Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

William Saliba today signed new 4yr contract at Arsenal. 22yo defender was into final 12mnths of previous deal + fresh terms secure him until 2027 - no option to extend. Worth ~£10m per year, no release clause. Announcement on Friday @TheAthleticFC #AFC
 
Kagoma kutoa £100m

Anaogopa kupigwa

Ujue Brighton matapeli Sana, mchezaji kawika msimu mmoja wanasema watamuuza Bei sawa na Rice ambaye ana msimu wa 3 Sasa anafanya kitu kile kile

Kuliwahi kuwa na debate humu ya Yves Bissouma aliwaka Sana Kama Caicedo , wengi walimlaumu Sana Arteta kwanini hataki kumsajili ilihali mchezaji kaonesha kabisa anataka kuja Arsenal ,

Mwisho alienda Spurs kufika pale hata benchi alikosa namba ,na sasa kasahaulika kwenye ulimwengu wa ma DM,

Lakini ilikuwa kila takwimu humkosi Yves Bissouma

Tajiri miluzi baada ya kupigwa za uso kwa mudrky na akamsajili Enzo kwa £107m akatoka nafasi ya 10-12 , amekuwa mjanja

Chelsea are refusing to meet Brighton’s demand of £100m for Moisés Caicedo. They do not want to pay over £80m and are wary of getting burned in negotiations.

[@JacobSteinberg] -Tier 1
Kwa hiyo kw akili yako timamu Enzo na Mudryk unaona miluzi amepgwa?

Hao wakija kwenye hako katimu ka mchongo hakuna wa kuwaeka bench.

Nyie Arse88 na Newcastle hat kwnye top 3 siwaoni, tupo hapa.

#Arse88 mkimaliza juu y chelsea niitwe mwajuma.
 
Kwa hiyo kw akili yako timamu Enzo na Mudryk unaona miluzi amepgwa?

Hao wakija kwenye hako katimu ka mchongo hakuna wa kuwaeka bench.

Nyie Arse88 na Newcastle hat kwnye top 3 siwaoni, tupo hapa.

#Arse88 mkimaliza juu y chelsea niitwe mwajuma.
Mkuu Hatutakuita mwajuma, hii michezo ya watoto wa kiume kujitangaza mabinti labda mkafanye Kule Kule ukengeni chelshit fc

1. Arsenal NDOO
2. City
3. Newcastle
4.

.

.11 kenge fc
 
Jurrien Timber akielekea Wembley kuangalia mech ya manjesta vs city ambayo alialikwa na 7+3hag

Maafisa wa Arsenal siku hiyo hiyo baada ya mechi walimuiba na kumpeleka ofisini kwa Arteta, baada ya hapo hakutaka Tena kusikia habari za manjesta ,

Leo yupo London kafanyiwa vipimo kujiunga na Arsenal

Atajiunga na timu kuelekea marekani anatarajiwa kuwepo kwenye kikosi kitakachocheza dhidi ya manjesta ,July 22View attachment 2680531
Manyumbu walikuwa wanawaza nini hadi wamwalike uwanjani? Kwanini wasingemaliza dili mapema kama walikuwa na ukaribu na mchezaji?
 
Kwa hiyo kw akili yako timamu Enzo na Mudryk unaona miluzi amepgwa?

Hao wakija kwenye hako katimu ka mchongo hakuna wa kuwaeka bench.

Nyie Arse88 na Newcastle hat kwnye top 3 siwaoni, tupo hapa.

#Arse88 mkimaliza juu y chelsea niitwe mwajuma.
Simple tu ,huhitaji kutumia akili nyingi ,

Trossard ambaye Ni Bora kuliko huyo mudrky ambaye Hana hata Goli la offside Arsenal anasubiri , vipi huyo muddy hata bench hakai, hapo mmepigwa kweupe

Mlisajili Enzo mkiwa nafasi ya 10 ,akawashusha had ya 12

Msimu huu ndio kwanza mnasajili wandengereko kina Jackson ,had Sasa Astonvilla ana strong team kuliko chelkenge ,

Bado Golin mna kepa pazia
 
Simple tu ,huhitaji kutumia akili nyingi ,

Trossard ambaye Ni Bora kuliko huyo mudrky ambaye Hana hata Goli la offside Arsenal anasubiri , vipi huyo muddy hata bench hakai, hapo mmepigwa kweupe

Mlisajili Enzo mkiwa nafasi ya 10 ,akawashusha had ya 12

Msimu huu ndio kwanza mnasajili wandengereko kina Jackson ,had Sasa Astonvilla ana strong team kuliko chelkenge ,

Bado Golin mna kepa pazia
sorry bro ivi hamis77=aroonarsenal
 
Miaka 20 sasa hamna EPL
Jiandaeni kuishi maisha tuliyoyaishi wana LFC, Sema ninyi mtatoboa 80 Kabisa bila LIGI.
Tunajua Arsenal inavyoimarika lazima insulin ipande ,mwaka Jana mlisema hata top 4 hatuingii , mwisho mkabadili kauli,

Kuna mwenzako alikuja humu anasheherekea Arsenal kumkosa Rice ,

Tukamuacha,na amepotea

Msimu Jana Top 4 na title contender mlijiweka ,mwisho mkaanza kufight Europa league
 
Arsenal watamuuza Partey iwapo ofa ya £40-45m itakuja na si vinginevyo

Timu za Saudia zipo tayari kulipa hiyo hela ,ila Partey hataki kwenda huko , Juventus wanaomuhitaji inawabidi walipe pesa ya kushawishi otherwise Partey hatauzwa ,Kama Partey ataondoka Arsenal wanamuona Romeo Lavia na Aurelian Tchoumen Kama wabadala sahihi

