Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sababu tunazo

Nia tunayo

Uwezo tunao

Mwaka jana tumefuta vumbi katika kabati letu la trophies, mwaka huu tunaweka kitu. Na sizungumzii F.A and the likes, nooooo!!!!!!
 
hawa Kima lazima waone ni mafanikio kwao maana wamepiga miaka 8 mtawaliwa bila ya kunusa kwenye hio top4.
Wewe ni msengerema tu. Hili jukwaa umelizoea kupitiliza. Kachat huko Manure huu upumbavu wako. You are a Borer.Nakuchukia kama harufu ya Kinyesi
 

Space imeanz


Nimesikiliza mpaka saa 6 nilipo anza kupokea simu za Happy birthday; unfortunately I did not get chance to speak out my mind. I am opposed to contributions made by some speakers. Just focused on the current acquisitions, but forgot the key outgoings and mentioned a little on our No. 3 KT who is destined to Newcastle and No.2 TT prone to injuries. Concentrated on saka replacement but forgot about the presence of Nelson and Trossard.
 
Nimesikiliza mpaka saa 6 nilipo anza kupokea simu za Happy birthday; unfortunately I did not get chance to speak out my mind. I am opposed to contributions made by some speakers. Just focused on the current acquisitions, but forgot the key outgoings and mentioned a little on our No. 3 KT who is destined to Newcastle and No.2 TM prone to injuries. Concentrated on saka replacement but forgot about the presence of Nelson and Trossard.
Mashabiki wengi wa Arsenal hawajui timu yao ilikuwa wapi imetoka wapi na inaenda wapi

Mtu had leo anamuwazia pepe ,kT,holding wacheze,mtu anakwambia tunahitaji CF wa maana ,ukimwambia wataje hawajui

CF waliofanya vzr last season na waliopo ulaya Ni

Halland
Kane
Osmhen
Lacazette
Balogun


Hadi hapo unaanza kusaka kwa tochi

Sasa Cha ajabu balogun tumemuweka sokon

Lacazette kwetu alifikia hatua akawekwa bench na Nketiah

Kane ,Arsenal na Spurs hawauzian wachezaji

Victor Ni €140-150m

Lakini mtu anakwambia tusajiri CF

Jesus alifunga Goli 9-10 na alikosa miez 3 nje
 
Wewe ni msengerema tu. Hili jukwaa umelizoea kupitiliza. Kachat huko Manure huu upumbavu wako. You are a Borer.Nakuchukia kama harufu ya Kinyesi
Relax broo usichukulie mambo serious sana utaishia kupata maradhi bure.
Hivi ushafikiria Barcelona ikifa kutakua na raha gani ya kufatilia La Liga bila ya uwepo wa El Clasico?
Maisha siku hizi yamerahisishwa sana yamekua ni very simple, ukiona unakwazika na comments zangu unaingia tu hapo juu kwenye Option halafu una click Ignore unakua umemaliza tatizo lako.
Ila kuna fans wenzio humu wasiponiona siku 2 au tatu lazima wanitafute kwenye majukwaa mengine na kuniomba nije kuwachagamsha humu.
 
Mashabiki wengi wa Arsenal hawajui timu yao ilikuwa wapi imetoka wapi na inaenda wapi

Mtu had leo anamuwazia pepe ,kT,holding wacheze,mtu anakwambia tunahitaji CF wa maana ,ukimwambia wataje hawajui

CF waliofanya vzr last season na waliopo ulaya Ni

Halland
Kane
Osmhen
Lacazette
Balogun


Hadi hapo unaanza kusaka kwa tochi

Sasa Cha ajabu balogun tumemuweka sokon

Lacazette kwetu alifikia hatua akawekwa bench na Nketiah

Kane ,Arsenal na Spurs hawauzian wachezaji

Victor Ni €140-150m

Lakini mtu anakwambia tusajiri CF

Jesus alifunga Goli 9-10 na alikosa miez 3 nje
Brother Cf n wamuhimu hilo ata wewe unalijua na sio lazima awe aliofanya vzur msimu uliopita maana inawezekana akafanya vzur alipotoka ila kwako akapotea (mifano iko mingi) tunachohitaj awe tu na qualities zinazotakiwa na some of potential. kitakacho baki Arteta na timu yake ndio kaz yao.
Wapo hapo kina ivan toney( najua ana ban ila sio ya mda mrefu) lautaro na wengine, striking force yetu n tamu tunahitaj tu mtu wa shabaha ambaye achez mbal na goli saa nyingine namuwaza ata diego jota
 
Brother Cf n wamuhimu hilo ata wewe unalijua na sio lazima awe aliofanya vzur msimu uliopita maana inawezekana akafanya vzur alipotoka ila kwako akapotea (mifano iko mingi) tunachohitaj awe tu na qualities zinazotakiwa na some of potential. kitakacho baki Arteta na timu yake ndio kaz yao.
Wapo hapo kina ivan toney( najua ana ban ila sio ya mda mrefu) lautaro na wengine, striking force yetu n tamu tunahitaj tu mtu wa shabaha ambaye achez mbal na goli saa nyingine namuwaza ata diego jota
CF najua tunaweza kumsajili lakin Sion akianza ,labda tutengeneze wakwetu,

Toney ana ban nadhan miezi 8 ,

Lautaro huyu jamaa hawez kuanza mbele ya Jesus anakosa magoli Sana

Mara Mia apewe nafas Balogun

Najua tutasajili CF mdogo aingie kwa timu taratibu maana top top CF Ni wachache sana
 
Maneno yako haya yatakuponza mkuu chonde chonde.
Popote mlipo, mnaiwaza zaidi Arsenal kuliko timu nyingine yeyote.Mioyoni, mnajua ni jinsi gani tumejiimarisha. Mimi huku nilipo, tetesi za wachezaji tunaohusishwa nao kuwasajili, nazipata kwa mashabiki wasio wa Arsenal. Yani wanajua Kila kitu kuhusu sisi.

Na hatujamaliza, we keep building our amry. Mnatuhofia sana kuliko mnavyomuhofia Man City. Na juzi kati zile habari za Mbappe to prefer Arsenal over Liverpool kama anakuja EPL ndo zikawanyima usingizi kabisa.
 
Popote mlipo, mnaiwaza zaidi Arsenal kuliko timu nyingine yeyote.Mioyoni, mnajua ni jinsi gani tumejiimarisha. Mimi huku nilipo, tetesi za wachezaji tunaohusishwa nao kuwasajili, nazipata kwa mashabiki wasio wa Arsenal. Yani wanajua Kila kitu kuhusu sisi.

Na hatujamaliza, we keep building our amry. Mnatuhofia sana kuliko mnavyomuhofia Man City. Na juzi kati zile habari za Mbappe to prefer Arsenal over Liverpool kama anakuja EPL ndo zikawanyima usingizi kabisa.
mkuu lbd umeshiba chai ngj kwnz nikuache chai na maandaz itoke kichwan unaweza kurud kwny senses zako za kawaida.

Maana unachokiongea naona ni kama unaongea vitu vya kusadikika zaid kuliko uhalisia nimekusamehe bure kwa sbb najua saiv ni mda wa chai unaweza umeshiba chai na maandaz.

Lkn mm ni yule niliyekunyima furaha msimu huu.. Na ntaendelea kufanya ivo.
20230702_134804.jpg
 
mkuu lbd umeshiba chai ngj kwnz nikuache chai na maandaz itoke kichwan unaweza kurud kwny senses zako za kawaida.

Maana unachokiongea naona ni kama unaongea vitu vya kusadikika zaid kuliko uhalisia nimekusamehe bure kwa sbb najua saiv ni mda wa chai unaweza umeshiba chai na maandaz.

Lkn mm ni yule niliyekunyima furaha msimu huu.. Na ntaendelea kufanya ivo. View attachment 2681723
Mwanangu hivi team yako ya Kwanza kushabikia nje ilikuwa ipi kabla hujahamia kwenye plastic club with plastic fans?
 
Mwanangu hivi team yako ya Kwanza kushabikia nje ilikuwa ipi kabla hujahamia kwenye plastic club with plastic fans?
Swali zuri kbs najua ni miongoni mnaoumia kumuona mtu ni City fan kwa sbb unajua unakosa cha mkosoa nacho unabak na porojo za plastic fans mara sijui oil club.

Mm nilikua na team moja tu duniani wkt huo ambayo ni Barcelona pekee.

2008 wkt kocha bado ni Mark Hughes mm ndo nilianza kuipenda city ndo December 2009 yake akatambulishwa Roberto Mancini.

Pole mkuu najua unaumia sana kuona nina tamba sana majukwaani hapa lkn ndo hakuna namna mm ndo Treble winner na huna namna zaidi ya kuvumilia maumivu makali Aya unayopitia.
20230630_060504.jpg
 
Timber and his agent had secret talks with Arsenal in London around time of attending the FA Cup final between United and City.

Player has indicated to Ajax that he has his sights set on Arsenal. Ajax coach understands the players attraction to the club.

Bayern still want player but Arsenal are a "Street level" ahead.

