Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu wa 24/25 naamin Arteta atapush kumpata Rafa Leao £100m + CF dogo wa Brighton £80m. tunasajili wachezaji ambao hata Madrid wanacheza, kwa sasa hata tukimuuzia project Jude Bellingham hawezi kataa, chama linasajili World Class players.
Kuwa serious basi, kwa hiyo rice ni world class player?? Unajua kwa nini city wamejitoa kumtaka. Wameona ni mchezaji wa kawaida halafu anauzwa bei, wameona kuna upgaji mwingi.

Unafikiri angekua world class man city wangeshindwa kutoa hata 150 kumpata. Nyie kondoo mnaenda kupgwa.
 
Baada ya Arsenal kuamua kuvunja kibubu Kwa Rice na Havertz Kuna watu wamepatwa na homa ya ghafla, wako kitandani wanauguza maumivu!.. yaani hawajacoment lolote!.. tungemkosa, aiseeee! Tusingekunywa maji!.... ACHENI KUJIFANYA NYIE NI THE GUNNERS KUMBE NI NYUMBU MBOBEZI!... Shabiki gani wa Arsenal hifurahii tunaposajiri sajiri za maana!...
 
Tabia za kupigana vijembe ni za kike wanaume hawana. Endelea tu kupiga vijembe wanaume wenzio Utashangaa unashikishwa ukuta au kuvikwa dera
 
| @FabrizioRomano:


“Let me say one thing about the secrets of the Declan Rice deal. We have to include once again not just the director, Edu, who has been pushing on this deal and has been trying to find the best strategy for a long time since January, but also Mikel Arteta.

“In the crucial hours when Manchester City submitted an official bid to sign Declan Rice, it was probably the most difficult and intense hours of the negotiations for Arsenal.

“Also, in that moment, Arteta was always very convinced of having Declan Rice as an Arsenal star. He's been pushing internally, but also on the player side. He's been explaining the project and talking about how the Arsenal project is perfect for Rice, his ambitious project is for the future and Declan can be a crucial player there.

“So Arteta has been very clear with all the players Arsenal are negotiating. It was the case with Kai Havertz, it's going to be the same with Jurrien Timber, but especially with Rice.

“Declan Rice and Arsenal is something that is going to happen also thanks to Edu and Arteta. Trust me, they did an incredible job in this story. So just waiting on the final bits of this story and then it's going to be ‘Here We Go’ for Declan Rice! [via YouTube] #afc
 
Kuwa serious basi, kwa hiyo rice ni world class player?? Unajua kwa nini city wamejitoa kumtaka. Wameona ni mchezaji wa kawaida halafu anauzwa bei, wameona kuna upgaji mwingi.

Unafikiri angekua world class man city wangeshindwa kutoa hata 150 kumpata. Nyie kondoo mnaenda kupgwa.
He rejected City.
 
| @FabrizioRomano:


“Let me say one thing about the secrets of the Declan Rice deal. We have to include once again not just the director, Edu, who has been pushing on this deal and has been trying to find the best strategy for a long time since January, but also Mikel Arteta.

“In the crucial hours when Manchester City submitted an official bid to sign Declan Rice, it was probably the most difficult and intense hours of the negotiations for Arsenal.

“Also, in that moment, Arteta was always very convinced of having Declan Rice as an Arsenal star. He's been pushing internally, but also on the player side. He's been explaining the project and talking about how the Arsenal project is perfect for Rice, his ambitious project is for the future and Declan can be a crucial player there.

“So Arteta has been very clear with all the players Arsenal are negotiating. It was the case with Kai Havertz, it's going to be the same with Jurrien Timber, but especially with Rice.

“Declan Rice and Arsenal is something that is going to happen also thanks to Edu and Arteta. Trust me, they did an incredible job in this story. So just waiting on the final bits of this story and then it's going to be ‘Here We Go’ for Declan Rice! [via YouTube] #afc
Kaja kujisafisha.

Yule Purple Panel Research kwa alichosema kwamba media zimetumika kupush Arsenal ifikie 100M na ukikumbuka lawama alizogewa na mashabiki wa Arsenal dirisha lililopita jamaa kaja kujisafisha
 
Baada ya Arsenal kuamua kuvunja kibubu Kwa Rice na Havertz Kuna watu wamepatwa na homa ya ghafla, wako kitandani wanauguza maumivu!.. yaani hawajacoment lolote!.. tungemkosa, aiseeee! Tusingekunywa maji!.... ACHENI KUJIFANYA NYIE NI THE GUNNERS KUMBE NI NYUMBU MBOBEZI!... Shabiki gani wa Arsenal hifurahii tunaposajiri sajiri za maana!...
Una vijembe? hela ya 105 M kwa Rice tumepigwa ila ukishakuwa ni mbritish tu utapambwa kwa sifa nyingi but na yeye ajiandae kwa kazi nzito uwanjani asipo perform atapata tabu sana kanunuliwa kwa hela nyingi so aje atupe raha wana Gunners!
 
Arsenal striker Folarin Balogun could leave the Emirates permanently this summer, journalist @RyanTaylorSport has suggested to GIVEMESPORT.

“You've probably seen his comments. He's adamant he's not going to leave on loan again, so that points towards a permanent sale. I think it's quite clear at this moment in time that he's not going to be ahead of Gabriel Jesus or Eddie Nketiah in the pecking order.” He said.
 
Balogun anacheza vizuri sana false nine. Hautalihisi pengo la Jesus.

Isipokua Nketiah ana finishing nzuri. Na mkikabwa ujue hakupi kitu cha ziada
 
One of the transfer sagas of this summer window could soon be over after it was revealed that Arsenal have been given permission by West Ham for Declan Rice to undergo a medical.
 
Kuna beki alafu kuna kisiki, my favorite
FB_IMG_16880219774265698.jpg
 
Darren Bent has suggested that he would love to see Thomas Partey alongside Declan Rice and Martin Odegaard in the Arsenal midfield next season.

“I want him to be in the number eight. So Odegaard, him, and then I don’t know what’s going to happen with Partey, but if not Partey, Jorginho. That’s the three, If Partey stayed, I’d like Partey, Declan and Odegaard.”(@talkSPORT via tbr)

Lazima tuwe na partey pale Kati mzee wa kazi chafu


Odegard
Rice
Kai
Partey

Saka
Martinel
Trossad
Rowe
Jesus
Nketiah


Zin
Saliba
Gabriel
White

Hii ndio ARSENAL ya NDOO sasa
 
White, Ramsdale, Saka, Gabriel, Xhaka and Ødegaard are always available for #Arsenal, and it's clear Arteta is targeting availability:

Havertz: 12 games missed through injury in seven years
Timber: Seven missed in three years
Rice: zero in six years

Fitness is key. #AFC
 
Back
Top Bottom