Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Hio game inayofata sisi hatuihesabii kama mechi, ni vijana tu wa kikosi chapili wataingia uwanjani kufanya warm up, muhimu damu ichemke na jasho liwatoke.Huu ulikuaa ushindi wa Jana tumemchapa mtu Tano...Next Game tunacheza na nyumbu kwa mtazamo wako tutawafunga kwanzia Goli ngapi..?
Sisi kama Man Utd timu kubwa zaidi duniani kwa sasa tunawasubiria kwenye mechi ya Ligi ili tuwaonyeshe kua Nyani sehemu yake ya kutamba ni juu ya miti sio uwanjani.

