Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal walishamalizana na Lavia wiki 2 zilizopita personal term


Wamemwambia atulie ,Arsenal akamilishe deals za Timber na Rice ,halafu wamuuze Partey


Wakala wake Lavia ndiye Huyo Huyo anayewasimamia Saka,Nketiah, balogun ,
Relax Relax Relax Mkuu, Tuliaa.
 
SamJDean(Telegraph) - Tier 2 for Arsenal news

Arsenal are in advanced talks with Ajax over Timber, who can play right-back or centre-back, and are battling with Manchester City and Manchester United for Rice. Caicedo could yet become an option if Thomas Partey leaves.

(@SamJDean )

telegraph.co.uk/football/2023/…
 
Kai #Havertz & Arsenal, announcement probably this week. It‘s a DONE DEAL!

New Details:

Contract until 2028
Transfer fee: €75m with bonus payments included

Total agreement between the clubs
Last parts of the medical this week.

#Arteta, main driver!

@SkySportDE
 
The war has begun!

nothing is done until now.

3rd bid is on the way, our advantage is clear he wants us but don't forget he likes Man City.

We should convince West Ham with a good offer and move on!
 
HII WIKI ITAKUWA YA MOTO SANA


(@sistoney67 - T1 for Man United)

After all the noise around West Ham skipper Declan Rice last week, it has all gone rather quiet.

That suggests we are getting to the crucial phase of negotiations, which Arsenal hope will end in them signing the England midfielder.

West Ham want £100m.

(@sistoney67 - T1 for United)

bbc.com/sport/articles…
 
nyie Kima hebu kuweni Serious basi jamani.
Yaani kwa akili zenu mnadanganywa na mchungaji Mackenzie na mnaamini na kukubali kabisa kua Arsenyani inashika namba 2 katika Most Valuable club in the World 2023 kweli?
Yaani hata wewe computerarsenal ninae kukubali kua ni miongoni mwa mashabiki wachache wa Arsenal wanaojielewa unakua kama msukule yaani unapongeza kabisa bila hata kujiuliza kwa jambo lipi haswa linalowafanya Arsenyani mpaka muingie hata kwenye top5 tu ya Most Valuable club in the World? View attachment 2669175View attachment 2669176

Mkuu nadhani hukumuelewa. Nadhani Ameongelea valuable squad kwa maana ya thamani ya wachezaji waliomo na siyo valuable team Kwa maana ya timu kama brand Kwa ujumla.

Valuable squad akimaanisha wachezaji wakiwekwa sokoni , mfano Saka 150m, Martinelli 100m, Odegaard 120...nk, Kwa pamoja hiyo squad Ina thamani kiasi gani. Yaani thamani ya wachezaji wetu Kwa ujumla, ni ya pili baada ya City.
 
Mkuu nadhani hukumuelewa. Nadhani Ameongelea valuable squad kwa maana ya thamani ya wachezaji waliomo na siyo valuable team Kwa maana ya timu kama brand Kwa ujumla.

Valuable squad akimaanisha wachezaji wakiwekwa sokoni , mfano Saka 150m, Martinelli 100m, Odegaard 120...nk, Kwa pamoja hiyo squad Ina thamani kiasi gani. Yaani thamani ya wachezaji wetu Kwa ujumla, ni ya pili baada ya City.
Huyo jamaa anajitoaga ufahamu

Halafu hapo nimeweka na chanzo kabisa Ni Transfermarket.com
 
M
Arsenal walishamalizana na Lavia wiki 2 zilizopita personal term


Wamemwambia atulie ,Arsenal akamilishe deals za Timber na Rice ,halafu wamuuze Partey


Wakala wake Lavia ndiye Huyo Huyo anayewasimamia Saka,Nketiah, balogun ,

Mimi ningeshauri kama wanamuona anawafaa wamchukue tu wamuungize kikosini. Mambo ya kumsubirisha Kwa ajili ya Timber na Rice na kumuuza Tom wayaache.

Ndege mmoja mkononi anathamani ya wawili kichakani...
 
