Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Daaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chinihalafu wewe unawaita middle table team?

FIFA Club World Cup 2021-2022.

UEFA Supercup 2021-2022

Champions League 2020-2021

Europa League 2018-2019

FA Cup 2017-2018

Champions League. 2016-2017

Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
Wewe hata Forrest ana UCL Tena 2 lakini amerudi alipotoka , Chelkenge kwasasa wanagombea kushuka daraja ,level zao Sasa nikina forest , Luton fc

Kama kikos Cha 650 walitaka kushuka daraja ,vipi kuhusu Hawa kina Jackson na muddy ambaye hata Goli la offside Hana
 
Wewe hata Forrest ana UCL Tena 2 lakini amerudi alipotoka , Chelkenge kwasasa wanagombea kushuka daraja ,level zao Sasa nikina forest , Luton fc

Kama kikos Cha 650 walitaka kushuka daraja ,vipi kuhusu Hawa kina Jackson na muddy ambaye hata Goli la offside Hana
Nimekuonyesha Chelsea big trophies for last 6 years.
Wewe tuonyeshe japo one big trophy kama hizo ambayo Arsenyo amepata for last 20 years?
Yaani timu lenu miaka 8 mtawaliwa mmeshindwa kuingia hata kwenye top4 unapata wapi nguvu ya kuisema timu kubwa duniani kama Chelsea kua ni middle table team?
1688716678871.jpg
1688228358680.jpg
 
United msimu huu Uefa tumekosakosa sana fainali.
Save hii comment nimekaa paleeee.
Aisee na hiv mmemuondoa Degea ambaye mechi nyingi mlikuwa mle 5-0,6-0,7-0 mnamleta onana ,jiandaen kutafuta mchawi ,mm sio nabii au mganga wakati Chelsea wanamsajili kepa niliwaandama Huyo kipa Ni pazia , had walielewa ,namaanisha Nini, msimu uliopita kacheza game nyingi , wametoboka Sana , hiki kinaenda kuwakuta nyumbu

Hata Anthony nilikwambia mmepigwa mech ya kwanza tu ulibisha Sana ,leo mnakubali pale mmetapeliwa


Ifike muda uwe unanisikiliza mchambuzi nguli


Manjesta mtachezea vipigo vitakatifu msimu huu ,ujue Degea hafai ila kwa timu yenu ungaunga mwana bado mnamuhitaji lasivyo sitashangaa mkichezea 4-0,5-0 had 7-0

Mfano ile mechi ya Emirates dakika 20 mnapumuliwa tu ,imagine una kipa pazia ,
 
Nimekuonyesha Chelsea big trophies for last 6 years.
Wewe tuonyeshe japo one big trophy kama hizo ambayo Arsenyo amepata for last 20 years?
Yaani timu lenu miaka 8 mtawaliwa mmeshindwa kuingia hata kwenye top4 unapata wapi nguvu ya kuisema timu kubwa duniani kama Chelsea kua ni middle table team? View attachment 2681040View attachment 2681042
Yaani umejichagulia 6yrs ,Mimi nakupa miaka 50 hapo vipi

Chelkenge bado timu ndogo kwa Arsenal kwa kila kitu

Arsenal alikuwa sleeping giant tu ,now tumerud ,
 
Ray Parlour:

.“I’m sure Thierry [Henry] could play a role if there was genuine interest from both Arsenal & Mbappe. We all know that rumours can be a bit silly, but how exciting would that be? That is the kind of rumour that, as an Arsenal fan, you want to be hearing.” #afc
IMG_20230707_152241.jpg
 
Aisee na hiv mmemuondoa Degea ambaye mechi nyingi mlikuwa mle 5-0,6-0,7-0 mnamleta onana ,jiandaen kutafuta mchawi ,mm sio nabii au mganga wakati Chelsea wanamsajili kepa niliwaandama Huyo kipa Ni pazia , had walielewa ,namaanisha Nini, msimu uliopita kacheza game nyingi , wametoboka Sana , hiki kinaenda kuwakuta nyumbu

Hata Anthony nilikwambia mmepigwa mech ya kwanza tu ulibisha Sana ,leo mnakubali pale mmetapeliwa


