
Arteta amesema hataki kutabirika msimu huu ,
So kumbe tunaweza kucheza na back 4 ya Timber white Saliba na Magalhaes
Halafu tukiwa na mpira nyuma wanabaki watatu White Saliba Magalhaes
Hapo wote wapo comfortable na mpira hakuna fala
Timber anakuwa Kiungo anaungana na Rice, Øde
Kai anapanda juu anakuwa anacheza Kama Second Striker lakin pia Kama no.8 wa uongo na kweli ,Kai Kama Second Striker anakupa vitu vingi atawin mipira ya juu ambayo ni tatizo kwa Arsenal ,Kai ni mrefu kuliko mchezaji yeyote Arsenal ,
Huo ni mfano tu tunavyoweza kubadilika tofauti tofauti
Kuna combination nyingi tunaweza kuzitumia
Mfano kiungo Cha Partey Ødegaard na Rice
Kuna siku tutaweka wote Partey , Ødegaard,rice , zinchenko,timber ili tuoneshane makali