On top of that anarudia ule mtindo wa kua na kikosi finyuHivi ni Mimi tu naona au na nyie , Liverpool hii anayoenda kucheza ni kamari na inaweza mgharimu
Anauza fabinho na Henderson , amewaleta Mac Allister na Szoboslai ,anatafuta DM ,
Mm nilijua anabaki na fabinho ili wacheze na hao wapya ,lakin new midfield ni bonge la kamari ,
Thus why naomba Partey kwetu asiondoke labda next season au January

The pettiness is real and I’m here for it…