MAONI YANGU KUHUSU KAI ATAKAVYOTUMIKA
Kwenye 4-3-3 yetu Ni eneo la Xhaka tu ndio limeshindwa kutupa 10+ goals
Ile system imetengenezwa RW na LW wachangie 10+ goals
LH side no.8 achangie 10+ goals
RH side no.8 achangie 10+ goals
Ni LH side kwa Xhaka ndipo palikosa goals 10+ , na kulionekana Kama pangepatikana mtu mnyumbulifu Basi angepiga 10+ goals
Kwa nionavyo kwa sifa za Kai maana anaonesha Ni mchezaji aliyefanya runs nyingi EPL , means anashambulia box
Tusubiri kumuona pia kwenye double 8/10 yeye na Odegaard chini ya DM (Jorginho au Rice )
Lakin pia unaweza ukamtumia Kama false 9 ,nafasi aliyoicheza Sana na kwa usahihi Leverkusen akafunga goal nyingi
Kitu kingine Ni mzuri kwenye aerial duel ,katika magoli yake 32 Chelsea ,magoli 10 Ni ya vichwa
Tutarajie kumuona akitumika Kama false 9 au kwenye double 8/10 upande wa kushoto ,nafasi aliyokuwa anacheza Xhaka
Binafsi nataman Sana kumuona kwenye double 8/10
View attachment 2664804