hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,641
Hao wazee wakuvamia vamiaChelsea wameanza mazungumzo na Ajax juu ya kumsaini Mohammed Kudus...Arteta atafute winger mwingine...tajiri miluzi anavyozungushwa na Brighton hasira atazimalizia kwa Ajax
Arteta kasema jana bado Kuna maingizo mapya


