Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ila hamis77 banaaaa.
Kuna kipindi wadau humu wa Arsenyo walipanga kufanya maandamano kwenda mpaka ofisi za DPP ili kushinikiza hamis77 afunguliwe mashtaka ya uhaini kwa kosa la kuwahadaa kua msimu huu lazima wabebe kombe halafu matokeo yake akawakimbia na kuwatelekeza wafuasi wake.
Wewe shinda humu ,manjesta msimu ujao msipogombea kushuka daraja tupo hapa

Huu msimu 7hag anaweza asifike x mass
 
Mkohoti umejua kuzitaabisha mbavu zangu.
Yaani hawa mashabiki wa Arsenyau laiti timu yao ingebahatika kua hata na Europa Cup sijui hali ingekuaje humu.
Mwendo wa spana tu kw hawa makondoo, timu gani haina hata kombe moja la ulaya halafu wapo tu wananenepeana na kufurahia sajili walizopgwa, ni dharau sana sana kuona shabiki wa Ars88 ana furaha.
 
️ | TRANSFERS: Rice no longer available on West Ham store.

: The Daily Mail’s (@DailyMailUK) Luke Power has confirmed that West Ham are no longer selling shirts with Declan Rice on the back amid his move to Arsenal.

Power: “West Ham have stopped selling Declan Rice shirts on their website, indicating that Arsenal are getting close to clinching their £105million man.”

The Gunners are close to sealing a club-record deal for Rice after beating Man City to his signature. #AFC #WHUFC #Transfers #Rice
 
Huyu ni mtu wa ovyo sana alivo jikausha saivi kama sio yy kbs na Tetes zake za usajili
ila hamis77 ni mtu peace sana.
Shida yake ni kuwashikilia akili tu misukule ya Arteta, huko mitaani mashabiki wa Arsenyau hua wanatuvimbia kwelikweli na tetesi zao uchwara za usajili, ukiwaulizia source ya hizo tetesi wanakwambia hamis77 amesema.
Yaani mashabiki wa Arsenyau wamemgeuza Hamisi kama vile Mange Kimambi.
 
ila hamis77 ni mtu peace sana.
Shida yake ni kuwashikilia akili tu misukule ya Arteta, huko mitaani mashabiki wa Arsenyau hua wanatuvimbia kwelikweli na tetesi zao uchwara za usajili, ukiwaulizia source ya hizo tetesi wanakwambia hamis77 amesema.
Yaani mashabiki wa Arsenyau wamemgeuza Hamisi kama vile Mange Kimambi.
Hapo unakosea Sasa mkuu...hzi tetesi za usajili yy hatungi...kwhyo yy sio reference yetu hmu ndani....anachokiweka hapa ni tetesi zinazoonekana huko kwa waandishi mbalimbali ambao wte tunawafatilia....
 
Nelson has spoken to Arteta and Edu, spoken about plans for role him next season, number of minutes he'll get . He's weighed up other options and decided he wants to continue at Arsenal. Arsenal are very very confident on Nelson extending

(@charles_watts on youtube)
 
Hapo unakosea Sasa mkuu...hzi tetesi za usajili yy hatungi...kwhyo yy sio reference yetu hmu ndani....anachokiweka hapa ni tetesi zinazoonekana huko kwa waandishi mbalimbali ambao wte tunawafatilia....
Huyo jamaa achana nae , anakuja humu kupata faraja maana manjesta haijulikani ina plan gan inasubiri miujiza
 
Tutakiwasha Sana next season yaan hatupoi Kuna siku niliwambia saivi Kuna mabadiliko makubwa Sana players hawauzwi ovyo
 
Dressing room inaenda kuparaganyika.
Kina Saka na Ordegard wanaenda kuanzisha mgomo baridi.
Saka mbona kasain juzi 250-300k per week , odegaard akisaini mkataba mpya atapanda had 250

Saliba kasain mkataba mpya 200k ,
 
Acha walipwe ,Kreonke siku hizi kalewa

Anamtaka na mbappe japo watu wanaona utani
Kroenke kalewa wapi?
Hapo anajihami kijanja tu baada ya kuona Glazers wanavyopigiwa kelele wauze timu kwa kushindwa kuiendesha vizuri.
 
Acha walipwe ,Kreonke siku hizi kalewa

Anamtaka na mbappe japo watu wanaona utani
wages mara nyingi ndio uwa zinagawa dressing room.. kwa mshahara uwo kama ni kweli.. mbelen uko inaweza leta shida kwa kina saka na martinelli hususan kama kai hasipo onesha kiwango!
 
Saka mbona kasain juzi 250-300k per week , odegaard akisaini mkataba mpya atapanda had 250

Saliba kasain mkataba mpya 200k ,
Sasa hizo £250k watakazopata hao wazawa tena mchango wao unaonekana ni mkubwa kwelikweli katika kuipigania timu ni sawa na hizo £330 atakazopewa mgeni ambae hana mchango wowote hata kwenye hio timu aliyotoka?
 
wages mara nyingi ndio uwa zinagawa dressing room.. kwa mshahara uwo kama ni kweli.. mbelen uko inaweza leta shida kwa kina saka na martinelli hususan kama kai hasipo onesha kiwango!
Kikubwa a perform....maisha ya mpira ni mafupi sana....amesaini mkataba wa miaka 5 nadhani...by the time mkataba unaisha atakuwa ana 29...jua litakuwa linazama...kwhyo hyo ndo hela ambayo inaweza kuwa kubwa kwake na ya mwsho kumalizia mpira wake...maana ukishafika miaka 30 kwny mpira unaanza kuonekana mzee....Saka na Martineli wte wanalipwa almost 200k/week...Odegaard naye atasaini mkataba mpya lazima alipwe hela nyng....hakuna namna mpira ndo ulipofikia huko sasahv....Manyumbu na Chelkenge ndo yamefanya michezaji itake hela nyng...leo hii Caicedo analipwa 60k/week pale Brighton ila Chelsea ataenda kulipwa si chini ya 200k/week....payrise ya ajabu kabisa...ila ndo hvyo hakuna namna
 
Sasa hizo £250k watakazopata hao wazawa tena mchango wao unaonekana ni mkubwa kwelikweli katika kuipigania timu ni sawa na hizo £330 atakazopewa mgeni ambae hana mchango wowote hata kwenye hio timu aliyotoka?
Saka amecheza vzuri sana msimu huu tu...huko nyuma alikuwa hvyo tu na yy...kwhyo hyo sio sababu... perform then udai payrise sio kuleta ujanjaujanja hlfu uwanjani mtupu...haisaidii
 
Back
Top Bottom