Kagoma kutoa £100m
Anaogopa kupigwa

Ujue Brighton matapeli Sana, mchezaji kawika msimu mmoja wanasema watamuuza Bei sawa na Rice ambaye ana msimu wa 3 Sasa anafanya kitu kile kile
Kuliwahi kuwa na debate humu ya Yves Bissouma aliwaka Sana Kama Caicedo , wengi walimlaumu Sana Arteta kwanini hataki kumsajili ilihali mchezaji kaonesha kabisa anataka kuja Arsenal ,
Mwisho alienda Spurs kufika pale hata benchi alikosa namba ,na sasa kasahaulika kwenye ulimwengu wa ma DM,
Lakini ilikuwa kila takwimu humkosi Yves Bissouma
Tajiri miluzi baada ya kupigwa za uso kwa mudrky na akamsajili Enzo kwa £107m akatoka nafasi ya 10-12 , amekuwa mjanja
Chelsea are refusing to meet Brighton’s demand of £100m for Moisés Caicedo. They do not want to pay over £80m and are wary of getting burned in negotiations.
[@JacobSteinberg] -Tier 1