Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

@hamis77 wewe ni chama langu ila usitake kuwatisha majirani kwa namna hii bwana
Tunawatisha tu ,nasikia 2024 ndio tutajaribu
IMG_20230701_084434.jpg
 
According to @Transfersdotcom

Arsenal are eyeing PSG’s Kylian Mbappe and are contemplating putting together an offer for his representatives. Mbappe’s contract is up at the Parc des Princes next year, meaning that PSG must sell now or risk losing him on a free transfer in 2024
Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?
Naona kama Arteta na Edu wanacheza mchezo wawapanikishe Madrid, wamchukue Mbape, then watuuzie Tchuomen
 
Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?
Naona kama Arteta na Edu wanacheza mchezo wawapanikishe Madrid, wamchukue Mbape, then watuuzie Tchuomen
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.

Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
 
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.

Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
Na sisi wenyewe Arsenal fans hatumtaki
 
Hili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.

Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa
Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza Europa
 
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.

Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.
Yaani hawa mashabiki wa Arsenyau laiti timu yao ingebahatika kua hata na Europa Cup sijui hali ingekuaje humu.
 
Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.
Yaani hawa mashabiki wa Arsenyau laiti timu yao ingebahatika kua hata na Europa Cup sijui hali ingekuaje humu.
Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.

Kipind hiki cha usajil ndo wamerud hapa kuwatapeli tena wenzao kuwajaza matumaini kua ss wanaenda kua tishio baran ulaya
 
Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.

Kipind hiki cha usajil ndo wamerud hapa kuwatapeli tena wenzao kuwajaza matumaini kua ss wanaenda kua tishio baran ulaya
ila hamis77 banaaaa.
Kuna kipindi wadau humu wa Arsenyo walipanga kufanya maandamano kwenda mpaka ofisi za DPP ili kushinikiza hamis77 afunguliwe mashtaka ya uhaini kwa kosa la kuwahadaa kua msimu huu lazima wabebe kombe halafu matokeo yake akawakimbia na kuwatelekeza wafuasi wake.
 
ila hamis77 banaaaa.
Kuna kipindi wadau humu wa Arsenyo walipanga kufanya maandamano kwenda mpaka ofisi za DPP ili kushinikiza hamis77 afunguliwe mashtaka ya uhaini kwa kosa la kuwahadaa kua msimu huu lazima wabebe kombe halafu matokeo yake akawakimbia na kuwatelekeza wafuasi wake.
Huyu ni mtu wa ovyo sana alivo jikausha saivi kama sio yy kbs na Tetes zake za usajili
 
Back
Top Bottom