Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man Utd ni timu ya pili kwa utajiri duniani, haiwezi kufilisika kirahisi kama unavyofikiria.
Shida ya Utd inamilikiwa na kuendeshwa na matajiri wa hovyohovyo. View attachment 2675342
Ndo tatizo la mashabiki wa NYUMBU FC, uelewa wao mdogo sana wa mambo mengine na sababu kubwa wengi wao walianza kushabikia team yao iliyokuwa inaongozwa Kwa kubebwa enzi zile za Feg

Tangu Mzee kuondoka na Mbeleko kushney basi wote saiz hatuchekani, mlikuwa mnajiulizisha sana inakuaje Arsenal anakaa miaka 10 bila EPL ila saiz naona tunaongea lugha moja, imebaki kuwa club ya historia

Anyway, we jamaa Kuwa most valuable team haina maana Una hela, kinachoangaliwa kwenye valuation ni assets, popularity, broadcasting rights, sporting potential, salary na stadium revenue nk

Na umuhimu wa valuation ni pale ambapo team itataka kuuzwa,kuingia mkataba na sponsor nk, kwahiyo kwenye valuation hawaangalii Una cash kiasi gani na wala hawataki kujua

Club inaweza ikafirisika kwa kupunguza income revenue kama ilivokuwa Barcelona ila inabakia kuwa Most valuable Team in the world Kwa sababu ya vitu kama hivo nilivotaja juu

Kwahiyo siku ingine we Nyumbu ukiambiwa mmefirisika tafadhari usije na hiyo list ya most valuable basi tafuta means ingine ya Kujitetea kuwa hamjafirisika

NB: sina maana kuwa Man utd imefirisika, bali naongelea maana ya Most valuable Team
 
Ndo tatizo la mashabiki wa NYUMBU FC, uelewa wao mdogo sana wa mambo mengine na sababu kubwa wengi wao walianza kushabikia team yao iliyokuwa inaongozwa Kwa kubebwa enzi zile za Feg

Tangu Mzee kuondoka na Mbeleko kushney basi wote saiz hatuchekani, mlikuwa mnajiulizisha sana inakuaje Arsenal anakaa miaka 10 bila EPL ila saiz naona tunaongea lugha moja, imebaki kuwa club ya historia

Anyway, we jamaa Kuwa most valuable team haina maana Una hela, kinachoangaliwa kwenye valuation ni assets, popularity, broadcasting rights, sporting potential na stadium revenue

Na umuhimu wa valuation ni pale ambapo team itataka kuuzwa,kuingia mkataba na sponsor nk, kwahiyo kwenye valuation hawaangalii Una cash kiasi gani na wala hawataki kujua

Club inaweza ikafirisika kwa kupunguza income revenue kama ilivokuwa Barcelona ila inabakia kuwa Most valuable Team in the world Kwa sababu ya vitu kama hivo nilivotaja juu

Kwahiyo siku ingine we Nyumbu ukiambiwa mmefirisika tafadhari usije na hiyo list ya most valuable basi tafuta means ingine ya Kujitetea kuwa hamjafirisika
Nionyeshe source yoyote hata ya magazeti ya udaku huko UK inayothibitisha kua Utd imefilisika?
Hivi unajua kwanza hata maana ya kufilisika we Kima?
Yaani umekaa zako juu ya mikorosho huko Mbande baada kuvimbiwa maembe asubuhi asubuhi halafu unaropokwa tu Manchester imefilisika.
Hivi ni mpuuzi gani atakaekubali kutoa pesa yake £5b kununua timu ambayo tayari imefilisika?
 
Forward zetu sasa hivi tunachukua kwa mkopo tu, tunamrudisha Werghost kwao kisha tunamchukua Joao Felix kwa mkopo.
Hawa Glazers hawana adabu kabisa yaani wanasababisha mpk mashabiki wa Arsenyau leo hii wanatubeza kwa bajeti yetu finyu ya usajili kweli?
Subiri timu tumkabidhi mwarabu tuwang'oe kina Ordegard na Saka waje kwenye Theatre Of Dreams ili tuwafunge midomo vizuri. View attachment 2675730

