hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,653
Toka chelkenge ishike 12th na iwe timu yakugombea kushuka daraja ,hata akili zako nazo zimekuwa zakushuka darajanaona kondoo mnajitekenya wenyewe
Tunajua nyie ndio mabingwa wetu wa EPL 2023/2024 dunia nzima inajua mana Arse88 nyie ndio mna kocha mwenye mbinu, makocha wengine hawana. Mna mabeki wanaojua kuzuia timu nyingine hazina, mna mido zinajua kuoffload na kuoverload timu nyingine hakuna.
Kiufupi Taito kontenda ni Arse88 wenyewe,Hivi ikatokea mkakosa ubingwa mchawi anaweza kua nani?
Akili zako zipo mid table ,haukawahi kuwa sawa
Charlie Patino is close to leaving Arsenal. Any deal will include a buy-back clause. Reports, 

