Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nashangaa hawa wapuuz wachache wa Arsenal wanajikuta die hards fans wa Gunners.

Mwshn mwa ligi wkt team inafanya vibaya mlikua wapi jukwaani hapa mbona mlikimbia kwenda mafichoni.

Nyie ni wapuuz sana nyie ndo wanafiki wakubwa.. Yan jukwaa lenu mlikua mnaliona kama moto.. Hlf saiv mnajitokeza kusema nn hapa.

Nyie wengi wenu ni shabik maandaz mlikua wap wkt team yenu inapelekwa moto na kupokonywa ligi mkiwa mmekaa kileleni kwa sik 200+.

Leo hii mko hapa mnajifanya ndo doe hards fana.. Wkt team wkt inapokea vipigo hamkuonekana hapa.
Nawewe ulikuwa unafanya nini kwenye jukwaa letu? ushoga unaingia hivyo hivyo kwenye jamii
 
Nawewe ulikuwa unafanya nini kwenye jukwaa letu? ushoga unaingia hivyo hivyo kwenye jamii
Mbona siku hizi mnapenda kuuongelea uchoko sana kila wakati? kama jamii tunaelekea wapi? mungu tunusuru. Hivi huoni kinyaa kuuzungumzia?
 
Mbona siku hizi mnapenda kuuongelea uchoko sana kila wakati? kama jamii tunaelekea wapi? mungu tunusuru. Hivi huoni kinyaa kuuzungumzia?
Sasa hii tabia gan watoto wa kiume kwenda kwa wanaume wengine kuzomea? mambo ya kiwaki yamekuwa mengi kwa vijana ndo maana unayaona yanayotokea
 
Timu ndogo Sana hii ...

Haina historia yeyote balani ulaya ..

Epl 3

Fa 14

CL 0

Mtu kama huyu unabishana nae Kwa kigezo gani ,...

Mashabiki wengi wa arsenal ni wazee ,kina Edo kumwembe miaka 47+,,maana wameshabikia arsenal wakati unachukua league invisible,japo walikuja kuzibuliwa badae na man u ..ndio maana zunguka mtaa mzima huwezi Kuta shabiki wa arsenal wa miaka 27 kushuka chin ...

Hawa wa humu wote ni wazee ,tuwape heshima zao
 
Timu ndogo Sana hii ...

Haina historia yeyote balani ulaya ..

Epl 3

Fa 14

CL 0

Mtu kama huyu unabishana nae Kwa kigezo gani ,...

Mashabiki wengi wa arsenal ni wazee ,kina Edo kumwembe miaka 47+,,maana wameshabikia arsenal wakati unachukua league invisible,japo walikuja kuzibuliwa badae na man u ..ndio maana zunguka mtaa mzima huwezi Kuta shabiki wa arsenal wa miaka 27 kushuka chin ...

Hawa wa humu wote ni wazee ,tuwape heshima zao
Kubishana na plastic fan ni matumizi mabaya ya energy
 
Kubishana na plastic fan ni matumizi mabaya ya energy
Nyie kalieni tu kuwaita wenzenu plastic fans wakati wenyewe wanatengeneza historia
👉Roma haikujengwa siku moja
👉Hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Nyie kalieni tu kuwaita wenzenu plastic fans wakati wenyewe wanatengeneza historia
👉Roma haikujengwa siku moja
👉Hata mbuyu ulianza kama mchicha
Kwani nani Hana historia.
FySl4XyWwAIoUC2.jpeg

Kuna mwenye kombe kama hilo?
 
Nimekujibu sababu umemuita mwenzako plastic fan. Mimi man U lakini ukiniuliza kati ya Arsenal na Madogo wa man city nani ana mafanikio zaidi nitachagua man city kawazidi mafanikio na ni mkubwa kuliko nyie.
Watakwambia invisible ndio mafanikio makubwa,wakat hata Steven Gerald na uchanga wake wa ukocha anayo hiyo invisible.

Kuwa shabiki wa Ars88 ni zaid ya ukichaa.
 
| Arsenal began pre-season on Saturday afternoon at London Colney with a 1-1 draw with Watford in a behind-closed-doors friendly. Marquinhos was the goalscorer in the second-half.


[@arsenal] #afc
 
Watakwambia invisible ndio mafanikio makubwa,wakat hata Steven Gerald na uchanga wake wa ukocha anayo hiyo invisible.

Kuwa shabiki wa Ars88 ni zaid ya ukichaa.
Wewe timu lako linapambania kushuka daraja msimu ujao

Cha ajabu unajipitisha humu kusaka furaha

Kwa timu hii unategemea Nan umtoe top 10
IMG_20230708_014806.jpg
 
Arsenal drew 1-1 with Watford in a friendly earlier at the training ground. Marquinhos scored.

Few first teamers started, likes of Gabriel Jesus and Ben White, but also a start for Myles Lewis-Skelly.
IMG_20230708_192252.jpg
 
Nimekujibu sababu umemuita mwenzako plastic fan. Mimi man U lakini ukiniuliza kati ya Arsenal na Madogo wa man city nani ana mafanikio zaidi nitachagua man city kawazidi mafanikio na ni mkubwa kuliko nyie.
Yani kwamba umeumia kumuita plastic fan, lakini umeona sawa kuiita Arsenal timu ndogo?

Hao tunawaita plastic fans kwasababu hata huku mtaani, ukiwahesabu 10 hawafiki, na hapo wenyewe wanakwambia sio wafatiliaji sana wa mpira, lakini unashangaa anakucheka mkifanya vibaya
 
Yani kwamba umeumia kumuita plastic fan, lakini umeona sawa kuiita Arsenal timu ndogo?

Hao tunawaita plastic fans kwasababu hata huku mtaani, ukiwahesabu 10 hawafiki, na hapo wenyewe wanakwambia sio wafatiliaji sana wa mpira, lakini unashangaa anakucheka mkifanya vibaya
Hawa jamaa nikuwapuuza maana hata wawili hawafiki
 
Back
Top Bottom