hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,661
- 27,520
Ogopeni huyu kijana mwenye kwanza kabisa assist ya goli la kwanza na la pili katoa yeye,Hio game inayofata sisi hatuihesabii kama mechi, ni vijana tu wa kikosi chapili wataingia uwanjani kufanya warm up, muhimu damu ichemke na jasho liwatoke.
Sisi kama Man Utd timu kubwa zaidi duniani kwa sasa tunawasubiria kwenye mechi ya Ligi ili tuwaonyeshe kua Nyani sehemu yake ya kutamba ni juu ya miti sio uwanjani.
Amndani ya dk10 kawasababishia yellow mbili
Anyway Jesus, Martinelli na SAKA ni Frontline tishio
Nikuwekee viungo au nazidi kukutisha?