999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Vipi bwana hamis77 unategemea tuludie kichapo gani Kati ya ivyo kwa siku ya jumamosi.View attachment 2694018
Vipi bwana hamis77 unategemea tuludie kichapo gani Kati ya ivyo kwa siku ya jumamosi.View attachment 2694018
Arteta alisema yeye ananunua Talent hayo Mambo alikuwa sijui mbovu n.k hayamuhusuMlimnyanyasa sana Kai...Kila baya alitupiwa yy..timu isipo perform yy ndo anabebeshwa lawama...Sasa ameondoka...tunategemea mbebe ubingwa wa EPL...maana inaonekana yy ndo alikuwa anawachelewesha
Hivi kuanzia mwaka 2000 kuja juu arsenyani mjawai kutuchapa hata goal 4 hafu upo serious na kelele hapa Yani nyie ndo vibonde wetu hata tuwe wabovu kiasi gani kipigo kipo pale pale.Unaleta historia za kinjikitile ngwale
Sisi tunataka manjesta hii ya kina masebene
Aloo Bora msilete timu uwanjan

Kumbe lengo mpigwe nyingi, aliyekuwa anawaokoa Sana hapa Kati Degea kaondoka ,Basi subirini, Mechi ya mwisho umesahau Nini kiliwakuta , katika misimu ya karibuni mmekuwa vibonde wetuHivi kuanzia mwaka 2000 kuja juu arsenyani mjawai kutuchapa hata goal 4 hafu upo serious na kelele hapa Yani nyie ndo vibonde wetu hata tuwe wabovu kiasi gani kipigo kipo pale pale.
Kiufupi hata tuamshwe usiku wa manane tucheze na nyie bila kupasha misuli kichapo kipo pale pale.
Jumapili usiku hakika kitawarambaView attachment 2694042
Mkuu una maana gani...hzi lugha za kuudhi hzi....hahahahaKai kumbe ni Lipapai?
Tuna mabeki nane mpk Sasa....hao ni wengi sana...midfield still bdo hakuna watu wa kutosha...maana Kai na Trossard wanaweza kucheza winger na forward pia so tunahitaji walau mtu mmoja mwingine...Elneny na Vieira siwaamini sana...mmoja pancha sana mwingine physicality yake ipo chini kimtindo
Mkuu una maana gani...hzi lugha za kuudhi hzi....hahahaha


Mkuu sio mimi, Jojinyo ndie aliepost kumpongeza Kai kwa goli lake la kwanza na kumuita papai. Papai means dady ,haya umeelewaMkuu sio mimi, Jojinyo ndie aliepost kumpongeza Kai kwa goli lake la kwanza na kumuita papai.
Mimi nimemuuliza tu hamis77 kua kai kweli ni papai? maana Mc Hamisi ndie aliepost hii picha. View attachment 2694050
Yes Kai ni Papai kama una mashaka yoyote juu ya hili we muulize Gorginho maana yeye ndie anamjua zaidi Kai kuliko mchezaji wowote wa Arsenyani.PAPAI TENA![]()
Kumbe kai ni papai na hamis77 hata hasemi. Watu mna siri 😃Mkuu sio mimi, Jojinyo ndie aliepost kumpongeza Kai kwa goli lake la kwanza na kumuita papai.
Mimi nimemuuliza tu hamis77 kua kai kweli ni papai? maana Mc Hamisi ndie aliepost hii picha. View attachment 2694050
Papai means dady ,haya umeelewa


Hapana sisi mapapai tunayajua vizuri sana. Huyo dogo ni hatari sana wewe, wale waliommiss Philipe Countinho watamuona hapo ..Skauti aliyempeleka martinel asenali ndio hatariii zaidi.
Huyu bitelo kwa mllivyo muona anavitu vitu au ndio lokonga aliyechangamka tu![]()
Hiki kitu niliwahi kukisema baada ya kuhusishwa na Timber, kua tunamuitaji sana KT.Usajili wa Timber automatically unaruhusu Sasa Kieran Tierny kubaki
Sababu atakayekuwa ana invert ni Timber ,hivo KT anabaki nyuma kuunda back 3 na Saliba na Gabriel Magalhaes