Kwa hili pira nilililoliona hapa


itoshe kusema upepo wa arsenal ulikua last season and they bottled it. Leicester upepo ulimjia akafanya kweliii lakini hawa wenzangu hata pasi hawawezi kabisa maboko kama yote . Pira bovu ndani ya dk 25 MLS wamefika golini mara nyingi zaidi ya bottlers.
Niwahakikishie kabisa wanangu kina mkohoti , flano na wengine wote kuwa humu ifikapo september kijana wetu mpendwa atakua tayariii kashakimbia yupo mafichoni wala hatuhitaji kufika January or April.
Huyu viera alisajiliwa kwa bei gani


huyu hata championship tu hawezi kucheza mtaliii huyu

Timber na Rice naona wanashangaa tu hawaamini wapo phase 4 ama ni phase 1 wanaona kabisa si akili zao kuwepo hapo arteta kawapiga juju.
Puig alieachwa na barca dimba kalishikilia vile sasa huko uefa si mnaenda kuleta vifo vingine vya arsenal fans wa kenya