BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kama Nasri naye ataondoka basi msimu wetu ndio utakuwa umemalizika hata kabla ya msimu kuanza maana itakuwa ni midebwedo mitupu! Inasikitisha sana kuona timu iliyokuwa na nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa ikikimbiwa na Wachezaji wake wazuri kutokana na maamuzi mabaya katika usajili. Inaelekea msimu huu itakula kwetu.
Nina wasiwasi Arsene season hii akawa manager wa kwanza kuachishwa au kujiuzulu kazi....huo ni mwono wangu