Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna Raha Kama kuwafunga manjesta

Na msimu huu mtatuchangia points 6 ,

Leo Kuna 4-0

Muhind kawaweka Kama underdog asee
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
 
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
Mech ya mwisho unakumbuka lakin ilifika muda mkakaa nyuma mnatafuta sare,tukawasaka Sana Hadi mkaachia

Hii Arsenal hata Mimi naiogopa

Wewe kocha anakwambia anataka kuwatumia wote Partey na Rice

Wakati Rice peke yake aliwahi kamata viungo wote wa manjesta
20230719_094832.jpg
20230720_140550.jpg
 
Arteta has been asked about a move for Mbappe:


"You know I never talk about players that are not part of our team"

He refused to close the door on the prospect of more incomings & outgoings in the squad:

"I don’t know. There will be movement. There will be a lot of ins & outs."
 
Hakuna Raha Kama kuwafunga manjesta

Na msimu huu mtatuchangia points 6 ,

Leo Kuna 4-0

Muhind kawaweka Kama underdog asee
Mimi hamis77 nakushangaa sana yani Unataka uniambie hii ni arsenyani Kali kuliko zilizowai kutokea maana hata iyo Arsenal invincible mnayojivunia hawakuwai kutuchapa hata goal 4

Nikuulize wewe hamis77 hii arsenyani ni Kali kuliko ile ya 2004?
 
Mimi hamis77 nakushangaa sana yani Unataka uniambie hii ni arsenyani Kali kuliko zilizowai kutokea maana hata iyo Arsenal invincible mnayojivunia hawakuwai kutuchapa hata goal 4

Nikuulize wewe hamis77 hii arsenyani ni Kali kuliko ile ya 2004?
Kwan hata manjesta hii ni sawa na hiyo ya miaka hiyo?

Kuanzia Sasa tegemea 4+

Believe me ,Degea alikuwa anawaokoa Sana ,Sion onana akizuia mafuriko

Hamna viungo wanaoweza kukaa na mpira ,Hilo tatizo kubwa Sana na litawakost

Bado nawaona mkitegemea Sana kaunta ,mipira kutoka kwa onana kuja Kati mfanye kaunta

Kwa mpira huo ,muda utaongea Ally ,

Arsenal hii ni mpya inafunga magoli kuliko hata ya kina Henry ,
 
Kwan hata manjesta hii ni sawa na hiyo ya miaka hiyo?

Kuanzia Sasa tegemea 4+

Believe me ,Degea alikuwa anawaokoa Sana ,Sion onana akizuia mafuriko

Hamna viungo wanaoweza kukaa na mpira ,Hilo tatizo kubwa Sana na litawakost

Bado nawaona mkitegemea Sana kaunta ,mipira kutoka kwa onana kuja Kati mfanye kaunta

Kwa mpira huo ,muda utaongea Ally ,

Arsenal hii ni mpya inafunga magoli kuliko hata ya kina Henry ,
Sasa sio tunashinda unageuka tena kuwa hatuchezi mpira wa burudani maana wewe jamaa ni kigeugeu kweli Mara mmeshinda Ila mlikuwa mnakaa nyuma muda wote.

Yani unatupangia na namna ya kucheza.
 
Sasa sio tunashinda unageuka tena kuwa hatuchezi mpira wa burudani maana wewe jamaa ni kigeugeu kweli Mara mmeshinda Ila mlikuwa mnakaa nyuma muda wote.

Yani unatupangia na namna ya kucheza.
dah

Hapana mm naiogopa timu inayoshinda kwa ku dominate mchezo maana ina uhakika wakushinda mechi nyingi

Hapa ndio unashindwa kunielewa, mwaka Jana nilifarijika Sana tulikuja OT pale kwenu mlishinda 3-1 lakin kwa mpira tuliocheza nilisema tutashinda mech nyingi mbele ,

Jifunzen kuchukua positive kwenye mechi ,sio kwamba timu mbovu haiwez kushinda vs timu Bora ,kubahatishwa kupo

Kama leo mtashinda na mpira mkubwa hiyo itakuwa sign mnaenda kugombea ubingwa na nitasema waziwazi ,
 
Hapa Wenger orphans wamependelea kuwekwa hapa Ila bado wataanza kulia lia.

Hapa mwenye uhalali wa kuwa kwenye kikosi ichi Ni saka tu.
Screenshot_20230722-170541.jpg
 
dah

Hapana mm naiogopa timu inayoshinda kwa ku dominate mchezo maana ina uhakika wakushinda mechi nyingi

Hapa ndio unashindwa kunielewa, mwaka Jana nilifarijika Sana tulikuja OT pale kwenu mlishinda 3-1 lakin kwa mpira tuliocheza nilisema tutashinda mech nyingi mbele ,

Jifunzen kuchukua positive kwenye mechi ,sio kwamba timu mbovu haiwez kushinda vs timu Bora ,kubahatishwa kupo

Kama leo mtashinda na mpira mkubwa hiyo itakuwa sign mnaenda kugombea ubingwa na nitasema waziwazi ,
Kila mwaka mmekuwa mkicheza mchezo mzuri lakini hakuna jipya kwenu ni vichapo tu toka kwa baba yenu Wenger.
 
Kila mwaka mmekuwa mkicheza mchezo mzuri lakini hakuna jipya kwenu ni vichapo tu toka kwa baba yenu Wenger.
Kwahiyo sisi hatushind?

Kaangalie toka Wenger ameondoka ,nadhani tumewafunga Mara nyingi ,na sasa tunaenda kuwa watoa vipigo vizito Kama anavyowapigaga Liverpool
 
Hapa Wenger orphans wamependelea kuwekwa hapa Ila bado wataanza kulia lia.

Hapa mwenye uhalali wa kuwa kwenye kikosi ichi Ni saka tu.View attachment 2696253
Huyo jamaa ni shabik wa Chelsea

Combined XI anayeingia ni Martinez tu

Hakuna mchezaji wa manjesta ukitoa Martinez anaingia kikos Cha Arsenal

Wachezaji wenu wengi miguun Kama wamefungwa mawe wakipewa mpira
 
Huyo jamaa ni shabik wa Chelsea

Combined XI anayeingia ni Martinez tu

Hakuna mchezaji wa manjesta ukitoa Martinez anaingia kikos Cha Arsenal

Wachezaji wenu wengi miguun Kama wamefungwa mawe wakipewa mpira
Chelsea wameanza mazungumzo na Ajax juu ya kumsaini Mohammed Kudus...Arteta atafute winger mwingine...tajiri miluzi anavyozungushwa na Brighton hasira atazimalizia kwa Ajax
 
Back
Top Bottom