Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu! Kati ya Kudus na Moussa Diaby, unaondoka na nani?

Diaby is far better!! The way anavyocheza ni kama trossard, mwepesi sana kuona mtu or kupitisha pass so mtu mwingine afunge yuko very technical ni trossard mweusii upande wa kulia hana uchoyo kabisa huyu jamaa.

Kudus mzuriii lakini mmh machachari na mikimbio mingi hana utulivu kama vile gervinho anaweza toka watu 2 mpaka wa 3 then umaliziaji ukawa shida au sehemu ya kutoa pass akataka kupita tena mtu ili afunge yeye !

Diaby huyu dogo ana offer kila kitu akiwa na mpira una uhakika kabisa hapa anaweza funga au akatoa assist tofauti na kudus hajatulia at all
 
Designer wetu sijui nani, yaani huu uzi wa juu nimeukubali. Ila bongo sizani kama zipo.
Screenshot_20230719_070553_Instagram.jpg
 
Diaby is far better!! The way anavyocheza ni kama trossard, mwepesi sana kuona mtu or kupitisha pass so mtu mwingine afunge yuko very technical ni trossard mweusii upande wa kulia hana uchoyo kabisa huyu jamaa.

Kudus mzuriii lakini mmh machachari na mikimbio mingi hana utulivu kama vile gervinho anaweza toka watu 2 mpaka wa 3 then umaliziaji ukawa shida au sehemu ya kutoa pass akataka kupita tena mtu ili afunge yeye !

Diaby huyu dogo ana offer kila kitu akiwa na mpira una uhakika kabisa hapa anaweza funga au akatoa assist tofauti na kudus hajatulia at all
Kudus ana Mambo Kama ya Anthony wa nyumbu anaforce kukaa Mpira Sana labda apangiwe majukum analazimisha free role
Ila technically Yuko good na energy pia.
 
Kudus ana Mambo Kama ya Anthony wa nyumbu anaforce kukaa Mpira Sana labda apangiwe majukum analazimisha free role
Ila technically Yuko good na energy pia.
Unamfananisha kudus na Anthony masebene?

Ushamuangalia kudus ,ulimuona world cup, UCL league alichokuwa anawafanya Liverpool ? Anthony masebene hata nusu hafikii

Anthony masebene akiwa Ajax alifunga goli 8 assist 6

Kudus kafunga goli 20 assist 8


Msikilize Legend wa uholanzi Marco van Basten: akielezea utofauti wa Kudus na Anthony masebene

"I find Mohammed Kudus a much better football player than Antony.

Antony has his skills, but he is confused with the things he is trying to do! Kudus has much better technique and he knows what he is doing."
 
Arteta-

"Kila usajili ambao tumefanya unaleta kitu kwa timu,"

“Tunafuraha sana kwamba tulisajili wachezaji ambao tulitaka. Tumewasajili mapema na wameanza kuzoea timu haraka sana."View attachment 2692765
Ukimuona saka pembe Kuna timber
Kuna bomu linasukwa huu upande

Nasikia muda mwingi rice anatumia kupiga story na odegard

Naanza kuogopa for what gonna happen in the next few days
 
Diaby naona yuko vizuri..

Huyu kudus kuna vitu anapaswa kubadilishwa, ila ni bora huyu kuliko pepe na anthony
Diaby ni Winger tu ndio maana Arsenal wameachana nae

Sera ya Arsenal ya usajili lazima uwe fundi(technically Gifted) , versatility (uwe na uwezo wakucheza nafasi zaidi ya moja)

Passing accuracy yako iwe kubwa


Mengine yafatie

Sasa kudus anacheza RW,AM na False 9
 
Nikisema mashabiki wa Chelsea waache kupiga poyoyo humu ,timu yao ni dhaifu wanaweza maliza nafasi ya 10 au kushuka daraja,wanaona ni dhihaka

Haya Gabby Agbonlahor gwiji wa EPL kasema nafasi ya 10 inawahusu

“Chelsea really need to start signing!”