KUNA HUYU ANATOA MTAZAMO WA RICE ULIVYO HAD SASA


Anaitwa @PurplePanel

𝐖𝐡𝐚𝐭'𝐬 𝐡𝐚𝐩𝐩𝐞𝐧𝐢𝐧𝐠 𝐰𝐢𝐭𝐡 𝐑𝐢𝐜𝐞 Saga:

Wakati waandishi wote wa habari wakiwemo [@DiMarzio, @FabrizioRomano, @David_Ornstein] waliripoti kwamba Manchester City wako kwenye kinyang'anyiro na wanakaribia kumnasa Declan Rice, hakuna aliyekataa isipokuwa mimi @PurplePanel.

Ni wazi kwamba Declan hakuwahi kutaka timu yoyote isipokuwa Arsenal; kama ilivyoripotiwa na @PurplePanel wiki iliyopita.

Kwahiyo nini kinaendelea?

West Ham walijua hakuna klabu nyingi zinazoweza kumudu ada ya Rice

Kwa hivyo kwa mtazamo wa biashara, West Ham inaweza kufaidika vipi?

Ongeza bei ya Rice ndani ya muda mfupi.

Vipi?


Pata timu zinazoweza kulipa ada zionekane zinavutiwa na kuendesha vyombo vya habari kwa kuonyesha kwamba City inakaribia kumnasa.

David Sullivan Mwenyekiti na shareholder wa Westham amekuwa akiandaa huu mchezo, lakini Arsenal waliujua mapema.

Arsenal walicheza mchezo wa Sullivan,

Kuna sababu kwa nini ofa ya 3 bado haijatangazwa.

Watu walichagua kupanda treni ya vyombo vya habari na kuamini kile kilichoripotiwa.

Wakati katika hali halisi, hakukuwa na "biding war", na hakukuwa na mbio". Mbio haziwezi kuwa mbio ikiwa kuna klabu moja tu inayohusika.

Udanganyifu wa vyombo vya habari una mchango mkubwa katika masoko ya uhamisho, lakini tuhakikishe hatutakubali.

Baada ya yote, David Sullivan, mmiliki wa West Ham, ni tajiri wa vyombo vya habari ambaye alikuwa akimiliki Daily Sport na Sunday Star.

Jamaa anajua ushawishi wa vyombo vya habari. Huunda ushawishi wa media. Declan Rice hakuwahi kutaka timu nyingine yoyote isipokuwa The Gunners. Rice ni Gunner. Muda utafunua ukweli, na historia itajirudia


@PurplePanel
 
Arsenal value Balogun at 50m pounds. It is thought player wants a permanent depature from Arsenal

(@skysports_sheth via @TheAFCnewsroom )
 
| @SkySportsNews:

“Arsenal continue positive talks with West Ham over the signing of Declan Rice and are working behind the scenes on their next move. One source has told Sky Sports News that Rice’s preferred destination remains Arsenal. Personal terms are not expected to be a problem.

“Manchester City are interested – but have yet to make an official bid. West Ham are expecting an improved offer from Arsenal.” #afc
 
Mkuu nadhani hukumuelewa. Nadhani Ameongelea valuable squad kwa maana ya thamani ya wachezaji waliomo na siyo valuable team Kwa maana ya timu kama brand Kwa ujumla.

Valuable squad akimaanisha wachezaji wakiwekwa sokoni , mfano Saka 150m, Martinelli 100m, Odegaard 120...nk, Kwa pamoja hiyo squad Ina thamani kiasi gani. Yaani thamani ya wachezaji wetu Kwa ujumla, ni ya pili baada ya City.
Aidha alikurupuka au kama kawaida kajibu kishabiki...ndo maana mengine unaangalia then unakausha maana mtabishana mpk kesho hapo
 
Vyombo vya Habari vinawapumbaza watu kuwa Manchester City anataka kuminyana na Arsenal kupata signature ya Rice, ukweli ni hakuna vita ya usajili Kati ya Arsenal na City lakini kama kweli vile media zinasema basi City wanatakiwa kuweka Mzigo kama Arsenal..

Arsenal kaweka ofa 2 ya kwanza £80m ,ya 2 Ni £90m ya 3 ipo njiani

Wewe mancity ofa iko wapi
 
Jurriën Timber Arsenal.

What does Jakub Kiwior think about the upcoming transfer of the Dutchman?

Kiwior: “I'm glad. Let the best players play at Arsenal. Let's win trophies together.”

Interview by @Meczykipl
IMG_20230626_184836.jpg
 
Back
Top Bottom