hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,685
Trossard mwishon kacheza na majeruhi ,kwahiyo wanamchukulia poa , Sasa hivi kafanyiwa surgery ndogoMe mwenyewe nawashangaa wanaomchukulia poa. Alipokuwa Brighton alikuwa anafunga magoli mengi kwenye tight spaces. Hii system ya center forward kuungana na viungo, sometimes inawakoseshaga sana magoli
Smith Rowe majeruhi yalimfanya asiwe fit ,baada ya surgery nae amerejea fit
Fabio Vieira pia injury zinamsumbua Sana , juz karudishwa na timu ya taifa U21 atibiwe , anahitaji muda mrefu atulie awe fit , sijawahi ku doubt Uwezo wake ,muda wake utafika tu


