hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,685
Eti walitetereka ,Hapo mchawi ni Mc Masingeli tu, domo lake ndio linawafanya misukule wa humu wajione nao wana bonge la timu ila kiuhalisia Arsenyau ni mid table team tu kama Leicester, Brighton, Fulham na Aston Villa.
Hawa wakimbiza mwenge 2022/2023 ilikua ni one season wonder baada ya Giant teams kama vile Chelsea, Liverpool na Man Utd kutetereka kidogo, ila usitegemee msimu huu kuwaona tena kwenye Title contender, hio top4 yenyewe msimu huu hawatoboi. View attachment 2698428
Yaan nyumbu wametumia €250m
Kenge wametumia €650m
Unasema walitetereka?are u seriously?
Ninachojua hata msimu huu nitakuwa wa mwisho kuamin manjesta na kenge watamaliza top 4



| @FabrizioRomano: