hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,326
- 26,781
Tunawatisha tu ,nasikia 2024 ndio tutajaribu@hamis77 wewe ni chama langu ila usitake kuwatisha majirani kwa namna hii bwana![]()
Tunawatisha tu ,nasikia 2024 ndio tutajaribu@hamis77 wewe ni chama langu ila usitake kuwatisha majirani kwa namna hii bwana![]()
Sasa inakuwaje tena anaanza kuwapa watu wasiwasi au anaona amekua sasa
Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?According to @Transfersdotcom
Arsenal are eyeing PSG’s Kylian Mbappe and are contemplating putting together an offer for his representatives. Mbappe’s contract is up at the Parc des Princes next year, meaning that PSG must sell now or risk losing him on a free transfer in 2024
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.Huyu hatakuja kutuharibia dressing room yetu kweli?
Naona kama Arteta na Edu wanacheza mchezo wawapanikishe Madrid, wamchukue Mbape, then watuuzie Tchuomen
Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.









dahNa sisi wenyewe Arsenal fans hatumtakiMadrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.

Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza EuropaHili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.
Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa![]()
Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza EuropaHili jukwaa la Gunners saiv unavolikuta juu ya Thread kila mara kipind hiki cha usajili wanavopiga porojo humu na mbwembwe kibao.
Ngj ligi ianze uone watu wanavopoteana hapa![]()
Mm team yng ni yule aliyekunyima furaha msimu huu.Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza Europa


Uliye mQuote ndo treble winner mwnyw.Wewe ukute timu yako imemaliza ya 12 au inacheza Europa

Madrid wenyewe wanajua Mbape hawezi kuja kwenye hicho kikundi chenu cha vikoba.
Arteta mwenyewe hana uwezo wa kumfundisha mchezaji ana mpk world cup, wakati yeye mwenyewe kama kocha na mchezaji, ana manager of the month tu kwnye kabat lake.


Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu. Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.
Yaani hawa mashabiki wa Arsenyau laiti timu yao ingebahatika kua hata na Europa Cup sijui hali ingekuaje humu.


Ila huu ni ujinga sanaKai Havertz has become Arsenal’s top earner on a reported £330,000 per-week.
(Source: @SPORTBILD_eng)
Hawa kina hamis77 ni matapeli kama matapeli wengne wkt team inapitia kipind kigum walikimbia mbio nyng snaa.
Kipind hiki cha usajil ndo wamerud hapa kuwatapeli tena wenzao kuwajaza matumaini kua ss wanaenda kua tishio baran ulaya![]()


ila hamis77 banaaaa. 

Huyu ni mtu wa ovyo sana alivo jikausha saivi kama sio yy kbs na Tetes zake za usajili