Ifike muda uwe unanisikiliza mchambuzi nguli


Manjesta mtachezea vipigo vitakatifu msimu huu ,ujue Degea hafai ila kwa timu yenu ungaunga mwana bado mnamuhitaji lasivyo sitashangaa mkichezea 4-0,5-0 had 7-0

Mfano ile mechi ya Emirates dakika 20 mnapumuliwa tu ,imagine una kipa pazia ,
Huyo De gea msimu ulioisha wote kadaka yeye na hizo 4-0, 5-0, 7-0 tumechezea vilevile kwa hio hata Onana akisajiliwa na tukazichezea tena hakuna kitu cha ajabu.
Ila shabiki wa Arsenyo kusema Chelsea ni middle table team ni zaidi ya uhaini.
 
Najiuliza kama Pochettino ni kocha wa kumfanya mtu awe jeuri humu na sioni ni kivipi unatakiwa kupiga kelele kwa wingi.

Alikua Spurs, alikua PSG. PSG ilitoka kwenye ligi tano bora ikarudi Messi alivyoenda. Akapoteza dressing room, uwanjani timu ikacheza individually. Ameonyeshwa mlango karudi Uingereza.

Analeta nini mezani? Man management siyo nzuri, mpira ni counter zaidi kuliko possession mimi naona ataanza slow, momentum kidogo kisha atarudi average na hapo ni kama watasajili ST. Wasiposajili itakua ni mwendelezo wa msimu uliopita.

Kikosi kimevimbiana wanakipunguza lakini wamepunguza mpaka mabeki.
 
Mbappe hawezi kuja Arsenal. Sidhani kama Arsenal inawezana na wachezaji wenye ego
 
Najiuliza kama Pochettino ni kocha wa kumfanya mtu awe jeuri humu na sioni ni kivipi unatakiwa kupiga kelele kwa wingi.

Alikua Spurs, alikua PSG. PSG ilitoka kwenye ligi tano bora ikarudi Messi alivyoenda. Akapoteza dressing room, uwanjani timu ikacheza individually. Ameonyeshwa mlango karudi Uingereza.

Analeta nini mezani? Man management siyo nzuri, mpira ni counter zaidi kuliko possession mimi naona ataanza slow, momentum kidogo kisha atarudi average na hapo ni kama watasajili ST. Wasiposajili itakua ni mwendelezo wa msimu uliopita.

Kikosi kimevimbiana wanakipunguza lakini wamepunguza mpaka mabeki.
Mwambie shabiki yeyote wa Chelsea akupangie first eleven yake amuweke hata Caicedo

Akipanga muulize anaona kinaweza hata kushindana na Astonvilla, Brighton, N.k

Achilia mbali hata manjesta

Lakin kutwa wanakuja humu

Huyo CF mwenyewe watampata wapi ,wameshasajili mndengereko mmoja kutoka spain
 
Kaka flano unaalikwa
huko hakuna uchambuzi wowote labda uchafuzi tu.
Mi nitabanana nao hapahapa tu, sitaki kupigiwa makelele halafu masikio yangu yakaharibika bure.
Kwanza sipati picha hio mitusi wanayotukanana humu kwa maandishi itakavyosikika huko kwa sauti.
 
Mbappe hawezi kuja Arsenal. Sidhani kama Arsenal inawezana na wachezaji wenye ego
Huo mshahara wenyewe wa kumlipa mnao?
Mbappe mwenyewe alihojiwa na mwandishi wa Sky Sports kuhusu tetesi za kusajiliwa na Arsenyo akajibu kuliko kwenda Arsenyani ni bora astaafu tu soka la kulipwa.
 
Huyo De gea msimu ulioisha wote kadaka yeye na hizo 4-0, 5-0, 7-0 tumechezea vilevile kwa hio hata Onana akisajiliwa na tukazichezea tena hakuna kitu cha ajabu.
Ila shabiki wa Arsenyo kusema Chelsea ni middle table team ni zaidi ya uhaini.
Sasa Kama mlichezea 5-0,4-0 had 7-0 Basi mlitakiwa kupigwa 10 kabisa

Kuna mechi Vs Arsenal Degea alifanya saves za maana 14

Sasa leten makipa wenu wakuokota mabeki kina varane ,halafu mpumuliwe dakika 20 Kama ile mechi ,
 
Back
Top Bottom