Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unakumbuka ule msimu Lescister anachukua ndoo. Mlikuwa na ubora gani na chelsea alikuwa na hali gani plus liverpool, Man u na man city? Do u remember?
Ule msimu naukumbuka vizuri , huo msimu hatukuwa na CF wa maana ,aliyetubeba Sana alikuwa Sanchez na Ozil tu, kufika January CF Giroud ameenda mechi 12 bila goli, Wenger akaomba pesa za usajili apate CF akanyimwa, akamtaka Demba Ba maana Giroud alikuwa anakosa magoli Sana ,kipindi hicho Ozil na Sanchez wapo Sana,

Mourinho akamwambia Wenger ,siwez kukupa Demba Ba maana una Ozil

Kipindi hicho hata bajet Arsenal ilikuwa finyu Sana maana KSE walikuwa hawaimiliki timu ,


Msimu huo tukimsajili Cech kutoka Chelsea tu dirisha kubwa

Now unaizungumzia Arsenal yenye umiliki , yenye style of play inayoeleweka inayovutia wachezaji kuja kucheza, unaizungumzia Arsenal Sasa inayojipambanua kushindana ndani na nje ya uwanja

Nadhani umeona kwenye soko la usajili ,tumepambana na city ,Bayern ,n.k


Kama unadhani Arsenal alikuwa one season wonder Basi subiri Ligi ianze
 
Tunaendelea kufatilia utambulisho wa Rice.
20230715_143136.jpg
 
Uongo inakupunguzia siku zako za kuishi. Inakufanya mwisho wa msimu upotea kwenye uzi wako. Lete hiyo analysis yako tuone. Sehemu uliyosema aseno anaenda kugombania ubingwa na lescister na southampton watashuka daraja nimakaa hapa
Hawa viazi wamekwishajikabidhi kombe kabla msimu haujaanza wana sahau Liver kasajili viuongo wapya, Newcastle wanashusha vyuma, Aston Villa majembe, Brighton wana kikosi kizuri, Chelsea wana kocha mpya, Man U tunasafisha mizigo.

Arsenal wana maingizo mapya sajili zao zinaweza kutiki au zikachukua muda kuleta muunganiko mzuri na matokeo hio siwaoni kama faviurite kwenye kuwania ubungwa.

👉Sitashangaa Arsenal akimaliza nje ya top four. Utabiri wangu
1. Man City
2. Man U
3. Newcastle
4. Liverpool
5. Chelsea
6. Wengineo
 
Badala ya false 9 anaweza cheza AM kwenye 4 1 2 3 but itabidi aongeze uwezo wa kukaa na mpira na recovery
Hiyo Role ni ngumu ukizingatia tunacheza na DM mmoja ,

Wanasema ni role ngumu kuizoea ,ndio maana Øde ilimchukua muda , lazima ajue muda gan anatakiwa kuwa mbele muda gan arudi kukaba , lasivyo ataonekana mzembe

Ndio manaa naomba Partey abaki ili Kai acheze mbele zaidi , mech za kawaida ndio aanze Kama AM azoee taratibu
 
João Félix entourage told the player to join Arsenal in January as they believed that a move to the Emirates would be wiser as Mikel Arteta’s style of play was a better fit for the Portuguese.

However, he rejected their advice and moved to Chelsea

The player is ‘suffering the nightmare’ at this moment in time as he isn’t wanted at the Wanda Metropolitano and cannot find a new club either.

(@diarioas via @Sport_Witness / @OsmanZtheGooner )

sportwitness.co.uk/players-entour…
 
Liverpool amegoma kuingia Vita ya Caicedo


James Pearce says Romeo Lavia, Sofyan Amrabat, Ryan Gravenberch and Kalvin Phillips are among those under consideration to replace Fabinho.

Caicedo not viewed as a serious target.
 
Hiyo Role ni ngumu ukizingatia tunacheza na DM mmoja ,

Wanasema ni role ngumu kuizoea ,ndio maana Øde ilimchukua muda , lazima ajue muda gan anatakiwa kuwa mbele muda gan arudi kukaba , lasivyo ataonekana mzembe

Ndio manaa naomba Partey abaki ili Kai acheze mbele zaidi , mech za kawaida ndio aanze Kama AM azoee taratibu
Kama ikichezwa hiyo Rice anakua hapandi, anasaidiana na full back mmoja dimbani nyuma wanabaki CB 2 na full back mmoja., Ila timu inabidi iwe possesion based 100% na position zisiwe zinahamwa
 
João Félix entourage told the player to join Arsenal in January as they believed that a move to the Emirates would be wiser as Mikel Arteta’s style of play was a better fit for the Portuguese.

However, he rejected their advice and moved to Chelsea

The player is ‘suffering the nightmare’ at this moment in time as he isn’t wanted at the Wanda Metropolitano and cannot find a new club either.

(@diarioas via @Sport_Witness / @OsmanZtheGooner )

sportwitness.co.uk/players-entour…
Ofa pekee aliyonayo ni ya Aston Villa.

Atletico walitoa pesa nyingi sana hapa almost hela ya Griezman yote ilikuja hapa. Watu wakamlaumu dogo kukubali kwenda kwenye timu inayopaki basi.

Hatimaye sasa potential yake haijawa felt kama mashabiki tulivyoamini inatakiwa kua
 
Liverpool amegoma kuingia Vita ya Caicedo


James Pearce says Romeo Lavia, Sofyan Amrabat, Ryan Gravenberch and Kalvin Phillips are among those under consideration to replace Fabinho.

Caicedo not viewed as a serious target.
100M nyingi wameona wasishindane na Miluzi
 
Ofa pekee aliyonayo ni ya Aston Villa.

Atletico walitoa pesa nyingi sana hapa almost hela ya Griezman yote ilikuja hapa. Watu wakamlaumu dogo kukubali kwenda kwenye timu inayopaki basi.

Hatimaye sasa potential yake haijawa felt kama mashabiki tulivyoamini inatakiwa kua
Na hataki kwenda Villa nasikia
 
100M nyingi wameona wasishindane na Miluzi
Hivi ni Mimi tu naona au na nyie , Liverpool hii anayoenda kucheza ni kamari na inaweza mgharimu

Anauza fabinho na Henderson , amewaleta Mac Allister na Szoboslai ,anatafuta DM ,

Mm nilijua anabaki na fabinho ili wacheze na hao wapya ,lakin new midfield ni bonge la kamari ,

Thus why naomba Partey kwetu asiondoke labda next season au January
 
Declan -

Nimekuwa nikiitazama Arsenal kwa misimu michache iliyopita. Sio msimu uliopita tu lakini hata msimu walimaliza nafasi ya tano lakini unaweza kuona mtindo wa uchezaji Mikel alikuwa akiuweka. Msimu uliopita ulikuwa msimu bora, ukitoa kila timu isipokuwa Man City.

Nikiwa na Mikel na jinsi anavyofanya kazi na kikosi, jinsi kila mtu ni mchanga, nguvu inayozunguka klabu na pia changamoto ya kuirejesha Arsenal mahali inapostahili, hiyo ina maana kubwa kwangu. Najua mashabiki wanataka hivyo.

Kwangu kama mchezaji, nimekuja hapa nikiwa na njaa ya kuwa na mafanikio zaidi na kutumia miaka yangu bora katika klabu hii kubwa.


(Arsenal)
20230715_150426.jpg
 
Back
Top Bottom