Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu Hatutakuita mwajuma, hii michezo ya watoto wa kiume kujitangaza mabinti labda mkafanye Kule Kule ukengeni chelshit fc

1. Arsenal NDOO
2. City
3. Newcastle
4.

.

.11 kenge fc
Tatizo ushabiki Umewajaa hamuoni uhalisia, kw upande wangu liva nawaona hapo kwnye hiyo top 3 kuliko hata nyie na hao Newcastle. Hapo cjawataja chelsea mana bado hatujui uwezo wa kocha kwnye kuwaunganisha wachezaji, mana chelsea ina watu shida ilikua kocha.
Ila kila mtu ana mawazo yake, siburi tuone. Ila Arse88 top 3 msahau.
 
Simple tu ,huhitaji kutumia akili nyingi ,

Trossard ambaye Ni Bora kuliko huyo mudrky ambaye Hana hata Goli la offside Arsenal anasubiri , vipi huyo muddy hata bench hakai, hapo mmepigwa kweupe

Mlisajili Enzo mkiwa nafasi ya 10 ,akawashusha had ya 12

Msimu huu ndio kwanza mnasajili wandengereko kina Jackson ,had Sasa Astonvilla ana strong team kuliko chelkenge ,

Bado Golin mna kepa pazia
Mlisema Hivyo hivyo kw Havertz na Joghino, haya sasa yapo wapi?!
Uzuri wa mchezaji haupimwi kw kufunga magoli, labda kama ni central foward.
 
Waarabu hawalipi mishahara mbuzi kama hio wanayolipa Kroenke's.
Mshahara wa Ronaldo peke yake huko Uarabuni inaweza fikia nusu ya mishahara ya kikosi kizima cha Arsenyo.
Pesa ya kulipa mshahara wa Mbappe timu masikini kama Arsenyo haina, labda timu iuzwe halafu pesa yote itayopatikana kwenye mauzo ndio inaweza tosha kulipa mshahara wa Mbappe.
Achaneni na kelele za Mbappe humu mnajichosha bure, nyie nendeni mkatafute mafungu ya kina Sambi Lokonga wengine ndio size yenu.
Ndo nimeona leo comment ya huyo jamaa mpumbav.. Nimeona hata kazi kuMquote maana nimeona ni mjinga.

Hana data anavoviongea ana bwabwaja tu upuuz apuuzwe ni shabik wa Arsenal tunamsamehe bure.
 
Unajua kwann nimeleta mjadala huu?

Kwasababu unasema mko vizuri.

Mimi nikasema mna utofauti gani na Chelsea ambaye hajaachive chochote msimu huu?

Achievement inapimwa kwa vikombe manake timu bora inabeba makombea au kombe kubwa.

Chelsea haijabeba kombe kwa sababu hakuwa bora. Hata Brighton alikuwa bora kuliko chelsea si fulam pekee ake hata Newcastle.

Siwezi kukushangaa kucheza UEFA baada ya miaka kumi hiyo ndiyo achivement yako kwa msimu huu. Ful stop
Mkuu kwny mpira kuna kupanda na kushuka na process ya kurudi kwenye peak huwa sio ya ujanjaujanja...Sasa kwa msimu wa mwaka jana wengi wetu huku hatukuamini kwmba arsenal angepelekeshana na man City mpk karibu na ligi kuisha ila wengi tuliamini top four ni achievable kutokana na kikosi tulichonacho na sisi tulikuwa tumezoea timu yetu si ya kutoa mahela mengi kupata mafanikio kutokana na financial situation tuliyonayo ila Sasa tumeanza kutoa hela na probably tutaanza kushinda vikombe tena...kwni tukizungumza uhalisia mafanikio ya Chelsea si kutokana kuwa na mmiliki anayetia pesa nyng ku invest na Sasa huko na sisi ndo tumeanza kuja...jumlisha na kocha tuliyenaye ana clear vision ya namna tunavyotaka kucheza...ndo maana nikakwambia kwetu kurudi top four ni achievement maana hatukuwepo mda...ila kwa msimu huu tukikosa kombe itakuwa ni failure...kwa hyo relax na ushuhudie tukibeba kombe plus kama kawa kuwakanda Chelkenge nje ndani kama kawaida yetu...
 
