hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,261
- 26,648
Wewe hata Forrest ana UCL Tena 2 lakini amerudi alipotoka , Chelkenge kwasasa wanagombea kushuka daraja ,level zao Sasa nikina forest , Luton fcDaaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chinihalafu wewe unawaita middle table team?
FIFA Club World Cup 2021-2022.
UEFA Supercup 2021-2022
Champions League 2020-2021
Europa League 2018-2019
FA Cup 2017-2018
Champions League. 2016-2017
Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
Kama kikos Cha 650 walitaka kushuka daraja ,vipi kuhusu Hawa kina Jackson na muddy ambaye hata Goli la offside Hana




