Uongo inakupunguzia siku zako za kuishi. Inakufanya mwisho wa msimu upotea kwenye uzi wako. Lete hiyo analysis yako tuone. Sehemu uliyosema aseno anaenda kugombania ubingwa na lescister na southampton watashuka daraja nimakaa hapa[emoji116]
Sihitaji kujibishana au kupoteza muda na wewe , ila wenzio wa Chelsea wanajua ,hata humu nilieleza Leicester na soton kuwapoteza Kasper na Forster itawagharimu
Arsenal alimaliza Ligi na points 69 but ili ugombee ubingwa unahitaji points kuanzia 80+
Nikasema Arsenal aalipoteza mechi 3 mfululizo sababu ya kikos kidogo /injury hasa ya Partey ,Tierny ,hizi ni points 12
Na Ligi inaanza tu Arsenal tulipoteza mechi 3 mfululizo sababu ya kutosajili mapema
Hizi mechi zilikuwa dhidi ya Chelsea , Brentford na mancity ,nikasema hapa kama tukisolve hili tatizo la kusajili mapema Basi tungepata points 5-6
12+6= 18
69+18= 87
Nikasema tukisolve hayo matatizo mawili kusajili mapema na kuongeza depth Basi tunagombea ubingwa na tulisolve hayo matatizo makuu mawili
Liverpool nilimtoa kabisa maana kikos chake kilijaa wazee ambao Midfield tu ilikuwa na jumla ya umri wa miaka 100+
Chelsea sikuwa surprised nakilichomkuta ,usajili wa ovyo ,kurundika wachezaj wa namba 1 eneo moja ,
Wamiliki kuingilia kazi zisizowahusu
Manjesta ndio alikuwa haeleweki kabisa ila yeye alitumia ujinga wa Liverpool na Chelsea akapenya ila hata wao wanajua timu yao inahitaji overhaul kubwa sana