Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Soon Rice naona atapewa U Captain msaidizi


Rice is telling ødegarrd where to position.
Ødegarrd look him and probably said,which day this one come here to lead me..

Àrteta done creat war in my club [emoji23][emoji23][emoji23]
20230721_105358.jpg
 
[emoji1787][emoji1787]

Arteta amesema hataki kutabirika msimu huu ,

So kumbe tunaweza kucheza na back 4 ya Timber white Saliba na Magalhaes

Halafu tukiwa na mpira nyuma wanabaki watatu White Saliba Magalhaes

Hapo wote wapo comfortable na mpira hakuna fala

Timber anakuwa Kiungo anaungana na Rice, Øde

Kai anapanda juu anakuwa anacheza Kama Second Striker lakin pia Kama no.8 wa uongo na kweli ,Kai Kama Second Striker anakupa vitu vingi atawin mipira ya juu ambayo ni tatizo kwa Arsenal ,Kai ni mrefu kuliko mchezaji yeyote Arsenal ,

Huo ni mfano tu tunavyoweza kubadilika tofauti tofauti

Kuna combination nyingi tunaweza kuzitumia

Mfano kiungo Cha Partey Ødegaard na Rice

Kuna siku tutaweka wote Partey , Ødegaard,rice , zinchenko,timber ili tuoneshane makali
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] maji wataita mma
IMG-20230720-WA0033.jpg
 
Soon Rice naona atapewa U Captain msaidizi


Rice is telling ødegarrd where to position.
Ødegarrd look him and probably said,which day this one come here to lead me..

Àrteta done creat war in my club [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2695092
Nakumbuka nilikuambia action za rice ni KATILI na MAFIA
hope unaikumbuka hii kauli yangu

Yani ukiacha kuangalia skills zake, utaliona na hili
 
Aende akamalizie mpira wake huko...au anataka avunjiwe mkataba alipwe hela zake ndo asepe
Labda anavizia hivo, ila Arsenal hawajali ,kikubwa wamuondoe kwenye list ya wage bill ,Arsenal wanazingatia Sana hicho kitu ,ndio kinafanya kuweka mwanya mkubwa wa kuspend ,

Mshahara wake wa £140-160k/p unalipa wachezaji wawili had watatu
 
Nakumbuka asee
Kipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..

nikasema ngoja nimuangalie action tu za rice
Nikagundua aliekuja nae sio mtu mzuri, ukizingua nae anakuzingua uwe teammate au mpinzani anaruka na wewe


Kama Lokonga nusu apigwe makofi na odegard, Mimi namshauri aombe aende mkopo au auzwe tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Hapa chini rice anawachana live Kai na joginho
IMG-20230716-WA0010.jpg
 
Kipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..

nikasema ngoja nimuangalie action tu za rice
Nikagundua aliekuja nae sio mtu mzuri, ukizingua nae anakuzingua uwe teammate au mpinzani anaruka na wewe


Kama Lokonga nusu apigwe makofi na odegard, Mimi namshauri aombe aende mkopo au auzwe tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Hapa chini rice anawachana live Kai na joginho
View attachment 2695096
Lokonga hawez kucheza Arsenal Sasa hata yeye anajua ,anaenda Burney
 
Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi.
1689925106163.jpg
1689925077244.jpg
1689927384082.jpg
 
Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi. View attachment 2695133View attachment 2695134View attachment 2695135
Ni kujitoa ufahamu au ndio akili zako zilivyo?

Unazungumzia expensive keeper na huyo mjinga mmoja ambae hamfikii ubora wa Martinez wa Aston Villa alikua chaguo namba mbili kwa arsenal
 
Inawezekana maana Arsenal kwenye kusaka mchezaji likitoka jina Basi wanakuwa wapo advanced stage

Au wanatumia majina fulan kupoteza maboya ,like frasneda ,simakan kumbe lengo ilikuwa ni Jurrien Timber

Ila kwa Kudus ni kweli maana David Ornstein na Sami mokbel ndio walikuwa wakwanza kusema

Mousa Diaby ni smockscreen tu ndio maana hawakutuma Wala kufanya jitihada zozote kumpata , ,lakin naamin Target ni Kudus maana ana tik mabox yote

Age[emoji736]
Versatility (RW,AM,CF)[emoji736]
Bei affordable(£40m) [emoji736]

Nasikia Kuna beki anaweza kushuka pia ,aim ni kuwa na wachezaji wawili kila nafasi wenye ubora

For now Edu hajasafiri na timu anashughulikia kuuza

Cedric , Pepe, balogun,holding n.k
Beki wa kati? Labda awe na uwezo wa kucheza pia kama beki wa kushoto pia.
 
Kipindi xhaka anaondoka nikajua tayari tumepoteza mtetezi na mbabe kwa madogo wakina saka, martinel,..

nikasema ngoja nimuangalie action tu za rice
Nikagundua aliekuja nae sio mtu mzuri, ukizingua nae anakuzingua uwe teammate au mpinzani anaruka na wewe


Kama Lokonga nusu apigwe makofi na odegard, Mimi namshauri aombe aende mkopo au auzwe tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Hapa chini rice anawachana live Kai na joginho
View attachment 2695096
Nakumbuka kuna game moja hivi tulikua tunacheza na west ham, sijui Nketia alifanya nini kwa mchezaji wa West ham, Rice alimzingua vibaya mno Nketia
 
Ni kujitoa ufahamu au ndio akili zako zilivyo?

Unazungumzia expensive keeper na huyo mjinga mmoja ambae hamfikii ubora wa Martinez wa Aston Villa alikua chaguo namba mbili kwa arsenal
Kama ni kujitoa ufahamu au ndio akili zangu zilivyo hilo utalijua wewe.
Ila mwamba Onana kabla ya kusaini mkataba aliiomba management ya Utd iweke kipengele cha endapo msimu ujao ukiisha bila ya kuchangia goal assists 15+ basi msimu unaofata asilipwe mshahara.
1689930040414.jpg
 
Mjadiliane hivi hivi mkishaanza kula visago, hatutaki matusi kwa mabeki wa kipa.
Mbona wewe Chelsea ilipotaka kushuka daraja ulikimbia had nikakuuliza why umepotea Sana

Unajitoa ufahamu tu

Msimu huu nafas ya 10 mkikaza ,mkizembea mnabaki mkiani
 
Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi. View attachment 2695133View attachment 2695134View attachment 2695135
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwanangu unazingua asee, hivi mnategemea kushindana na viungo kina casemiro anayejinenepea halafu mabos wenu hawana muda wakutafuta mbadala sahihi

Casemiro anawapa matumaini mtagombea ubingwa

Cha ajabu ana miaka 30+

Hamna mbadala wake sahihi na Sion mkimpata

Huyo amrabat siku zote alikuwa wapi , yaan form ya mech 3 Kati ya 8 world cup ndio inawadanganya

Ulishajiuliza kwann ana miaka 26 lakin bado hashobokewi na Bei yake haizidi £40m ,unadhani angekuwa mzuri had Sasa timu zinazotaka DM zingekuwa zimemuacha tu
20230720_222803.jpg
 
[emoji599] PSG want Nuno Tavares to replace Juan Bernat and give competition to Nuno Mendes, who’s been injured.


[emoji599]More from @relevo -

1. PSG see Tavares as good, low cost back up to Nuno Mendes

2. Tavares is well positioned to join PSG as not in Arsenal plans
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom