Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
Nawewe ulikuwa unafanya nini kwenye jukwaa letu? ushoga unaingia hivyo hivyo kwenye jamiiNashangaa hawa wapuuz wachache wa Arsenal wanajikuta die hards fans wa Gunners.
Mwshn mwa ligi wkt team inafanya vibaya mlikua wapi jukwaani hapa mbona mlikimbia kwenda mafichoni.
Nyie ni wapuuz sana nyie ndo wanafiki wakubwa.. Yan jukwaa lenu mlikua mnaliona kama moto.. Hlf saiv mnajitokeza kusema nn hapa.
Nyie wengi wenu ni shabik maandaz mlikua wap wkt team yenu inapelekwa moto na kupokonywa ligi mkiwa mmekaa kileleni kwa sik 200+.
Leo hii mko hapa mnajifanya ndo doe hards fana.. Wkt team wkt inapokea vipigo hamkuonekana hapa.

| Arsenal began pre-season on Saturday afternoon at London Colney with a 1-1 draw with Watford in a behind-closed-doors friendly. Marquinhos was the goalscorer in the second-half.