Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muundo wa jezi za ugenini za Arsenal 2023/24 una mistari meusi ya maji na ramani ya Islington ,hii inawakilisha safari za mashabiki wanaotoka kwenye mitaa ya Islington kwenda kuisapoti timu hasa mechi za ugenini.

Islington wilaya walipokulia kina Ethan Nanweri,Bukayo Saka,Emile Smith Rowe ,Reis Nelson,
20230718_111218.jpg
 
huyu mbunifu inawezekana ndie yuleyule alietutengezea na sisi zile jezi za pundamilia, inaonekana ubunifu wake unaishia kwenye kuchora mistari mistari tu.
Ila Arsenyo home kit yenu msimu huu ni kali kinoma naona itashika nafasi ya pili baada ya jezi ya Man Utd.
Hahaaaa mkuu jezi yetu ni second to none.
 
Confirmed:

Arsenal will wear the new 2023/24 away kit for the first time against the MLS All-Stars in the early hours of Thursday morning (1:30am kick-off).
20230718_105456.jpg
 
Arsenal wamereject ofa ya inter Milan £35 ... Brighton and West ham have joined the race!!

Inter anataka kujitoa
 
Hii timu yenu Kama chuma ulete , Hadi Sasa mmeshatumia €100m kwenye usajili, lakin timu ni dhaifu afadhali ya mwaka Jana

Dirisha likifungwa utasikia imetumika€300m , lakin kikos Kama Cha Gwambina ya pastor Athanas

Nakupa homework panga first eleven hapa ya kutoboa top 10View attachment 2691672
Kepa
Chalaboh
Chilwell
Fofana
T.silva
Caicedo
Mudriky
Enzo
Fofana
Jackson
Nkunku hapa ubigwa wazi wazi
 
Yah ni £70-75m ambayo ni €80m
Hii ya chelsea mim siwalaumu ila walichokua wanafanya ni kukunua kwanza wachezaji ovyo ovyo alafu baadae ndo watachuga wakubaki nao, maana kwenye football hatukuwahi kuona hiki kilichokua kinatokea chelsea.
 
| Inter Milan are exploring a deal to sign Arsenal striker Folarin Balogun although the sides differ in their valuation.

Inter Milan want to spend around £34m.

Arsenal value him at £50m.

[via @skysports_sheth].
 
| Inter Milan are exploring a deal to sign Arsenal striker Folarin Balogun although the sides differ in their valuation.

Inter Milan want to spend around £34m.

Arsenal value him at £50m.

[via @skysports_sheth].
Wazee wa kususa...kama hawana hela inayokaribiana na 50 wapite kushoti
 
Back
Top Bottom