Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?[emoji599] According to @Transfersdotcom
Arsenal are eyeing PSG’s Kylian Mbappe and are contemplating putting together an offer for his representatives. Mbappe’s contract is up at the Parc des Princes next year, meaning that PSG must sell now or risk losing him on a free transfer in 2024
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?
Naona kama Arteta na Edu wanacheza mchezo wawapanikishe Madrid, wamchukue Mbape, then watuuzie Tchuomen
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dahMadrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
Na sisi wenyewe Arsenal fans hatumtakiMadrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza EuropaHili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.
Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa[emoji23]
Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza EuropaHili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.
Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa[emoji23]
Mm team yng ni yule aliyekunyima furaha msimu huu.Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza Europa
Uliye mQuote ndo treble winner mwnyw.Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza Europa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.
Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.
Yaani hawa mashabiki wa Arsenyau laiti timu yao ingebahatika kua hata na Europa Cup sijui hali ingekuaje humu.
Ila huu ni ujinga sana[emoji599] Kai Havertz has become Arsenal’s top earner on a reported £330,000 per-week. [emoji383]
(Source: @SPORTBILD_eng)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila hamis77 banaaaa.Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.
Kipind hiki cha usajil ndo wamerud hapa kuwatapeli tena wenzao kuwajaza matumaini kua ss wanaenda kua tishio baran ulaya [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni mtu wa ovyo sana alivo jikausha saivi kama sio yy kbs na Tetes zake za usajili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila hamis77 banaaaa.
Kuna kipindi wadau humu wa Arsenyo walipanga kufanya maandamano kwenda mpaka ofisi za DPP ili kushinikiza hamis77 afunguliwe mashtaka ya uhaini kwa kosa la kuwahadaa kua msimu huu lazima wabebe kombe halafu matokeo yake akawakimbia na kuwatelekeza wafuasi wake.
Hii timu si ina mashabiki wawiliUliye mQuote ndo treble winner mwnyw.
Ndo yule ambye kwa ss hauwez weka sentence moja na Arsenal maana yy ana Uefa Champions league ww hata Conference huna[emoji23]View attachment 2675232
Wewe shinda humu ,manjesta msimu ujao msipogombea kushuka daraja tupo hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila hamis77 banaaaa.
Kuna kipindi wadau humu wa Arsenyo walipanga kufanya maandamano kwenda mpaka ofisi za DPP ili kushinikiza hamis77 afunguliwe mashtaka ya uhaini kwa kosa la kuwahadaa kua msimu huu lazima wabebe kombe halafu matokeo yake akawakimbia na kuwatelekeza wafuasi wake.