Madrid wanahitaji kumsajili Mbappe lakin wanahitajika kuuza mchezaji mmoja kwa €80-90m ili wapate pesa ya kumsajili Mbappe

Tchoumen na Fede Valvede itawalazimu mmoja wao wamuuze

Parteys camp have told Saudi clubs that the player currently does not favor a move there. Initials talks with Juventus but Arsenal would want significant fee based on how much they signed the player for

(@jamesbenge )
 
Arsenal watamuuza Partey iwapo ofa ya £40-45m itakuja na si vinginevyo

Timu za Saudia zipo tayari kulipa hiyo hela ,ila Partey hataki kwenda huko , Juventus wanaomuhitaji inawabidi walipe pesa ya kushawishi otherwise Partey hatauzwa ,Kama Partey ataondoka Arsenal wanamuona Romeo Lavia na Aurelian Tchoumen Kama wabadala sahihi

Madrid wanahitaji kumsajili Mbappe lakin wanahitajika kuuza mchezaji mmoja kwa €80-90m ili wapate pesa ya kumsajili Mbappe

Tchoumen na Fede Valvede itawalazimu mmoja wao wamuuze

Parteys camp have told Saudi clubs that the player currently does not favor a move there. Initials talks with Juventus but Arsenal would want significant fee based on how much they signed the player for

(@jamesbenge )
Partey ana miaka 30 Sasa na rekodi ya majeruhi yake akijitahidi sana ana miaka 4 mpk 5 amebakiza kwny gemu...akubali akachukue oil money huko za kustaafia maana najua mshahara watampa mkubwa....timu anazotaka hzo za Italy hazina hela sasahv zimechoka....au kama Juve wako serious tufanye swap deal for players plus cash...tuwape Partey plus cash kidogo wao watupe Vlahovic....good business after all wachezaji wote hao wameonesha nia ya kutaka kupata challenge mpya
 
Tukimuuza Partey kwakua kuna Rice tutakua tumerudi hatua mbili nyuma.

Timber ana attacking intelligence kubwa kuliko ya kulinda now kwa upande anaocheza hii inamaanisha White, yeye na Tomi watakua wanagombea namba.

Kwakua White na Tomiyasu washaprove hii inamaanisha kuwadrop instant ni ngumu. Attacking intelligence ya Timber naona ndiyo anayo Tavares, alienda kwa mkopo France ili kumkomaza kaenda kukomaa kwenye attacking kuliko defense.

Average defending intelliegence ya full backs hua inazibwa na elite CBs, compact mid na style of play. Tavares alikua liability kwakua katika hivyo vitatu kwetu tulikua tunakosa viwili au kimoja kila mechi aliyocheza.

Kisha tuna Havertz. Average finisher, average vision more of a chance creator than a scorer waweza argue kwa kusema alifunga magoli mengi ujerumani ila pia alikosa mengi vile vile. Ana mikimbio mizuri ya kuwatoka mabeki ila finishing ni ishu. Hii nimesema tangu akiwa Chelsea haitabadilika leo.

Tukicheza kwa kuzingatia strength yake ni kwamba tutarajie awe anachambua mid, one two, pace ya kuwaona wenzake. Na hili linawezekana kwakua hivyo ndivyo tunavyocheza hapo Arsenal na tungebaki na Folarin ingekua ideal.

Trossard anatakiwa kuanza mara nyingi zaidi, kwa kikosi kilichopo sasa Arsenal tunaweza cheza formation nyingi na lisiwe tatizo.
 
Partey ana miaka 30 Sasa na rekodi ya majeruhi yake akijitahidi sana ana miaka 4 mpk 5 amebakiza kwny gemu...akubali akachukue oil money huko za kustaafia maana najua mshahara watampa mkubwa....timu anazotaka hzo za Italy hazina hela sasahv zimechoka....au kama Juve wako serious tufanye swap deal for players plus cash...tuwape Partey plus cash kidogo wao watupe Vlahovic....good business after all wachezaji wote hao wameonesha nia ya kutaka kupata challenge mpya
Sidhani kama Arsenal ina mpango na Vlahovic au Mudryk au Locatelli. Sijawahi ona Arsenal au liva imemtaka mchezaji halafu mchezaji akagoma ila baadaye akataka kuja wakamfuata tena. Hii ni kuepuka mchezaji kua na ego mfano halisi Mbappe
 
Ilikuwa mapema jioni September 2015 na Mzee Wenger alikuwa amesimama ktk moja ya viwanja vya mazoezi pale Arsenal akiangalia mechi ya vijana chini ya miaka 18 wakicheza na West Ham..

Baada ya mechi kuisha, akamgeukia mmoja wa wasaidizi wake kwenye benchi la ufundi na kumnyooshea kidole Declan Rice na kusema huyu ndio mchezaji Bora Uwanjani kipindi hicho Rice alikuwa anacheza beki wa Kati.
IMG_20230707_094757.jpg
 
Kwa hiyo kw akili yako timamu Enzo na Mudryk unaona miluzi amepgwa?

Hao wakija kwenye hako katimu ka mchongo hakuna wa kuwaeka bench.

Nyie Arse88 na Newcastle hat kwnye top 3 siwaoni, tupo hapa.

#Arse88 mkimaliza juu y chelsea niitwe mwajuma.

Nikiweka ushabiki pembeni Kwa Enzo ni kweli najua atapata namba

hebu tufanye wewe uache ushabiki maandazi pembeni utamuweka nani benchi ili mudryk acheze

Na kama hutojali, kama utapata wa kumweka benchi utoe sababu kwanini amekaa bechi na Mudryk acheze
 
Back
Top Bottom