Green Koryo
JF-Expert Member
- Jul 6, 2022
- 616
- 1,143
Kurudi kucheza UEFA mkuu..kombe la klabu bingwa....nyie mme achieve nn mkuu kwny nafasi ya 12
Una miaka mingapi hujacheza UEFA?

Tuanzie hapo kwanza
Kurudi kucheza UEFA mkuu..kombe la klabu bingwa....nyie mme achieve nn mkuu kwny nafasi ya 12

Yaan umalize nafas ya 12 ujifananishe na Arsenal ambaye kamaliza nafas ya 2 ?Soma thread uelewe.
Nimesema ivi mna utofauti gani na Chelsea ambaye hajaachive kitu chochote msimu huu pamoja na ubovu wake?
Ninyi mlikuwa bora kuliko chelsea lakini pamoja na ubora wenu mmeachive nini?
Najua timu bora lazima imalize msimu na kombe au makombe nini vip?
Mkuu Hatuchekani kwa sasa cheka baada ya kupata kakikombe hata cha pombe tu![]()
Arsenal anawaza kupigania ubingwa msimu ujao , Chelkenge mnawaza kugombea kutoshuka darajaUna miaka mingapi hujacheza UEFA?
Tuanzie hapo kwanza
Yaan umalize nafas ya 12 ujifananishe na Arsenal ambaye kamaliza nafas ya 2 ?
Wewe unaenda kucheza UCL?
Msimu ujao bado hata top 7 huwez kuingia kwa timu uliyonayo
Mwaka Jana mliposema mnaenda kugombea ubingwa kwa kusajili kwa £650m wachache tuliwakatalia na mlikuwa na kikos kizuri kuliko kituko mlicho nacho Sasa
Nikikwambia panga First eleven yako hapa ,na Mimi napanga ya. Astonvilla ,had makocha ,msimu huu msipogombea kushuka daraja itakuwa surprise
Yaan ww ugombee kushuka daraja unajifananisha na Arsenal ambaye hata usajili unaakis anaenda kufanya NiniMkuu mwaka jana una utofauti gani na chelsea?
Pamoja na ubora wako lakini ukatoka kapa bila hata kombe la embe. Niambie umeachieve nini msimu huu ulioisha?
Tunazungumzia Arsenal ambayo Sasa ipo Uefa jombaa ,Chelkenge hata conference nafasi ya 7 hayupoUna misimu mingapi hujacheza UEFA?
Kumaliza ligi nafasi ya pili ndiyo Achievement yako msimu huu?
Achievement haipimwi kwa nafasi.
Lete makombe uliyopata msimu huu acha longo longo na kujificha kwenye nafasi
Arsenal anawaza kupigania ubingwa msimu ujao , Chelkenge mnawaza kugombea kutoshuka daraja
Naomba ulete first eleven yako ambayo unaona hata nafasi ya 10 itatoboaUna misimu mingapi hujacheza UEFA?
Kumaliza ligi nafasi ya pili ndiyo Achievement yako msimu huu?
Achievement haipimwi kwa nafasi.
Lete makombe uliyopata msimu huu acha longo longo na kujificha kwenye nafasi
Tunazungumzia Arsenal ambayo Sasa ipo Uefa jombaa ,Chelkenge hata conference nafasi ya 7 hayupo


Rudini timu zenu , Kama unabisha leta kikos unachotarajia kuja nacho EPL , ,Haitakaa ikatokea. Hii imetokea kwa chelsea kwasababu ya kubadilisha uongozi.
Lakini wewe pamoja na uimara wako umepata kikombe sufuri huna tofauti na mwanafuzi aliyepata division zero