Ivi kumbe nabishana na kijana alipotea baada ya arsenal kupoteza ubingwa sikujua ngoja nistop hii mada. Wote humu mlipotea baada ya kutoa drow na liverpol alafu leo naanza kubishan na ninyi aisee
Timu imetumia £650m inashika nafasi ya 12

Bado unapata wapi nguvu yakubwabwaja?

Msimu huu Tena mna kikos Dhaifu bado unabwabwaja humu

Rudini kwenye timu zenu
 
EXCL: Arsenal doctor Gary O’Driscoll moving to Manchester United. Expected to remain in current role for transition period before completing switch later this summer. Highly-regarded medic a significant coup for #MUFC after 14+yrs at #AFC @TheAthleticFC
FotoJet-2023-07-07T075858.843-1024x683.jpg
 
HAYA WALE WENYE HUSUDA


It is understood that Arsenal would actually be Mbappe's first preference if he were to ever go to the PL, both because he likes evolution of Mikel Arteta's team & would also enjoy the challenge of delivering the title to AFC again.

(@MiguelDelaney )
 
Shida kwao engagement changamoto, hivyo inawalazimu washinda na kulala hapa
Timu imetumia £650m inashika nafasi ya 12

Bado unapata wapi nguvu yakubwabwaja?

Msimu huu Tena mna kikos Dhaifu bado unabwabwaja humu

Rudini kwenye timu zenu
 
HAYA WALE WENYE HUSUDA


It is understood that Arsenal would actually be Mbappe's first preference if he were to ever go to the PL, both because he likes evolution of Mikel Arteta's team & would also enjoy the challenge of delivering the title to AFC again.

(@MiguelDelaney )
Hiki kirusi...hata kama ni bure wasithubutu kumchukua.... Ataharibu dressing room kabisa..dogo anajiona mkubwa kuliko timu hafai hata bure...yle aende timu kama Madrid huko ndo watawezana naye...
 
Arsenal watamuuza Partey iwapo ofa ya £40-45m itakuja na si vinginevyo

Timu za Saudia zipo tayari kulipa hiyo hela ,ila Partey hataki kwenda huko , Juventus wanaomuhitaji inawabidi walipe pesa ya kushawishi otherwise Partey hatauzwa ,Kama Partey ataondoka Arsenal wanamuona Romeo Lavia na Aurelian Tchoumen Kama wabadala sahihi

Madrid wanahitaji kumsajili Mbappe lakin wanahitajika kuuza mchezaji mmoja kwa €80-90m ili wapate pesa ya kumsajili Mbappe

Tchoumen na Fede Valvede itawalazimu mmoja wao wamuuze

Parteys camp have told Saudi clubs that the player currently does not favor a move there. Initials talks with Juventus but Arsenal would want significant fee based on how much they signed the player for

(@jamesbenge )

Hatutaki faida kwa Partey? Kumuuza Kwa bei tuliyolipa au kidogo yake inatutosha?
 
HAYA WALE WENYE HUSUDA


It is understood that Arsenal would actually be Mbappe's first preference if he were to ever go to the PL, both because he likes evolution of Mikel Arteta's team & would also enjoy the challenge of delivering the title to AFC again.

(@MiguelDelaney )

according to a recent report from the Independent, should Mbappe opt to move to the Premier League, the club he prefers over all others is Mikel Arteta’s Arsenal.
 
Mimi nasema nyie Ni middle table team Kama forest ,Kama unabisha weka kikos unachotarajia kuanza nacho EPL
Ili uache kelele
Daaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chinihalafu wewe unawaita middle table team?

FIFA Club World Cup 2021-2022.

UEFA Supercup 2021-2022

Champions League 2020-2021

Europa League 2018-2019

FA Cup 2017-2018

Champions League. 2016-2017

Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
 
Back
Top Bottom