Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,782
Hapo kwenye addons kuna tofautiHuu mtego
City kaweka package ile ile iliyokataliwa £90m
Hapo kwenye addons kuna tofautiHuu mtego
City kaweka package ile ile iliyokataliwa £90m
Ndo kitu Westham alichokuwa anakitakaHili dili lishaingia wanga sasa...![]()
I feel like tunamuach aende...Ndo kitu Westham alichokuwa anakitaka

Westham wajanja sana walitegemea hili tangu mwanzo wakawa wanasubiri tu City atume mzigo sasa hapo mchezaji mwenyewe ndio anamua wapi aendeI feel like tunamuach aende...![]()
Mkuu nadhani hukumuelewa. Nadhani Ameongelea valuable squad kwa maana ya thamani ya wachezaji waliomo na siyo valuable team Kwa maana ya timu kama brand Kwa ujumla.
Valuable squad akimaanisha wachezaji wakiwekwa sokoni , mfano Saka 150m, Martinelli 100m, Odegaard 120...nk, Kwa pamoja hiyo squad Ina thamani kiasi gani. Yaani thamani ya wachezaji wetu Kwa ujumla, ni ya pili baada ya City.


Kwa hio na wewe HENRY14 unataka kuamini kabisa kua Arsenal wachezaji wake wanathamani kubwa kuliko Buyern Munich na Chelsea. Unaongelea Most valuable squad halafu Title unaandika Most valuable Club?Mkuu nadhani hukumuelewa. Nadhani Ameongelea valuable squad kwa maana ya thamani ya wachezaji waliomo na siyo valuable team Kwa maana ya timu kama brand Kwa ujumla.
Valuable squad akimaanisha wachezaji wakiwekwa sokoni , mfano Saka 150m, Martinelli 100m, Odegaard 120...nk, Kwa pamoja hiyo squad Ina thamani kiasi gani. Yaani thamani ya wachezaji wetu Kwa ujumla, ni ya pili baada ya City.
Sijakurupuka na wala sikuongea kiushabiki.Aidha alikurupuka au kama kawaida kajibu kishabiki...ndo maana mengine unaangalia then unakausha maana mtabishana mpk kesho hapo
Sijakurupuka na wala sikuongea kiushabiki.
Kama alikua anaongelea Most valuable squad kwa nini Title iwe ni Most valuable Club?
Kwanza hata hio valuable Squad Arsenyau yuko nafasi ya 4 huko nyuma ya Chelsea na Buyern. View attachment 2669948View attachment 2669949
Kwa hio na wewe HENRY14 unataka kuamini kabisa kua Arsenal wachezaji wake wanathamani kubwa kuliko Buyern Munich na Chelsea.
Kisa Asaninyau ameshika nafasi ya pili kwenye ligi nyuma ya City basi na kwenye kila kitu mnaamua tu wenyewe kujiweka kwenye nafasi ya pili?
Daaahhh kweli nimeamini kushabikia Arsenyani lazima kwanza uwe msukule. View attachment 2669935
Tukimpata Rice, Lavia & Timber tuna asilimia 80% za kushinda ligi msimu ujao.
Sure, Lavia ni replacement ya Partey labda dogo ajifelishe mwenyewe kwenda Liverpool.Arsenal walishamalizana na Lavia wiki 2 zilizopita personal term
Wamemwambia atulie ,Arsenal akamilishe deals za Timber na Rice ,halafu wamuuze Partey
Wakala wake Lavia ndiye Huyo Huyo anayewasimamia Saka,Nketiah, balogun ,
City inabidi aondokewe na bernado ,mahrez ,Gundo tayari ili kupunguza makali ,hao jamaa wameamua mech nyingi SanaTukimpata Rice, Lavia & Timber tuna asilimia 80% za kushinda ligi msimu ujao.
Kaangalie list iliyo updated ,wewe jamaa mbishi sanaUnaongelea Most valuable squad halafu Title unaandika Most valuable Club?
Hebu kuweni Serious basi japo kidogo, msiwe mnapenda kujitoa ufahamu ili tu kufurahisha makondoo ya mchungaji Mackenzie. View attachment 2669943View attachment 2669944View attachment 2669945
Kuna Fofana pale Monaco.I feel like tunamuach aende...![]()
In case tutamkosaKuna Fofana pale Monaco.
A lot here will depend on the payment schedule & feasibility of add-ons.
But with City and Arsenal now going head to head, West Ham will feel they can probably achieve £100m, if not more.
Player’s preference, one imagines, will ultimately be decisive.
Nasikia alichoongeza Ni upfront tu ya £5mCity intend to effect payments in two installments whereas arsenal propose more than two within a lengthy period(5 years)
West Ham have turned down Man City offer for Declan Rice. #MCFC made formal proposal last night worth £80m + £10m add-ons. #WHUFC unimpressed & quickly rejected it. #Arsenal have seen 2 bids rebuffed but remain determined to sign 24yo @TheAthleticFC #AFCHiyo habari haitaji chanzo, wapiga porojo kwenye media ni wengi nazo ni vyanzoMimi naweka vyanzo ,wewe unaweka porojo ,ndio maana huwa sikujibu na niliacha maana naongea fact sio mawazo yangu
Nimeweka source kutoka vyanzo reliable ,
Kuna factors kibao tunaziona ,Rice kaahidiwa kuwa captain ,ana uhakika wa kucheza ,mshahara anaopewa city ndio huo huo Arsenal Wana uwezo wa kumpa
Kwan Kelvin Philips Nini kinataka kumkimbiza city ?
"
Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia. Inabidi watu wenye akili kubwa kama Arsenal fans wachambue waielewe ila ukiwa nyumbu huwezi elewa. Kwanza wote mmeleta graphics zinazosema source ni Transfermarkt lakini moja inasema Arsenal wa pili, ingine inasema tofauti.
Pia ni rahisi kufikiri kuwa huenda mchezaji Chelsea alinunuliwa Kwa thamani kubwa lakini akiwa hapo akashuka thamani hivyo akiwekwa sokoni hana thamani kubwa. Mfano Kepa wa kununuliwa 72m huko saivi nyie nyumbu mtanunua Kwa ngapi mkimtaka.?
Yule Antony mtoto wa uswazi na mpira wa mchangani mliemnunua 100 huko mkimweka sokoni hata 10 hampati. Bado kuna Sanchoka aliyechoka kweli kweli. 75m kumnunua . Hata 40 mtapata kwake? Halimagwaya 80 hakuna mtu atamchukua hata bure



Labda hao waliotengeneza hiyo graphic hawajui kiingereza pia"

hii picha kuna muhuni mmoja amei edit, kama sio mchungaji Mckenzie basi kuna msukule mwingine uliofanya hivyo na kwa vile njia ya muongo ni fupi ikajikuta tu imejichanganya kwenye kuandika title.