Jamaa ni Tall Sana
Mashabiki siku zote tunalenga makubwa. Hao waliopo kwenye bodi ndiyo hua wanajua kiukweli wanalenga niniKwa arsenal hapo na uhalisia wa kikosi cha sasa vipi lengo ni nini haswa as arsenal fan?
FA cup sidhani kama kuna fan yeyote wa arsenal anamzuka nalo.
Isijekua mdada ndo mfupi 🤣Jamaa ni Tall Sana
Ana ft 6.1 , au 1.85mIsijekua mdada ndo mfupi![]()
Oya 6 ft ni tallAna ft 6.1 , au 1.85m
Mchezaji mrefu nadhani ni Kai ana 1.9m
Habari yako mkuu ndugu?Kwahiyo bado kuna mashabiki wa Arsenal mnaamini mtamsajili RICE?
Wataalamu wa mambo tushajua, dili lime-collapse kitambo sana.
Atatusaidia kwenye Kona ,maana tulikuwa na Gabriel magalhaes ,naona na Kai akianzia Kama False 9,Oya 6 ft ni tall
Kai akianza false 9 kwamba Jesus akae benchi?Atatusaidia kwenye Kona ,maana tulikuwa na Gabriel magalhaes ,naona na Kai akianzia Kama False 9,
Tumekuwa ovyo Sana kwenye kutumia Kona na Kross , CF wetu wafupi
Mara mshabiki mchanga mara amehamia city , hakuna jema kwa Arsenal
Arsenal malengo sio top 4 hata usajili unasadifu hivo


sijahamia city wapi nimetanganaza ni city fan, nimekua arsenal fan muda mrefu so kuchangia ni lazima mnivumilie tu. Nipo zangu huku Newcastle united najitafuta mdogo mdogoOho kumbe upo Newcastle,oksijahamia city wapi nimetanganaza ni city fan, nimekua arsenal fan muda mrefu so kuchangia ni lazima mnivumilie tu. Nipo zangu huku Newcastle united najitafuta mdogo mdogo
Wapokezane ,Kai atokee hata benchKai akianza false 9 kwamba Jesus akae benchi?
Bila uchambuzi ,analysis ,unaonekana unaropoka tu
Hata last season mlisema hivi
Hadi nilipokuja na uchambuzi ambao Kuna wengine wanahisi mm mchawi niliposema Arsenal anaenda kugombea ubingwa , Liverpool na Chelsea wata struggle, Leicester na soton watasshuka daraja
Kipindi naongea hayo Arsenal alikuwa hawekwi hata top 5, Chelsea,Spurs na manjesta waliwekwa Kama title Contender
Fanya analysis kulingana na usajili,vikossi , mbinu za walimu , style of play , sio kubahatisha

Sihitaji kujibishana au kupoteza muda na wewe , ila wenzio wa Chelsea wanajua ,hata humu nilieleza Leicester na soton kuwapoteza Kasper na Forster itawagharimuUongo inakupunguzia siku zako za kuishi. Inakufanya mwisho wa msimu upotea kwenye uzi wako. Lete hiyo analysis yako tuone. Sehemu uliyosema aseno anaenda kugombania ubingwa na lescister na southampton watashuka daraja nimakaa hapa![]()
Mpaka nione official statement ya Arsenal.Habari yako mkuu ndugu?
Sihitaji kujibishana au kupoteza muda na wewe , ila wenzio wa Chelsea wanajua ,hata humu nilieleza Leicester na soton kuwapoteza Kasper na Forster itawagharimu
Arsenal alimaliza Ligi na points 69 but ili ugombee ubingwa unahitaji points kuanzia 80+
Nikasema Arsenal aalipoteza mechi 3 mfululizo sababu ya kikos kidogo /injury hasa ya Partey ,Tierny ,hizi ni points 12
Na Ligi inaanza tu Arsenal tulipoteza mechi 3 mfululizo sababu ya kutosajili mapema
Hizi mechi zilikuwa dhidi ya Chelsea , Brentford na mancity ,nikasema hapa kama tukisolve hili tatizo la kusajili mapema Basi tungepata points 5-6
12+6= 18
69+18= 87
Nikasema tukisolve hayo matatizo mawili kusajili mapema na kuongeza depth Basi tunagombea ubingwa na tulisolve hayo matatizo makuu mawili
Liverpool nilimtoa kabisa maana kikos chake kilijaa wazee ambao Midfield tu ilikuwa na jumla ya umri wa miaka 100+
Chelsea sikuwa surprised nakilichomkuta ,usajili wa ovyo ,kurundika wachezaj wa namba 1 eneo moja ,
Wamiliki kuingilia kazi zisizowahusu
Manjesta ndio alikuwa haeleweki kabisa ila yeye alitumia ujinga wa Liverpool na Chelsea akapenya ila hata wao wanajua timu yao inahitaji overhaul kubwa sana
Badala ya false 9 anaweza cheza AM kwenye 4 1 2 3 but itabidi aongeze uwezo wa kukaa na mpira na recoveryWapokezane ,Kai atokee hata bench