Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Huyo Harvez msimu gani aliocheza vizuri huko alikotoka mpaka mkastahili kumlipa hio £330k ambayo ni rekodi mpya ya mshahara katika timu yenu.Saka amecheza vzuri sana msimu huu tu...huko nyuma alikuwa hvyo tu na yy...kwhyo hyo sio sababu... perform then udai payrise sio kuleta ujanjaujanja hlfu uwanjani mtupu...haisaidii
Hilo ni bomu kwenye dressing room ambalo linaweza kupelekea uwanjani wachezaji wakawa hawatoi assist makusudi ili asifunge aonekane ni flop anaelipwa pesa ndefu.
Kai Havertz has become Arsenal’s top earner on a reported £330,000 per-week. 

Reports
The prospect of signing a goalscorer is why one-on-one talks are planned with David de Gea once he returns to England. If United sign a goalscorer, the club may not be able to sign a new No.1.