(@MikeVerweij - Tier 1 Ajax)

telegraaf.nl/sport/20258451…
 
Swali zuri kbs najua ni miongoni mnaoumia kumuona mtu ni City fan kwa sbb unajua unakosa cha mkosoa nacho unabak na porojo za plastic fans mara sijui oil club.

Mm nilikua na team moja tu duniani wkt huo ambayo ni Barcelona pekee.

2008 wkt kocha bado ni Mark Hughes mm ndo nilianza kuipenda city ndo December 2009 yake akatambulishwa Roberto Mancini.

Pole mkuu najua unaumia sana kuona nina tamba sana majukwaani hapa lkn ndo hakuna namna mm ndo Treble winner na huna namna zaidi ya kuvumilia maumivu makali Aya unayopitia. View attachment 2681799
Ndugu yangu we kuwa tu na Amani me ata siwezi kuumia shabiki wa Man city akitamba

Kwanza nakuwa ata sioni Raha ya kutambiana au kutambiwa na city fan, Kwa sababu najua ni mnafki tu kama wanafki wengine

Yani ni sawa kwenye kuongelea Mambo ya mpira Kati ya Yanga na Simba alafu kuwe na shabiki wa Azam, Kwanza unajiuliza huyu katokea wapi

Coz kabla ya kuwa Azam kuna team alikuwepo, the same na mashabiki wa city walihama team zao kwakuwa wana roho ya kike kwa sababu wanawake ndio waga hawajui wanataka nini maishani mwao

Kwahiyo mkuu we kuwa na Amani kabisa, me nilitaka Tu kujua before kurukia basi la City ulikuwa wapi kwa sababu najua ni lazima ulikuwa na team ingine

Me naenjoy mabishano na watu kama kina Flano Mkohoti Cash Money Forever lembu The Boss WAIKORU Baba Swalehe Kisu Cha Ngariba na wengine wa Kariba kama yao coz we got history

Siwezi kumuonea wivu shabiki wa city alie huku kwetu matombo ata siku moja mkuu, we enjoy tu treble yako
 
Ndugu yangu we kuwa tu na Amani me ata siwezi kuumia shabiki wa Man city akitamba

Kwanza nakuwa ata sioni Raha ya kutambiana au kutambiwa na city fan, Kwa sababu najua ni mnafki tu kama wanafki wengine

Yani ni sawa kwenye kuongelea Mambo ya mpira Kati ya Yanga na Simba alafu kuwe na shabiki wa Azam, Kwanza unajiuliza huyu katokea wapi

Coz kabla ya kuwa Azam kuna team alikuwepo, the same na mashabiki wa city walihama team zao kwakuwa wana roho ya kike kwa sababu wanawake ndio waga hawajui wanataka nini maishani mwao

Kwahiyo mkuu we kuwa na Amani kabisa, me nilitaka Tu kujua before kurukia basi la City ulikuwa wapi kwa sababu najua ni lazima ulikuwa na team ingine

Me naenjoy mabishano na watu kama kina Flano Mkohoti Cash Money Forever lembu The Boss WAIKORU Baba Swalehe Kisu Cha Ngariba na wengine wa Kariba kama yao coz we got history

Siwezi kumuonea wivu shabiki wa city alie huku kwetu matombo ata siku moja mkuu, we enjoy tu treble yako
Huwez kua haumii uni quote mkuu.. Ungepita tu had una ni quote unaumia.

Kwnz team yako ni ipi had utake bishana nao uliowatag?

Kama team yako haina UEFA Champions league au kombe lolote la ulaya hatuwez ongea chochote.

Taja team yako nijue kama kwl una legitimacy ya kubishana na watu wenye UCL?
 
Swali zuri kbs najua ni miongoni mnaoumia kumuona mtu ni City fan kwa sbb unajua unakosa cha mkosoa nacho unabak na porojo za plastic fans mara sijui oil club.

Mm nilikua na team moja tu duniani wkt huo ambayo ni Barcelona pekee.

2008 wkt kocha bado ni Mark Hughes mm ndo nilianza kuipenda city ndo December 2009 yake akatambulishwa Roberto Mancini.

Pole mkuu najua unaumia sana kuona nina tamba sana majukwaani hapa lkn ndo hakuna namna mm ndo Treble winner na huna namna zaidi ya kuvumilia maumivu makali Aya unayopitia. View attachment 2681799
Hadi kufikia 2015 afrika kulikua hakuna shabiki wa man city. Kutoka vyanzo vya kuaminika

Kikawaida ilikua ngumu kushabikia laliga alafu usiwe na timu epl

Plastic fans Uzi wenu unawachangiaji watatu tu
Mathematical exponentially mmeanza kuishabikia 2019, na sio Kama unavyotaka kudanganya watu hapa
 
Back
Top Bottom