Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi UCHOKOZI umeanza lini?

Naomba niku unfrnd JF rasmi, naona unagusa pasipogusika...unles azawiz naomba ufute kauli(picha) yako...lmao!

hhahhahhaaaaaaa, Manda umeona kumbe? haya basi...nitaiondoa Eqlypz nae akiiona.
Roll call inaendelea...

Nasri and Fabregas wako included kwenye kikosi cha champions league.sasa wanaotaka kununua kazi kwao.

Safi kabisa, tukose wote!
 
ryo miyaichi finally amepata work permit,so atakuwa eligible to play this season. <a href="http://www.arsenal.com/news/news-archive/miyaichi-granted-work-permit-to-play-for-club" target="_blank">Miyaichi granted work permit to play for Club | News Archive | News | Arsenal.com</a>
 
hivi habari za nasri ... kwenda city zimeshakuwa confirmed ..???????

Mkuu usisome sana habari za udaku Nasri haendi kokote. Mchezaji anayeweza kuondoka ni Cesc kama Barca watatoa dau la £40 million.

Usione media nzima hawasemi timu nyingine isipokuwa Arsenal kwa sababu wanajua mziki wa Arsenal ni mnene na mwaka huu watatoa chozi la damu..
 

Dahhh, nakweli bana! ...dahhh...
F_200609_september1_129882a.jpg
...Manda ataiona hii, atake asitake!
Hapo ilikuwa kazi kazi,hakuna kuremba.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sijaona busara ya babu kuwajumuisha Cesc na Nasri CL list wachezaji wanaoondoka.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Rumor has it kuwa Barca na Arsenal wamekubaliana kumuuza Fabregas for Euros 35m, could rise to 40m (bonuses, etc). Cesc taking pay cut. More to come.
 
Rumor has it kuwa Barca na Arsenal wamekubaliana kumuuza Fabregas for Euros 35m, could rise to 40m (bonuses, etc). Cesc taking pay cut. More to come.

Chacha kama wamekubaliana kumuuza Cesc nani mnunuzi hapo Manure? Arsenal wanahitaji kumuuza mchezaji wao lakini ni lazima wakubaliane na Barca! Patamu hapo.

Chema tu kwamba habari kutoka Nou Camp zinasema watalipa £25 million cash ili wamnunue Cesc waliomuuza kwa gunners kwa pesa ya peremende, Cesc atachukua mkataba wa miaka mitano na Barca then kila mwaka Barca watalipa 1 million euro kwa Gunners kwa kipindi hicho i.e. (5 million euro total ) kutoka kwenye mshahara wa Cesc. Plus add ons atakapokuwa ana-appear kwenye mechi za Barca takriban £5 million, lakini hizo figure zao bado hazifikii valuation ya Arsenal. Nou Camp wanataka deal imalizike this weekend ili aporonyoke kwenye CL.

Arsenal hawajasema kitu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sijaona busara ya babu kuwajumuisha Cesc na Nasri CL list wachezaji wanaoondoka.

Kwani hao ni wachezaji wa timu gani? Wanalipwa kila wiki bonge la mshiko na Gunners chacha wasipowekwa kwenye hiyo list wawekwe kwenye list ya timu gani?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kwani hao ni wachezaji wa timu gani? Wanalipwa kila wiki bonge la mshiko na Gunners chacha wasipowekwa kwenye hiyo list wawekwe kwenye list ya timu gani?
Ni wachezaji wa Arsenal lakini hii uncertanity inayowazunguka wachezaji hawa inamfanya kila shabiki wa Arsenal kutokuwa na raha,ingawa hatuwezi kuamini kila kinachoadikwa na magazeti lakini,mfano jioni ya leo habari kubwa ni Fabregas huenda mpaka Ijumaa uhamisho wake kwenda Barca ukawa umekamilika,na Nasri halikadhalika ripoti za karibuni zinasema kama Man City wakiweza kulipa 22 million pound kwa mkupuo mmoja
Arsenal wako tayari kumuachia,ingawa km nilivyosema awali sio kila kinachoandikwa kinatokea lakini haya yanaweza kutokea mfano Alex Oxlade-Chamberlain,habari zake zilitangulia kabla Arsenal.Sasa haya hawajamchukua rasmi Fabregas na Nasri yakitokea nadhani yatakuwa na athari mechi ya Udinese ingawa hata kama Nasri atakuwepo mechi ya kwanza hawezi kucheza.
 
