Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Saka amecheza vzuri sana msimu huu tu...huko nyuma alikuwa hvyo tu na yy...kwhyo hyo sio sababu... perform then udai payrise sio kuleta ujanjaujanja hlfu uwanjani mtupu...haisaidii
Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni flop anaelipwa pesa ndefu.
 
Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni failure anaelipwa pesa ndefu.

Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni failure anaelipwa pesa ndefu.
Unaweza ukawa mzuri sana ila timu ikashindwa kukutumia...Sasa Arteta ameona wpi atafaa....mi nadhani hzi ngenga tungesubiri ligi ianze then tuone kwny timu yake mpya atakuwaje...Man U mmechukua Sancho mkampa mahela mengi mwshowe mnaua kipaji chake...Chelsea walikuwa na Salah wakauza sasahv tunajua anachofanya Liver...walikuwa na De Bruyne akaonekana flop...leo hii tunajua anachokifanya huko Man City...kwhyo mda utatupa majibu tu....tusubiri
 
Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni flop anaelipwa pesa ndefu.
Akiflop si ndio mfurahi Sasa!... Yaani mshahara atoe Arsenal halafu nyumbu ndio mnasikitika!.. kama tumepigwa si ndio mfurahi?.... Na mkileta fyokofyoko tunabeba Sancho!.. Nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao!.. mwaka I lazina muwe huko kwenye relegation zone!
 
Akiflop si ndio mfurahi Sasa!... Yaani mshahara atoe Arsenal halafu nyumbu ndio mnasikitika!.. kama tumepigwa si ndio mfurahi?.... Na mkileta fyokofyoko tunabeba Sancho!.. Nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao!.. mwaka I lazina muwe huko kwenye relegation zone!
Asenyo ni kama nyoka la kibisa tu, hata mkipewa kikosi kizima cha Mancity mtakua na uwezo wa kuongoza ligi kwa siku 258 halafu baada ya hapo mnatupa taulo chini na kuanza kuchuchumaa mpaka ligi inaisha.
Hawa hapa chini ni wajanja walishtukia mapema wakaamua kujiongeza, la sivyo wangestaafu bila ya kugusa kombe la Epl.
1688228358680.jpg
Screenshot_20220930_135207.jpg
 
Flano mmefilisika

Cash-strapped United don’t have the money to deliver all of their Ten Hag’s summer targets. @MullockSMirror
 
Flano mmefilisika

Cash-strapped United don’t have the money to deliver all of their Ten Hag’s summer targets. @MullockSMirror
Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo.
1687764405802.jpg
 
Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Unaweza kuwa valuable lakini ukawa na mideni kwlikwli...mpk dirisha likifungwa tutajua hela ya usajili imetoka ngapi na kile kikundi chenu cha mazoezi
 
Hili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.

Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa
Majukwaa yote yameamia humu kuna jukwaa la timu fulani, nilipita baada ya wiki nakuta comment 2 tu, kwaiyo lazima watu wa kila majukwaa waamie umu usajili,uchambuzi wa kimbinu na uchambuzi wa maeneo muhimu yanayoitajika kwenye usajili unaupata umu.
 
Asenyo ni kama nyoka la kibisa tu, hata mkipewa kikosi kizima cha Mancity mtakua na uwezo wa kuongoza ligi kwa siku 258 halafu baada ya hapo mnatupa taulo chini na kuanza kuchuchumaa mpaka ligi inaisha.
Hawa hapa chini ni wajanja walishtukia mapema wakaamua kujiongeza, la sivyo wangestaafu bila ya kugusa kombe la Epl. View attachment 2675328View attachment 2675330
Hii Arsenal ya mwaka huu itawaua Kwa pressure aiseee!
 
24 mins ago / autty

Arsenal, Liverpool, Newcastle United and Man United are all said to be interested in signing Sporting CP defender Goncalo Inacio during the summer transfer window

[https://img]

Sporting CP defender Goncalo Inacio is the latest player to be linked with a move to Arsenal during the summer transfer window.
 
Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Bajeti haitoshi huku

Msipoita maji mma Safari hii


The £60m deal #mufc have agreed to pay Chelsea for midfielder Mason Mount will account for half of the club’s £120m transfer budget. [@MullockSMirror]
 
Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Oya chagua Moja Asajiliwe kipa mpya lakin forward aje Vicent ABOUBAKARI au Asajiliwe Forward mwenye angalau lakini kipa awe Degea


Timu ishafilisika hii


The prospect of signing a goalscorer is why one-on-one talks are planned with David de Gea once he returns to England. If United sign a goalscorer, the club may not be able to sign a new No.1.

[ @lauriewhitwell ] - Tier 1
 
Arsenal winger Reiss Nelson is linked with a move to Newcastle after his contract with the Gunners expired.
The 23-year-old recently turned down a contract offer from the Gunners, signaling a possible departure from the North London club.

Having risen through the ranks of the Arsenal academy, Nelson has struggled to secure regular playing time in the first team, unlike his peers Emile Smith Rowe and Bukayo Saka.
With Arsenal’s recent signings of Kai Havertz and Leandro Trossard, opportunities for Nelson to start games would become even scarcer, prompting his potential move.
ben white reiss nelson
Reiss Nelson to Newcastle?
According to Football Transfers, Newcastle have expressed keen interest in bringing the promising winger to St. James’ Park.
The Magpies have reportedly reached out to Nelson’s representatives, and the chance to reunite with former teammate Joe Willock could be a factor in persuading him to join.
He has scored 7 goals and assisted 7 others in 66 appearances for Arsenal in all competitions. If Newcastle manage to sign him, he will be a decent addition to the team who are looking to strengthen their squad ahead of the new campaign.
 
Oya chagua Moja Asajiliwe kipa mpya lakin forward aje Vicent ABOUBAKARI au Asajiliwe Forward mwenye angalau lakini kipa awe Degea


Timu ishafilisika hii


The prospect of signing a goalscorer is why one-on-one talks are planned with David de Gea once he returns to England. If United sign a goalscorer, the club may not be able to sign a new No.1.

[ @lauriewhitwell ] - Tier 1
Forward zetu sasa hivi tunachukua kwa mkopo tu, tunamrudisha Werghost kwao kisha tunamchukua Joao Felix kwa mkopo.
Hawa Glazers hawana adabu kabisa yaani wanasababisha mpk mashabiki wa Arsenyau leo hii wanatubeza kwa bajeti yetu finyu ya usajili kweli?
Subiri timu tumkabidhi mwarabu tuwang'oe kina Ordegard na Saka waje kwenye Theatre Of Dreams ili tuwafunge midomo vizuri.
1687248883330.jpg
 
Back
Top Bottom