Naomba ulete first eleven yako ambayo unaona hata nafasi ya 10 itatoboaAny wey tufanye umeachievu kurudi Kucheza UEFA baada ya miaka kumi kusota nje ya UEFA siyo![]()
Naomba ulete first eleven yako ambayo unaona hata nafasi ya 10 itatoboa
Ww umesema achievement mm nimekujibu kurudi UEFA maana tangu 2016 kwli hatukuwepo...Sasa ww na ww nambie achievement yako ni ipi...mi naona kwa upande wako ni kumsajili Mudryk na Enzo kwa mahela mengi...hyo ndo achievement kwenu...kwa sababu kwa mwaka jana inaonekana hata Fulham alikuwa Bora kuliko nyny mkuuSoma thread uelewe.
Nimesema ivi mna utofauti gani na Chelsea ambaye hajaachive kitu chochote msimu huu pamoja na ubovu wake?
Ninyi mlikuwa bora kuliko chelsea lakini pamoja na ubora wenu mmeachive nini?
Najua timu bora lazima imalize msimu na kombe au makombe nini vip?
Mkuu Hatuchekani kwa sasa cheka baada ya kupata kakikombe hata cha pombe tu![]()
Martinel anakula mbao bila tabu kabisa, kwa sasa huwezi nielewa ila naomba nitunze hii comment yangu kwa siku zijazo. Mudryk ana uwezo mkubwa ni vile hakupata kocha mwenye akili. Kati y wachezaji ambao chelsea hawajapgwa, basi ni Mudryk.Nikiweka ushabiki pembeni Kwa Enzo ni kweli najua atapata namba
hebu tufanye wewe uache ushabiki maandazi pembeni utamuweka nani benchi ili mudryk acheze
Na kama hutojali, kama utapata wa kumweka benchi utoe sababu kwanini amekaa bechi na Mudryk acheze![]()
Yle mfukuza upepo ndo umfananishe na Martineli....kuwa serious kidogo mkuu...Ligi inaanza mwezi ujao tutaona stats zao tena...Martinel anakula mbao bila tabu kabisa, kwa sasa huwezi nielewa ila naomba nitunze hii comment yangu kwa siku zijazo. Mudryk ana uwezo mkubwa ni vile hakupata kocha mwenye akili. Kati y wachezaji ambao chelsea hawajapgwa, basi ni Mudryk.
Mimi nasema nyie Ni middle table team Kama forest ,Kama unabisha weka kikos unachotarajia kuanza nacho EPLAny wey tufanye umeachievu kurudi Kucheza UEFA baada ya miaka kumi kusota nje ya UEFA siyo![]()
Nafas ya 12 hii si middle table teamHatuongelei first 11 tunaongelea achivement ya klub. Mbona unaruka ruka mkuu.
Ww umesema achievement mm nimekujibu kurudi UEFA maana tangu 2016 kwli hatukuwepo...Sasa ww na ww nambie achievement yako ni ipi...mi naona kwa upande wako ni kumsajili Mudryk na Enzo kwa mahela mengi...hyo ndo achievement kwenu...kwa sababu kwa mwaka jana inaonekana hata Fulham alikuwa Bora kuliko nyny mkuu
. Ful stopFrom now on Arsenal ni lazima ibebe any bigSoma thread uelewe.
Nimesema ivi mna utofauti gani na Chelsea ambaye hajaachive kitu chochote msimu huu pamoja na ubovu wake?
Ninyi mlikuwa bora kuliko chelsea lakini pamoja na ubora wenu mmeachive nini?
Najua timu bora lazima imalize msimu na kombe au makombe nini vip?
Mkuu Hatuchekani kwa sasa cheka baada ya kupata kakikombe hata cha pombe tu![]()
trophy iwe EPL or champions
league miaka zaidi ya 20 bila big
trophies ukiachana na FA na community shield ni ujuha tumezoea kucheza sexy football
️ ila achievements ni za oldies last season tumepoteza nafasi kwa uzembe wa baadhi ya players na maamuzi ya coach kwenye substitution (refer goal la kusawazisha la Liverpool kaja kufanya sub mwishoni wakati dalili ilishaonyesha kuna kitu kitatokea)kwa sasa hizi zinazoendelea ni porojo fans tunataka makombe makubwa (Chelsea Liverpool Manchester United wana champions league, Super cup, fifa World cups,ueropa league hata Manchester City anaenda kubeba hizo super cups why not us ambao team imeanzishwa more than 100 years hatuna hivyo vikombe)yes tunaipenda Sana Arsenal sana but makombe nayo yanahitajika EPL miaka 20 imepita but champions league trophy
pia tunalihitaji COYGNafas ya 12 hii si middle table team




sikujua ngoja nistop hii mada. Wote humu mlipotea baada ya kutoa drow na liverpol alafu leo naanza kubishan na ninyi aisee