Akili za bosi wenu AW anazijua yy mwenyewe...ni sawa na kumpangia kikosi SAF....

Yataka moyo sana kuwa ardent fan wa Arsnools...unles azawiz, ushabiki wa klabu sio kabila, ambalo huwez libadili...karibuni ngome Kongwe, khekheeeeee!

Sipati picha Balantanda ana khali gani na mazingaombwe haya ya AW..lmao..!

Yaani mkuu we acha tu.....Ndo maana nimeamua kujikalia kimya tu....

Ningepata bahati ya kukutana na AW nadhani ningeweza hata kumrushia ngumi kwa jinsi ninanvyomchukia....Anakera sana huyu babu...

Binafsi sitegemei mabadiliko msimu huu(kama AW hatasajili wachezaji,hasa mabeki wa maana).....Itakuwa same ol' story....

Inaumaaaa.....
 
Well said, ila missing on pertinent point:
Sound financial status haiwanufaishi millions ardent fans wa Arsenal fan ambao 98% ya mapato ya Arsenol wanayapata kupitia hao. Wht do they need back?, TROOPHIES period....!
Hizo sound financial statements zinawanufaisha very few shareholders wa Arsenal PLC ambao wakifunga mahesabu ndio wanapata faida.

Mnabahati u play tht sex footbal, kitu ambacho kinawafanya watu weengi wapende kuwaangalia..ila tht patience is getting thin and thinner, soon or later, watu watawachoka, hata ww utawachoka.
TUMECHOKA KUSINDIKIZWA bana kwenye troophies Marathon.

Mbu naye BP imshuke kidogo wajameni...

Nakubaliana nawe kabisa, kila season ianzapo, timu zote 20 huwa zina nia ya kuchukua hayo makombe, ila kwa AW kuvunja benki na wage structure, je ita guarantee sie kuleta kombe la Prem?
Sawa utasema nafasi ya kuchukua kombe itaongezeka kwa sie kununua hao wachezaji wa bei mbaya, lakini mkuu ukumbuke kuna regulations na legislations zinakuja kuwathibiti wanaomwaga mapesa kama wakina Manure, Chelski, Man City na Liverpool.
By the time io sheria inakuja, sie tutakua tushazoea kutengeneza wachezaji wetu na kuwafanya kuwa wazuri, kila timu ina design yake ya kukuza vipaji, Arsenal yako ndio io.
Mpira ni biashara siku hizi, zile hela za viingilio tu hazitoshi kwa AW kwenda kununua wachezaji wa paundi milioni 40 mpaka 50. Tukifanya hivyo na ndio tumehamia kiwanja kipya itakua balaa, theory ya AW ni kuwa timu zisitegemee ma sugar dad, je siku hawa ma sugar dad wakisema hawataki kui support timu yenu kwa sababu zao mbali mbali halafu wanawaacha na madeni huku mkiwa sawa mmeshinda makombe kadhaa, mtafanya nini? Ni kusota tu kwenye the Championship kama sio League One.
Tusiwe obsessed na kushinda vikombe, swala ni timu yetu i compete at the highest level while using our own resources.
Ingia mtandaoni uone financial statements za hao wanaomwaga hela uone walivyo kwenye red.
The bubble will bust, do want your beloved Arsenal to bust as well?
Penda timu sio kwa kushinda vikombe tu, bali kwa mpira wao, jinsi inavyoendeshwa na mwelekeo wake kwa miaka ijao, kama kweli unaipenda.
 
huyu Babu ana akili za mbali,
Ameangalia kuwa soko liko wazi ili aweze kuwatia bei Nasri na Cesc awaandikishe kwenye orodha watu watatia bei wenyewe hapo ndio pazuri kwani kila mmoja anaona Babu hataki kuuza lakini amepiga hesabu kuwa wako jikoni ili kuongeza bei anafanya kama hataki kuuza
 
Bye bye Fabregas, thanks for good memories. Good luck and all the best with your new team.

cesc8.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nina wasiwasi Arsene season hii akawa manager wa kwanza kuachishwa au kujiuzulu kazi....huo ni mwono wangu
 
Back
Top Bottom