Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hii ndio ilikua the one & only Europa final kwa Arsenyau.
Tunawashukuru sana Chelsea kwa kuchukua kombe kwenye hio fainali la sivyo mineno ingekua mingi sana humu.
Watu kwenye kabati lao wamejaza vibakuli tu vya mwanaFA lakini hivyo vichambo na tambo zao cha moto tunakiona.
Sasa kwenye hio fainali wangebahatika kupata hilo kombe si angetunyang'anya mpaka pumzi Kima hawa.
Asanteni sana The Blues kwa kutuheshimisha kwenye Europa final 2019.
 
|| Real Madrid will look to move on one of Valverde or Tchouaméni for circa €80-€100m (£68-85m). The club will then invest massively in Mbappé


[Via - @JIGOchoa].
 
Busy, huge Friday @ Arsenal

◉ New deal announcement for William Saliba.
◉ Medical tests for Jurrien Timber.
◉ Medical tests for Declan Rice.

Crucial step for present and future of the club after long, difficult negotiations.
IMG-20230707-WA0000.jpg
 
Tulipoteza mechi ya muhimu katika timu inayojielewa ila sio kwa WHU.

Puuzi kabisa timu mpaka mwezi wa nne linaongoza ligi halafu limekuja kuhanithiwa mwishoni tena kwa kupigwa comeback na WHU.
3-3 crystal palace


Nyie simmewahi kufika points 97 na hakumchukua EPL?

Klopp miaka 8 EPL 1



Crystal Palace 3-3 Liverpool

5 May 2014 — Liverpool squandered a three-goal lead in the final 11 minutes at Crystal Palace to see their Premier League title hopes
 
Arse8 ni sawa na yule mbwa wako unayedhani ni mkali sana, siku ukampeleka josho kumuogesha akakutana na mambwa ya polisi ghafla akaanza kuingiza mkia matakoni na kulala chini huku analia kwa uwoga.
Oya hivi mnaamini hata top 6 mtanusa kweli kwa sajili zenu za ovyo zinazoendelea?


Mimi nawashauri Rudi timu zenu za kabla ya mrusi, kwasasa chelkenge mtakuwa watu wanafasi zenu zile zile 6-12

Uhalisia unategemea yule Jackson akupe nin?
 
Nita kunya humu humu Jamii forum
Ushindwe kunya mwaka Jana mlijiweka top 4 ,mkajikuta nafas ya 12 ,Arsenal mliyesema haingii hata top 6 ,akagombea ubingwa

Kwasasa tunajua insulin lazima ziwapande ,mlisema hatuwez kumnunua Rice ,tumeshusha Tena over £100m+

Kwasasa ramli haziwasaidii ,jengen timu zenu ,sio ligi zikianza mnahamia kumshabikia city
 
Ushindwe kunya mwaka Jana mlijiweka top 4 ,mkajikuta nafas ya 12 ,Arsenal mliyesema haingii hata top 6 ,akagombea ubingwa

Kwasasa tunajua insulin lazima ziwapande ,mlisema hatuwez kumnunua Rice ,tumeshusha Tena over £100m+

Kwasasa ramli haziwasaidii ,jengen timu zenu ,sio ligi zikianza mnahamia kumshabikia city

Mkuu mwaka jana una utofauti gani na chelsea?


Pamoja na ubora wako lakini ukatoka kapa bila hata kombe la embe. Niambie umeachieve nini msimu huu ulioisha?
 
Kurudi kucheza UEFA mkuu..kombe la klabu bingwa....nyie mme achieve nn mkuu kwny nafasi ya 12

Soma thread uelewe.

Nimesema ivi mna utofauti gani na Chelsea ambaye hajaachive kitu chochote msimu huu pamoja na ubovu wake?

Ninyi mlikuwa bora kuliko chelsea lakini pamoja na ubora wenu mmeachive nini?

Najua timu bora lazima imalize msimu na kombe au makombe nini vip?

Mkuu Hatuchekani kwa sasa cheka baada ya kupata kakikombe hata cha pombe tu
 
Back
Top Bottom