“If that squad of players went out to play this season they would finish tenth.”

Gabby Agbonlahor believes Pochettino MUST urgently repair the #CFC squad.
 
Nyie Kima siwatishi ila nawakumbusha tu, huko UCL mlipokua mnapalilia kwa miaka 7 mtawaliwa kuna timu ya Ujerumani inaitwa Buyern Munich ambayo mara yenu ya mwisho kucheza nae aliwagonga goli 10-2
Sasa juzi kati baada ya Buyern kupata taarifa kua Arsenyau amefuzu kucheza Uefa msimu huu kampiga mtu goli 27-0 na wamesema hizo ni salamu maalumu kwa Arsenyau popote pale walipo.
tapatalk_-474901542_243x540.jpg
 
Diaby ni Winger tu ndio maana Arsenal wameachana nae

Sera ya Arsenal ya usajili lazima uwe fundi(technically Gifted) , versatility (uwe na uwezo wakucheza nafasi zaidi ya moja)

Passing accuracy yako iwe kubwa


Mengine yafatie

Sasa kudus anacheza RW,AM na False 9
Kwa aina ya soka ninalo muona nalo, diaby anacheza kote huko na pia ni fundi, ila arterta ndio anajua anakihitaji nini kwa mchezaji, na pia sijasema kudus ni mbovu, ila jamaa aliweka option kati ya diaby na kudus unapenda yupi, nikachagua diaby
 
Nyie Kima siwatishi ila nawakumbusha tu, huko UCL mlipokua mnapalilia kwa miaka 7 mtawaliwa kuna timu ya Ujerumani inaitwa Buyern Munich ambayo mara yenu ya mwisho kucheza nae aliwagonga goli 10-2
Sasa juzi kati baada ya Buyern kupata taarifa kua Arsenyau amefuzu kucheza Uefa msimu huu kampiga mtu goli 27-0 na wamesema hizo ni salamu maalumu kwa Arsenyau popote pale walipo. View attachment 2692843
Tuna kikosi cha pesa nyingi, kaa kwa kutulia tu kaka
 
Nyie Kima siwatishi ila nawakumbusha tu, huko UCL mlipokua mnapalilia kwa miaka 7 mtawaliwa kuna timu ya Ujerumani inaitwa Buyern Munich ambayo mara yenu ya mwisho kucheza nae aliwagonga goli 10-2
Sasa juzi kati baada ya Buyern kupata taarifa kua Arsenyau amefuzu kucheza Uefa msimu huu kampiga mtu goli 27-0 na wamesema hizo ni salamu maalumu kwa Arsenyau popote pale walipo. View attachment 2692843
Bayern hana timu ya maana hizi kelele sijui mnazitoa wapi

Toka aondoke Lewando wanahaha tu , Bayern tumeanza kwenye usajili kala za mbavu

Huyo Tuchel alishageuka kibonde wa Arteta ,

Kuna timu naona mnazipa hype tu wakati zishachoka ,nikiona mtu anamzungumzia Bayern sasa Kama miaka 5 iliyopita namuona hafatilii mpira ,even hata Madrid ,Tena akijichanganya kutonunua CF , hata makundi anaweza asivuke
 
Bayern hana timu ya maana hizi kelele sijui mnazitoa wapi

Toka aondoke Lewando wanahaha tu , Bayern tumeanza kwenye usajili kala za mbavu

Huyo Tuchel alishageuka kibonde wa Arteta ,

Kuna timu naona mnazipa hype tu wakati zishachoka ,nikiona mtu anamzungumzia Bayern sasa Kama miaka 5 iliyopita namuona hafatilii mpira ,even hata Madrid ,Tena akijichanganya kutonunua CF , hata makundi anaweza asivuke
hizi kufuru zenu ndio zinazo waponza.
 
Back
Top Bottom