
itoshe kusema upepo wa arsenal ulikua last season and they bottled it. Leicester upepo ulimjia akafanya kweliii lakini hawa wenzangu hata pasi hawawezi kabisa maboko kama yote . Pira bovu ndani ya dk 25 MLS wamefika golini mara nyingi zaidi ya bottlers.
huyu hata championship tu hawezi kucheza mtaliii huyu 