Naona tuwaombe mods waitoe ManU humu na ipelekwe kule makapuku au ule Uzi wa waliofilisika. Haipendezi kabisa kitimu kimaskini kuwepo huku kujadili mambo na matajiri kama sisi. Yaani mnapewa Mount Kwa bei ya jioni karibu na bure eti ndiyo nusu ya bajeti. Na Sasa mmeamua kumdhulumu mchezaji aliyewaweka premier league misimu kibao
 
Nionyeshe source yoyote hata ya magazeti ya udaku huko UK inayothibitisha kua Utd imefilisika?
Hivi unajua kwanza hata maana ya kufilisika we Kima?
Yaani umekaa zako juu ya mikorosho huko Mbande baada kuvimbiwa maembe asubuhi asubuhi halafu unaropokwa tu Manchester imefilisika.
Hivi ni mpuuzi gani atakaekubali kutoa pesa yake £5b kununua timu ambayo tayari imefilisika?
bado nalia na uelewa wa mashabiki wa UNYUMBUNI, pamoja na clarification kuhusu Valuation bado unakuja kunivagaa kama Nyumbu wafanyavyo huko Mbugani

Hebu kamuulize hayo maswali aliesema Man u kafirisika, kuna sehemu me nimekwambia kuwa mmefirisika au me nilikuwa most valuable team

Nilikuwa natolea ufafanuzi au maana ya most valuable team, ndomana nikasema siku ingine ukiambiwa mmefirisika tafadhari usije na hiyo habari ya most valuable team Kwa sababu havina uhusiano

Kwahiyo kuhusu kama mmefirisika au hamjafirisika hiyo issue kaendeleeni kuiadress na Hamiss

ila mwanangu umenichekesha kisenge , ujue kweli saizi nipo Mbande hapa kuna issue napiga, kwahiyo unamaanisha watu wa Mbande wanakula maembe asubui asubui
 
Albert Sambi Lokonga closes in on Burnley move.

A loan may be the eventual solution.

(@reluctantnicko - Tier1)
 
Forward zetu sasa hivi tunachukua kwa mkopo tu, tunamrudisha Werghost kwao kisha tunamchukua Joao Felix kwa mkopo.
Hawa Glazers hawana adabu kabisa yaani wanasababisha mpk mashabiki wa Arsenyau leo hii wanatubeza kwa bajeti yetu finyu ya usajili kweli?
Subiri timu tumkabidhi mwarabu tuwang'oe kina Ordegard na Saka waje kwenye Theatre Of Dreams ili tuwafunge midomo vizuri. View attachment 2675730
Labda mnunue viatu vyao ndo mnaweza bei yake sio hao kenge nyie....rekebisheni hata baadhi ya sehemu za uwanja maana tunasikia mvua ikinyesha tu panavuja kwlikwli
 
. @FabrizioRomano on Instagram (latest post) -

Arsenal expect Jurrien Timber deal to be done and sealed next week — talks are at final stages!

◉ Arsenal & Ajax are close to reaching agreement on all final details of deal after se ons bid one week ago.

◉ Final fee around €45/48m — waiting on payment terms and add-ons to be fixed then… here we go.

◉ Timber only wants Arsenal, he’s really excited about the long-term project as he agreed terms 10 days ago.
 
Arsenal set to seal new Saliba contract and re sign Nelson on a 4 year deal as well this week.

(@DanKing_1974)

thesun.co.uk/sport/22894792…
 
Xhaka anaweza kubaki ?


|| Xhaka’s move to Leverkusen has stalled, although the Declan Rice signing progressing may change that.

But from Arsenal’s perspective, they have no specific “need” to sell Xhaka

[Via - @ArtdeRoche].
 
Declan Rice is set to earn between £300k and £350k per week at Arsenal, according to

@SPORTBILD
 
Tieleman ameenda astonvilla. Mchezaj ambae tulimtaka sana dirisha lililo pita then dirisha hili atukua na habar nae kabisa, sijui kwann ua inatokea hv
 
Tieleman ameenda astonvilla. Mchezaj ambae tulimtaka sana dirisha lililo pita then dirisha hili atukua na habar nae kabisa, sijui kwann ua inatokea hv
Kwa msimu Jana angetufaa ila kwasasa sio level tena ya kucheza Arsenal ,huo ndio ukweli, angalia kila mwaka tunapanda kwenye Swala la usajili

Msimu ujao Ni kugombea zile top quality
 
Back
Top Bottom