Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Me mwenyewe nawashangaa wanaomchukulia poa. Alipokuwa Brighton alikuwa anafunga magoli mengi kwenye tight spaces. Hii system ya center forward kuungana na viungo, sometimes inawakoseshaga sana magoli
Trossard mwishon kacheza na majeruhi ,kwahiyo wanamchukulia poa , Sasa hivi kafanyiwa surgery ndogo

Smith Rowe majeruhi yalimfanya asiwe fit ,baada ya surgery nae amerejea fit

Fabio Vieira pia injury zinamsumbua Sana , juz karudishwa na timu ya taifa U21 atibiwe , anahitaji muda mrefu atulie awe fit , sijawahi ku doubt Uwezo wake ,muda wake utafika tu
 


Arsenal have agreed deal with West Ham for the £105m signing of Declan Rice

(@JacobSteinberg )
 
ARSENAL WIN UEFA FOOTBALL AWARD

Hii tuzo ya kutambua mchango wetu katika kupinga baguzi mbali mbali na kufanya mpira wa miguu kuwa rafiki kwa wanadamu wote tutapewa kesho.

Tumeipata hii kwa kampeni yetu ya 'NO MORE RED' inayopinga violence, hasa uchomaji visu kwa vijana wa mitaani London ili kufanya viwanja vya michezo kuwa sehemu salama kwa vijana kutembelea na kufanya mazoezi.

Pia tumekuwa timu ya kwanza kuweka mkalimani wa lugha ya alama kwene mechi za Emirates ili wenye ulemavu wa kusikia nao waweze kuenjoy zaidi mbwembwe za Saka na Martinelli na wenzao

Hongera kwetu
Ongeren the Gunner ndo kombe lenu ilo
 
David Ornstein

Arsenal have agreed a fee with West Ham to sign Declan Rice. #AFC made £100m + £5m add-ons offer for 24yo England midfielder last night & that has been accepted. Record for British player. Clubs now working to resolve payment terms

@TheAthleticFC #WHUFC
 
David Ornstein

Arsenal have agreed a fee with West Ham to sign Declan Rice. #AFC made £100m + £5m add-ons offer for 24yo England midfielder last night & that has been accepted. Record for British player. Clubs now working to resolve payment terms

@TheAthleticFC #WHUFC
 
David Ornstein

Arsenal have agreed a fee with West Ham to sign Declan Rice. #AFC made £100m + £5m add-ons offer for 24yo England midfielder last night & that has been accepted. Record for British player. Clubs now working to resolve payment terms

@TheAthleticFC #WHUFC

Mpaka nione bbc/sport, otherwise bado ni porojo
 
Huyo jamaa huwa kama demu, kuna mwamba alimquote akamwambia natunza hii comment, haijapita hata wiki anaenda kuumbuka, ana force uhasimu wa liverpool na Arsenal, sisi hasimu wetu ni Man u na Spurs basi, nyie wengine msilazimishe hatuna uhasimu na timu zenu.
Hahahha umenikumbusha kaka

Nilimwambia ukiamka utakuta meza imepinduka ila alikataa kwa ujasiri mkubwa sana…
IMG_20230628_215825.jpg
 
Mpaka nione bbc/sport, otherwise bado ni porojo
BBC Kuna mwandishi mmoja pale namuamini , The Athletic, Telegraph huko ndio Kuna miamba wa habari za Ndani ,


The Athletic walimchukua David Ornstein kutoka BBC sport , toka hapo wengi wamebaki wababaishaji,


The Athletic na Telegraph hata The Guardian wote mule Tier 1,

Fabrizio nahisi kaondoka The Guardian na Sky sport anajitegemea
 
Msimu wa 24/25 naamin Arteta atapush kumpata Rafa Leao £100m + CF dogo wa Brighton £80m. tunasajili wachezaji ambao hata Madrid wanacheza, kwa sasa hata tukimuuzia project Jude Bellingham hawezi kataa, chama linasajili World Class players.
 
Back
Top Bottom