Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii
Kudus akija bas hata saka akiumia hatutashituka sana pia anaweza cheza number ya ordegaad vizuri na false nine

I hope this happens naamin arteta anaweza kumpika acheze box to box midfielder maana anaweza kukaba
Hii kitu anayopika arteta ikikubali 80%-90/% itakuwa mpera mpera sana hasa hiyo safu ya ushambulizi 😂😂😂...
 
Hii

Hii kitu anayopika arteta ikikubali 80%-90/% itakuwa mpera mpera sana hasa hiyo safu ya ushambulizi ...
Hapo Kati ndio tunapahitaji ,

Ona hii, maana yake tunaongeza watu wakukaa na mpira


Declan Rice,Saliba and Partey make the PL top 10 for most number of times possession won in the 22/23 season.

(via @Squawka )

20230718_211015.jpg
 
Arsenal wanavutiwa na kiungo wa Ajax aliyekadiriwa kuwa na thamani ya pauni milioni 40, Mohammed Kudus lakini wanaangazia kupunguza kikosi kwanza cha Mikel Arteta .

Mkurugenzi wa michezo wa Arsenal Edu sasa ataelekeza nguvu zake kwenye kuwauza Kieran Tierney, Cedric Soares, Nicolas Pepe, Albert Lokonga, Nuno Tavares na Rob Holding.

(@SamiMokbel81_DM)
 
Kuna hii version nilipewa humu inafungua picha vzr tu ,hata nikiwa site Kuna internet ya kusumbua Sana bado zinafunguka vzr tu
ni hii old version ndio natumia sometimes
Nikitoka nikirudi Tena ndio naona pcha zinafunguka
Ila haina shida mkuu
 
Arsenal are waiting to confirm a few outgoings before making a move for Ajax star Mohammed Kudus, as reported by @SamiMokbel81_DM.

Arteta wants one more midfielder & a right winger in this summer and Kudus is a player who can operate in both positions.
20230718_211957.jpg
 
Arsenal are waiting to confirm a few outgoings before making a move for Ajax star Mohammed Kudus, as reported by @SamiMokbel81_DM.

Arteta wants one more midfielder & a right winger in this summer and Kudus is a player who can operate in both positionsTu
Tukimpata huyu jamaa basi tutakuwa tumemaliza kazi....ana Kila kitu hyu mtu unachokihitaji kwa mchezaji mpambanaji
 
Tchouameni & Lavia wote hawana tofauti na Thomas Partey,wote press resistant ila wanakosa baadhi ya vitu, lavia bado mdogo, miaka 19, siwezi kumuamini kabisa kuanza kwenye timu kama Arsenal mbele ya man city, Caicedo is built different ila ufupi wake unamfanya asiwe potential #6, Caicedo ni #8 LCM.
Nyie Arse88 ni mafuta ya taa kinoma, Yaani mnapenda kudanganyana nyie kondoo,Ngolo Kante ni mrefu ndio mana ni mzuri akicheza #6
 
Arsenal are waiting to confirm a few outgoings before making a move for Ajax star Mohammed Kudus, as reported by @SamiMokbel81_DM.

Arteta wants one more midfielder & a right winger in this summer and Kudus is a player who can operate in both positions.View attachment 2692463
Mkuu! Kati ya Kudus na Moussa Diaby, unaondoka na nani?
 
Back
Top Bottom