacking EPL sisi ni top.

HIVI NDIO ARSENAL WANAPENDA YAAN USIFIE TU, WAKATI UHALISIA NEXT SEASON UTAJULIKANA NA TOP 4 HAWAINGII
Pumbavu !!! Nan kasema tunataka kusifia

Yaan mnatafuta sympathy tu

Mnataka muongee pumba mkipingwa ohoo tunataka tusifie

Tulien dawa iwaingie tutaenda mnavyokuja
 
Mna uchumi mkubwa inakuwaje mnaenda kununua CF ambaye hata Burney walimshindwa ?

Mna uchumi mkubwa , mbona mmeshindwa kumnunua Kim jae kwa pesa ya £40m tu,

Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika

Eti walitetereka

Yaan mmetumia €250m ili mbebe ubingwa sio kuchukua Carabao after 6yrs

Kenge walitumia £600m ili wagombee kushuka daraja ?

Mnapokuja humu mkae kwa kutulia tutawalamba spana vzr ,
"Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika"

Eti sisi magiant, Arsenyau ugiant mnautolea wapi?
Magiants wote wanamiliki haya makitu, tuonyesheni la kwenu halafu mimi nikuoneshe Nyau mwenye vichwa vitatu.
Ugiant hauji tu hivihivi kwa kuamua kujiita mwenyewe giant, fanya kazi ionekane dunia nzima halafu walimwengu wenyewe watakuita Giant nyau nyie.
1690270000325.jpg
1690270185503.jpg
1690270078455.jpg
1690270140248.jpg
1690270164031.jpg
1690270023257.jpg
 
"Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika"

Eti sisi magiant, Arsenyau ugiant mnautolea wapi?
Magiants wote wanamiliki haya makitu, tuonyesheni la kwenu halafu mimi nikuoneshe Nyau mwenye vichwa vitatu.
Ugiant hauji tu hivihivi kwa kuamua kujiita mwenyewe giant, fanya kazi ionekane dunia nzima halafu walimwengu wenyewe watakuita Giant nyau nyie. View attachment 2698462View attachment 2698463View attachment 2698465View attachment 2698466View attachment 2698468View attachment 2698469
Kijana unatafuta uchawa humu ndio maana unashinda kuchochea ujinga

Sisi tunakuchora tu humu

Namimi nioneshe EPL GOLD , nikuoneshe Weghost akifunga goli EPL mwaka Jana


View attachment 2698473
 
"Sikia Kama sisi sio magiant , why kutwa hamuishi humu mnalalamika"

Eti sisi magiant, Arsenyau ugiant mnautolea wapi?
Magiants wote wanamiliki haya makitu, tuonyesheni la kwenu halafu mimi nikuoneshe Nyau mwenye vichwa vitatu.
Ugiant hauji tu hivihivi kwa kuamua kujiita mwenyewe giant, fanya kazi ionekane dunia nzima halafu walimwengu wenyewe watakuita Giant nyau nyie. View attachment 2698462View attachment 2698463View attachment 2698465View attachment 2698466View attachment 2698468View attachment 2698469
Ok nioneshe Gold EPL ,nami nikuoneshe Weghost akifunga goli EPL last season
images.jpg
 
Tena Kama huyo Flano yeye akiamkia humu, anashinda humu na comments zake za usiku huwa ni kwenye hili jukwaa letu, Hadi najiuliza huyu jamaa kweli analala au ni mlinzi huyu ?

Tena amefika mbali hataki Tena mijadala na nyumbuz wenzake yeye na sisi tu.
Kibaya zaidi hawasimami na hoja moja, wanarukatuka Kama maharage

Kenges huwa hawaamini ukubwa wao bila kushindana na sisi
Jukwaa wamemuachia lembu , yule dogo asiyejua ata kuandika olashuga sijui, huko alipo anawaza arsenal inafungwa lini ili anunue bando aje kututukana

Sasa pimbi Kama hizi hamis77 dawa yao ni kupiga spana tu
 
Mtu tokea kuumbwa kwa ulimwengu hujawahi kubeba kombe lolote la ulaya sio conference, Europa wala Uefa, mtu una miaka zaidi ya 20 haujawahi kubeba Epl, mtu una zaidi ya miaka 7 haujawahi fanikiwa kuingia top4 umekuja kuingia msimu huu kibahati bahati tu tena baada ya Giant teams Chelsea na Liverpool kutetereka kidogo.
Sasa kwa timu la namna hio unaanzaje kumpiga spana mtu mwenye zaidi ya makombe 3 ya Uefa, ndani ya miaka 20 ana ma Epl kibao, mtu kakuzidi mapato na matumizi(Uchumi) mtu kakuzidi fan base?
Arsenyau mnaweza kuwapiga spana kina Norwich, Fulaham, Birmigham, Aston Villa, Brighton e.t.c lakini hamna jeuri ya kuwapiga spana Man utd, Chelsea, Man City na Liverpool waliowazidi kwa kila kitu.
Unatafuta Sana uchawa na uchocheaji humu

Wewe ni nyumbu Lin utaisifia Arsenal

Wewe kaa kwenye majukumu yako ya kuponda ,sisi tutakaa kwenye majukumu ya kusawazisha


Mnapozidiwa mnaanza ohoo tunajikweza ,hatutaki kupingwa ,


Kaa kwenye majukumu yako ya kuponda,kukebehi ,chochea na wale mamluki muungane

Ila tunapokuja kusawazisha mtulie hivo hivo

Tumewachekea Sana Sasa ni muda wakutembeza JAMBIA


KWASASA MIMI NI MZEE WA JAMBIA
 
Tena Kama huyo Flano yeye akiamkia humu, anashinda humu na comments zake za usiku huwa ni kwenye hili jukwaa letu, Hadi najiuliza huyu jamaa kweli analala au ni mlinzi huyu ?

Tena amefika mbali hataki Tena mijadala na nyumbuz wenzake yeye na sisi tu.
Kibaya zaidi hawasimami na hoja moja, wanarukatuka Kama maharage

Kenges huwa hawaamini ukubwa wao bila kushindana na sisi
Jukwaa wamemuachia lembu , yule dogo asiyejua ata kuandika olashuga sijui, huko alipo anawaza arsenal inafungwa lini ili anunue bando aje kututukana

Sasa watu Kama pimbi Kama hamis77 dawa yao ni kupiga spana tu
Huyo Flano ni chawa , kule jukwaa lao walikuwepo madalali wa Sheikh Jasim, niliwaambia hiyo timu haiuzwi

Kahamia humu kukebehi,kuandika magazet ya kuponda

Sasa sisi tukisawazisha anakuja analalamika anatafuta uchawa kupata sapoti

Kuanzia Sasa nakuwa natembea na Jambia

Huyu jamaa anashinda humu kuliko jukwaa lao
 
Back
Top Bottom