zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,256
Hii
Hii kitu anayopika arteta ikikubali 80%-90/% itakuwa mpera mpera sana hasa hiyo safu ya ushambulizi 😂😂😂...Kudus akija bas hata saka akiumia hatutashituka sana pia anaweza cheza number ya ordegaad vizuri na false nine
I hope this happens naamin arteta anaweza kumpika acheze box to box midfielder maana anaweza kukaba

Arsenal wanavutiwa na kiungo wa Ajax aliyekadiriwa kuwa na thamani ya pauni milioni 40, Mohammed Kudus lakini wanaangazia kupunguza kikosi kwanza cha Mikel Arteta .
Mkurugenzi wa michezo wa Arsenal Edu sasa ataelekeza nguvu zake kwenye kuwauza Kieran Tierney, Cedric Soares, Nicolas Pepe, Albert Lokonga, Nuno Tavares na Rob Holding.
